Tuzo barani Afrika


Wana fainali watatu walioteuliwa kuwania tuzo ya mchezaji bora wa mwaka barani Afrika 

1: Mo Salah 
2: Riyad Mahrez
3: Sadio Mane 



Mshindi atatangazwa siku ya Jumanne , Tarehe 07 Januari 2020 , Hurghada, Egypt.

Post a Comment

Plus récente Plus ancienne