Alibaba

lundi 29 avril 2013

Hatari Ya Bid’ah (Uzushi)


Hatari Ya Bid’ah (Uzushi)

‘Aaishah (Radhiya Allaahu ‘anhu) alisimulia ya kuwa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alisema,
”Yeyote atakayeanzisha kitu katika jambo  (Dini) letu hili ambalo halimo, basi litakataliwa (litarejeshwa).”[1]

Na katika Hadiyth ya Muslim,
“Anayefanya ‘amali ambayo si katika jambo (Dini) letu, basi itarejeshwa.” [2]
                           
Ni desturi ya hatari sana kutafuta ukuruba wa Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) bila kufuata Qur-aan, Sunnah, na njia ya watakatifu (wacha-Mungu) waliotutangulia. Aidha kutowafuata wao inaonesha ujasiri wa kijuvi, pupa na kuchupa mipaka ya Allaah.

Kama fahamu za mtu zinamruhusu kuiba dola moja au dola kumi, atakuwa hana kipingamizi cha kuiba dola elfu moja. Ni sawa na kadhia ya mzushi: akiridhika kuchepuka kutoka Sunnah za Mtume, wakati huo akiridhika na bid’ah moja, bid’ah kubwa na pengine hata shirk itakuwa sahala (nyepesi) kwake. Hatua hiyo ya kwanza ya kuridhia kukengeuka na bid’ah inarahisisha hatua za mbele zinazopelekea kwa kila aina ya upotovu. Hii ndio ilikuwa hali ya watu wa Nuuh (‘Alayhis Salaam), ambao walifanya masanamu ya baadhi ya watukufu wao kuwa miungu baada ya wao kufariki dunia.

Mwanzoni, walipokufa tu, Shaytwaan aliwashawishi watu wajenge masanamu baada yao, ili wawakumbuke na waige ‘amali zao njema. Kisha, baada ya kupita karne kwa karne, watu waliposahau lengo la awali la masanamu hayo, Shaytwaan aliwashauri kuabudu masanamu badala ya Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala), akiwadanganya na madai potofu ya kuwa baba yao ndiye aliyekuwa akiyaabudu.

Ibn ‘Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhu) alisema,
“Masanamu kutoka kwa watu wa Nuuh (‘Alayhis Salaam) yalishuka miongoni mwa Waarabu baadaye. Ama Wudd (jina la moja ya masanamu), alikuwa wa Kalb katika Dawmat Al-Jandal; Suwa’ alikuwa wa Hudhayl; Yaghuuth alikuwa wa Murad; Thamma alikuwa wa Bani Ghalif huko Jurf, akiwa na Saba; Ya’uuq alikuwa wa Hamdaan; na Nasr wa Hamayr; kwa ukoo wa Kila’. Wao (masanamu) ni majina ya wacha-Mungu miongoni mwa watu wa Nuuh (‘Alayhis Salaam). Walipofariki dunia, Shaytwaan aliwashawishi wasimamishe (wajenge) masanamu ya hao, walipokuwa wakikusanyika na waliyapa majina yao. Walijenga masanamu lakini hawakuyaabudu.
Kizazi hiki kilipopotea na elimu ilipofutika, masanamu yalifanywa vitu vya kuabudiwa.” [3]

Hivyo ndivyo Shaytwaan alivyowaghilibu taratibu, kwanza kuzua na kisha kufanya shrik na kukufuru. Endapo wangekata uhusiano kati yao na Shaytwaan kutokea mwanzo, kama wangeminya tatizo katika tumba lake, wasingeanguka kwenye lindi la uovu na ukafiri.

Sawa na hilo lilitokea kwa bahati mbaya kwa makundi ya Ummah wetu; mfano mmoja ni kundi moja lililokuwa likikusanyika ndani ya Msikiti. Kwa kila mkusanyiko alikuwepo kiongozi, na kila mshiriki alikuwa na vijiwe mkononi. Kiongozi alisema, “Semeni Takbiyr (Allaahu Akbar) Allaah Mkubwa mara 100, na kila aliyekuwepo alisema mara 100. Waliendelea kufanya hivyo kwa Tahliyl (wakisema, Hapana apasaye kuabudiwa ila Allaah) na kwa Tasbiyh (wakisema, Ametakasika Allaah!) ‘Abdullaah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) aliwalaani kwa matendo yao.

Katika Hadiyth Swahiyh, al-Hakam bin al-Mubaarak alipokea kutoka kwa ‘Umar Bin Yahya, aliyesema, “Nilimsikia baba yangu akisimulia ya kuwa alimsikia baba yake akisema,
Tulikuwa tukikaa kwenye mlango wa ‘Abdullaah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) kabla ya Swalah ya Alfajiri, na alipotoka nje, tulikwenda naye Msikitini.

Asubuhi moja, Abu Muusa Al-Ash’aariy (Radhiya Allaahu ‘anhu) alitujia na kusema, “Je, Abu ‘Abdir-Rahmaan (‘Abdullaah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) ameshatoka nje? Tulijibu, “Hapana” na hivyo Abu Muusa (Radhiya Allaahu ‘anhu) alikaa nasi mpaka alipotoka. Alipotoka, Abu Muusa (Radhiya Allaahu ‘anhu) alisema, “Ewe Abu ‘Abdir-Rahmaan! Nimeona jambo Msikitini nililolizuia, hata hivyo – AlhamduliLlaah – kila nilichokiona ni kizuri. ‘Abdullaah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) aliuliza, na kilikuwa kitu gani? Alijibu, “Iwapo utaishi (kwa kitambo kidogo) utakiona. Niliona makundi katika mduara, walikaa wakisubiri Swalah. Katika kila duara alikuwepo mtu (kiongozi), na wote walikuwa na kokoto mikononi mwao.
Kiongozi alisema: fanyeni Takbiyr mara 100, nao walifanya Takbiyr mara 100. Kisha alisema, fanyeni Tahliyl mara 100 na wakafanya Tahliyl mara 100.
Na kisha aliposema Tasbiyh mara 100, na wakafanya ‘Tasbiyh mara 100. Na uliwaambia nini?  Aliuliza ‘Abdullaah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu). Sikusema lolote, kwani nilisubiri kujua rai yako kwanza kuhusu suala hili au nipokee amri yako! Yeye (Radhiya Allaahu ‘anhu), Ni wewe uliowataka wahesabu madhambi yao…”
Yeye (Radhiya Allaahu ‘anhu) alikwenda tukimsindikiza mpaka alipokuta waliokusanyika ‘Abdullaah bin Mas’uud aliwasimamia na kusema, “Ni jambo gani hili mlifanyalo?” Walijibu, ‘Ewe Abu ‘Abdir-Rahmaan (yaani ‘Abdullaah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) tumetumia hizi kokoto kuhesabu idadi ya Takbiyr, Tahliyl na Tasbiyh tunazofanya.
”Yeye (Radhiya Allaahu ‘anhu) alisema, “Basi hesabuni madhambi yenu… Mlaaniwe, Enyi Ummah wa Muhammad, vipi maangamifu yamewafika mapema! Hawa ndiyo Maswahaba wa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) katika idadi yenye kutosheleza hii ni nguo ambayo ilikuwa bado imetatuka na hii ni sahani yake bado haijavunjika (yaani, Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alifariki dunia hivi karibuni na tayari mmepotoka). Naapa kwa Yule ambaye Roho yangu iko mikononi Mwake, ama mpo kwenye Dini yenye mwongozo kuliko Dini ya Muhammad, au ni wafunguzi wa mlango wa upotofu.”
Walisema, “WaLlaahi, Ewe Abu ‘Abdir-Rahmaan, tulikusudia kufanya mema, lakini hatukufikia lengo!

Kwa hakika, Mjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alizungumza nasi, akisema kikundi cha watu walikuwa wakisoma Qur-aan, hata hivyo haipitii mitulinga yao.
WaLlaahi, sijui lakini pengine wengi wao ni miongoni mwenu. Kisha aligeuka na kuondoka.

‘Amr Bin Salamah alisema, “Tuliwaona washiriki wengi wa mikusanyiko (hiyo) wakipigana dhidi yetu siku ya An-Nahrawaan wakiwa upande wa Khawaarij.”[4]
Kilichoonekana ni kitu kidogo japo ni kikubwa si kwa sababu walikuwa wakimdhukuru Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) katika njia ambayo haikuamriwa kwenye Qur-aan au Sunnah, na hivyo waliongozwa kwenye uovu. Kama vile, waliishia kuwapiga Waislamu katika Siku ya Nahrawan wakishirikiana na Khaawarij. Hivyo waliacha njia ya Waumini, mwanzoni walifanyaje At-Tasbiyh, At-Tahliyl na At-Takbiyr –huku wakidai ya kuwa walichokuwa wakikitaka ni kutenda mema na baadaye kupigana dhidi ya Waislamu – na pengine walitatizika na kufikiria ya kuwa walikuwa wakitenda mema.




[1] Ilisimuliwa na Al-Bukhaariy (2697) na Muslim (1718).
[2] Muslim (1718).
[3]Ilisimuliwa na Al-Bukhaariy (4920), na Al-Haafidh alitaja ya kuwa Hadiyth hii haikuungana japokuwa ni Swahiyh kwa sababu ya Silsilah nyingine yenye nguvu kutoka kwa Ibn ‘Abbaas na ilishuhudiwa na mwanafunzi wake, ‘Ikrimah katika Tafsiri ya At-Twabariy. Shaykh wetu (Allaah Amuwie radhi) alitufahamisha hivyo, na taarifa hii aliiweka katika toleo la Pili lililopitiwa la “Tahdhiyr al-Masaajid Fiyttikhaadh Al-Qubuur Masaajid.”
[4] Alisimulia Ad-Daarimiy (1/68) na Silsilah yake ni Swahiyh, kwani wasimulizi wake wote ni waaminifu. Rejea Ar-Radd ‘Alaa at-Ta’aqqub al-Hathiyth (uk. 47) kilichoandikwa na Shaykh, Al-Albaaniy (Allaah Amuwie radhi).

Darassa_ft_Mwasiti_-_Ukipenda_huoni

http://www.hulkshare.com/fp167rie7w1s

Bunge Movie







movie ya leo usiku hiyoo saa 4 kamili inarusha hapa hapa universal television kaa mkao wa kula nani atakufaa

dimanche 28 avril 2013

Burundi



Ribéry, photographe pour Messi Le Vendredi 26 Avril 2013 à 10:00







Corrigé par le Bayern Munich mardi en Ligue des champions (4-0), Lionel Messi a tenu ses engagements en répondant aux questions des journalistes en zone mixte. Dans les couloirs de l'Allianz Arena, le quadruple Ballon d'Or a croisé la route de Franck Ribéry qui, on le rappelle, a humilié le prodige argentin à l'aide d'un double contact. Sur ce dribble, Messi s'est retrouvé par terre, sur les fesses !
Et bien figurez-vous que Messi n'est pas rancunier pour un sou. Disponible, le N.10 du Barça a en effet accepté de prendre la pose avec l'entourage de Franck Ribéry, venu supporter le Français en tribunes. Pour immortaliser ce moment unique, c'est Ribéry qui s'est employé à la tâche !

Aibu mtaani



 Baada  ya  kufamaniwa  na  wanachi, mwanaume  huyo  alipewa  kichapo  kikali  na  kufangashwa  na  mbuzi  huyo  hadi kituo  cha  polisi....

Maswali  yenye  utata  kuhusu  tukio  hilo:

1. Kuna  faida  gani  au  starehe  gani  ya  kufanya  mapenzi  na  mnnyama....

2..Viungo  vya  mwanaume  ni  vikubwa  sana  ukilinganisha  na  vile  vya  mbuzi...huyu  jamaa  aliwezaje....Bora  angechukua  punda  kuliko   kumuonea  mbuzi  wa  watu..!!!

Niimani  yetu  kwamba sheria  itamfundisha  adabu
Katika  hali  ya  kushangaza, jamaa  mmoja  nchini  Nigeria  amenaswa  live  akivunja  amri  ya  sita  na  Mbuzi ....

vendredi 26 avril 2013

Ahmad bin Ali Al-Ajmi



Life


Sheikh Al-Ajmi studied elementary in the Al-Mohammadiya School in southern Khobar, went to middle school in Al-Zubair bin Al-Awwam Middle School, went to high school in Khobar Highschool in Khobar (specifically Madinat Al-Umal مدينة العمال) and after finishing high school, he went to Imam Muhammad ibn Saud Islamic University in Al-Ahsa and graduated with a bachelor's degree in sharia.
He married a woman from the Al-Badran family and has six children.



Ethnicity

Sheikh Al-Ajmi is Arab and not Ajami. His surname indicates that he belongs that to the Al Sulaiman branch of the Arab Ajman tribe.



References

External links


Ahmad bin Ali Al-Ajmi
احمد بن علي العجمي
Born Khobar, Saudi Arabia
Nationality Saudi
Ethnicity Arab
Occupation Qari
Known for Quran recitation
Children Abdullah, Omar, Fatima, Mariam, Moudhi and Abdulrahman

mercredi 24 avril 2013

Rich Mavoko - One Time

new song of

Rich Mavoko - One Time

Hadiyth Ya 6

Hadiyth Ya 6

Mmoja Katika Waja Wangu Ameamini Na Mmoja Amekufuru


عَنْ زَيْدِ بْنِ خَالِدٍ الْجُهَنِيِّ قَالَ صَلَّى لَنَا رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ صَلَاةَ الصُّبْحِ بِالْحُدَيْبِيَةِ عَلَى أَثَرِ سَمَاءٍ كَانَتْ مِنْ اللَّيْلِ فَلَمَّا انْصَرَفَ أَقْبَلَ عَلَى النَّاسِ قَالَ:  ((هَلْ تَدْرُونَ مَاذَا قَالَ رَبُّكُمْ؟)) قَالُوا اللَّهُ وَرَسُولُهُ أَعْلَمُ قَالَ(( أَصْبَحَ مِنْ عِبَادِي مُؤْمِنٌ بِي وكَافِرٌ,  فَأَمَّا مَنْ قَالَ مُطِرْنَا بِفَضْلِ اللَّهِ وَبِرَحْمَتِهِ فَذَلِكَ مُؤْمِنٌ بِي كَافِرٌ بِالْكَوْكَبِ وَأَمَّا مَنْ قَالَ مُطِرْنَا بِنَوْءِ كَذَا وَكَذَا فَذَلِكَ كَافِرٌ بِي مُؤْمِنٌ بِالْكَوْكَبِ)) البخاري والنسائي

Kutoka kwa Zayd bin Khaalid Al-Juhaniyy رضي الله عنه   ambaye amesema: Mtume صلى الله عليه وسلم alituswalisha Swalah ya Alfajiri (huko) Al-Hudaybiyah baada ya kunyesha mvua usiku. ِAlipomaliza aliwaelekea watu akasema: ((Je, mnajua Mola wetu kasema nini?)) Watu wakasema Allaah na Mjumbe Wake ni wajuzi bora. Akasema: ((Mmoja katika waja Wangu ameamka asubuhi akiwa ameniamini na mmoja amenikufuru. Ama aliyesema: tumepewa mvua kwa fadhila za Allaah na Rehma Zake, huyo ameniamini Mimi na amezikana nyota; ama aliyesema: tumepewa mvua kwa nyota kadhaa wa kadhaa huyu amenikufuru Mimi na ameamini nyota)) [Al-Bukhaariy na An-Nasaaiy]

mardi 16 avril 2013

Best Kurio


mwizi

Siku moja ivi
vibaka wawili wali iba mahembe pembezuni na Hospital
wakaingia nayo mpaka sehemu ya kulazia maiti (Morgue) bila kujijuwa !
wakaanza kuyagawa :
iyi yako, iyi yangu
iyi yako, iyi yangu....
Mlinzi (zamu) kuskia ivo akatimuwa na kwenda kumwita Doctor,
nakusema: kule kwenye Maiti Malaika na Shetani wako wanagombania maiti zenu njo uone !
Doctor na Mlinzi wakaelekea ili kupata ushahidi kamili
kufika mbele ya Mlango
wakaskia :
iyi yako, iyi yangu
iyi yako, iyi yangu ...
Kulikuwa na hembe mbili ziliangukia mbele ya mlango
wakasema:
na zile mbili mbele ya mlango twende tuzigawane !
Doctor na Mlinzi wakajuwa na wao ni maiti mbili walio simama mbele ya mlango
basi wakaanza mbio nakubiga kelele !!!