Alibaba

jeudi 14 septembre 2023

Majengo Makubwa Duniani


Hili ni jengo la tatu kwa urefu Duniani, linaitwa SHANGHAI TOWER 🇨🇳

Urefu wake ni meters — 632 !!


Yaani, chukua uwanja wa soka wa meters (100) kisha usimamishe kwenda juu mara (6+) ndio urefu wa jengo hili 🙌

Jengo hili lina ghorofa kadhaa kwenda chini ya ardhi, lina decks | Ghorofa — 562

Haya ndiyo majengo marefu zaidi Duniani | Tallest Skyscrapers in the world ;

Burj Khalifa — 01
◉ 828 meters
◉ Dubai 🇦🇪


Malaysia-Merdeka — 02
◉ 676 meters
◉ Malaysia 🇲🇾


Shanghai Tower — 03
◉ 632 meters
◉ Shanghai China 🇨🇳


Makkah Clock Royal Tower — 4
◉ 601 meters
◉ Saudi Arabia 🇸🇦



𝙉𝙤𝙩𝙚 — Shanghai Tower ni jengo lenye ghorofa (Decks) nyingi zaidi Duniani, katika structure yake halina mnara juu kama Burj khalifa na Malaysia-Merdeka.

📌 Majengo yote manne yako Asia 🙌


Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire