Alibaba

samedi 28 décembre 2013

swahili love sms


Uzuri wa usiku si giza lifunikalo dunia wala si kimya kinachotawala mazingira bali ni njozi njema zenye maono na matarajio yenye mafanikio. Nakutakia ucku mwema
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Naituma  sauti yangu"" izunguke"" moyo"" wako kwa""upendo"" iuguse"" uso"" wako""kwa"" busu""na"" mwisho""ikunong'oneze"" sikioni"" taratiiiiibu"" Gd9t
    *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
mpnz wangu ninavyo jua mm huwezi kutupa mawe kwenye mti usiokuwa na matunda mazuri maana hivyo basi tambua ww ni mrembo xanandani ya moyo wangu usiniache pekeyangu kwani na kupenda xana tabua hilo mpnz wangu
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Niseme nini ujue nakupenda? Nifanye nini ujue nakupenda? Nikuite jina gani ujue ni wewe peke yako upo moyoni mwangu? Hakika hakuna ila moyo wangu ndio naosema kuwa nakupenda, niamini mpenzi!
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
nina mambo saba ya kukuambia ,lakini kwa sasa nakumbuka 6tu,bila shaka matano ndio muhimu kwa leo ,ila unayopaswa kujua ni manne kwa sasa ,oooh usijali nitakuambia ma3 tu,ila kwa jinsi ulivyo naona nianze na ma2 muhimu,ila yatakugusa sana na kwa kuwa sipendi kukuumiza naomba niseme moja tu .mchana mwema dia
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
kwa hakika inzi hufia kidondoni,shujaa vitani ,mtaliii mbugani ,je mwenye penzi la dhati hufia kwa ampendaye?
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
upendo sio tigo eti ongea kwa nusu shilingi wala sio voda kazi ni kwako, pia sio airtel jisikie huru bali upendo ni zawadi pekee sana mungu aliyoiweka ndani ya mioyo yetu.hili ni la kuzingatia dear nakupenda sana
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
yakumbuke haya sana katika maisha yako wahurumie wenye kukupenda hasa mwenye pendo la dhati kama langu,wapende wanaokupenda japo kwa chembe ya upendo,thamini pendo la akupendae kwa kila mara japo sekunde moja.     
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
nalia ukiwa mbali, nachukia nisipo kuona ,najuta ninapo kuudhi ,naumia unapo nitenga , nateseka ukiwa kimya ,nafurahi ukinikumbuka, nakupnda mpz
   ●´¯`´¯`●♥¡¡♥●´¯`´¯`●♥
utamu wa penzi hunogeshwa na pendo la dhati pia utamu wa penzi ni uwepo wangu na wako,ladha yake ni zaidi ya nazi kwenye wali au royco kwenye mchuzi au pilipili kwenye kachumbari, utamu wake ni zaidi ya asali au jam kwenye mkate ,blueband kwenye uji.penzi tamu halina kifan
 *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
nimegundua dawa ya maisha ukinichukia nakupenda,ukiniudhi nakufurahisha,ukinisahau nakukumbuka,ukikaa kimya nakusalimia,na ukinisahau kuniombea kwa ALLAH nitakukumbusha.
          *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°
najua mimi sio wa kwanza kukuombea mema ,ila napenda kuwa ni mmoja kati ya  wanaokutakia asubuhi njema.
           *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°

unaweza ukafunga macho kwa usilolitaka kuliona lakini hauwez kufunga moyo wako kwa Unalo Lipenda. Nakupenda Mpenzi

        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
upepo wangu wakupuliza wewe kutokana na joto kali usijaribu kwa kuvaa sweta ukapunguza ukali ninachotaka mi nikuwa na wewe naomb unielewe .
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Uzuni ,upole,ukarimu wanakusalimia. Furahana unyenyekevu wapo njiani wanakujakwako .ila taabu nashida hawatakuja kwasababu wote wanaumwa.mawazo mashakana kukata tamaa wapo jela.ushindi utajiri na amani wapo njiani wanakuja gday
         *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
 rafiki mwaminifu ni mlinzi mahiri na aliyempata amepata hazina isiyokuwa na kifani,ahsante kwa kuwa rafiki mwaminifu.
         *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
     usiku huu tulivu nikiwa nimejilaza kitandani natamani nisikie sauti yako ambayo hunikosha na kunikosesha raha nisipoisikia.uwembamba Wa Sauti Yako Hupenya Kwenye Ngoma Ya Masikio Yangu Hunitekenya Na Kuniacha Nikifurahi. Nakupend Wangu Kipenzi
         *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
   maumivu ya kulipoteza penzi lako ni kubwa,lakini ni makubwa zaidi baada ya kugundua haukuwa yule nileyedhani. inaniuma sana
         *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
     maneno million  haliwez kulirudisha pendo lako najua kwasababu nimejaribu,pia machozi million haliwez kulirudisha najua kwasababu nimelia.
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Kuna miezi 12 katika mwaka…siku 30 katika mwezi…siku 7 katika wiki, masaa 24 katika siku…dakika 60 katika saa……lakini wewe ni mmoja tu maishani mwangu.
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Kuna vitu viwili zinavyoniamsha asubuhi na mapema: Alamu ya saa yangu na wewe

        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Bongo zenye fikra kali huwa na mawazo, suluhu na sababu; ubongo wa kisayansi huwa na kanuni, nadharia na takwimu; wangu una wewe tu!
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Penzi linaweza kuelezewa kwa namna nyingi. Namna moja niijuayo nikumtumia mapenzi hayo mtu asomaye meseji hii.
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Kama ningeweza kubadili herufi, ningeweka yangu na yako kuwa pamoja
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Umewekwa usiku ili tuweze tuukubali mchana, huzuni ili tuikubali furaha, ubaya ili tuukubali uzuri, wewe ili niyakunali mapenzi.
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Mapenzi ni nini? Wale wasiopenda huita majukumu, wale wanaoyachezea huita mchezo, wale wasiokuwa nayo huita ndoto, na wale wanaoelewa huyaita mwisho wa safari, na mimi, mwisho wangu ni wewe.
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Ni mapenzi gani yanayofanya simu yako ilie kila nitumapo meseji?
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Unaonekana kung’ara leo nilijuaje…….ni kwasababu unaonekana hivyo kila siku
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Kama mapenzi huweza kukimbiwa kwa kufumba macho yetu tu, basi nisingefunika macho kabisa. Sitaki sekunde ipite bila kukupenda wewe.
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Nilikuwa nikifiria kwamba ndoto haziwezi kuwa kweli, lakini nilibadili mawazo yangu pale tu nilipokuona wewe.
         *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Baadhi ya watu huzaliwa na vipaji. Huweza kufanya mambo mazuri kwa ujuzi wao, lakini hamna anayekufikia wewe, kwani ukinisogelea tu kila kitu huwa kizuri.
         *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Mwanamke ni yule amfanyaye mwanamme auhisi uanaume wake, wewe ni mwanamke mwenye sifa hizo.
         *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Kukusahau wewe ni ngumu lakini kunisahau mimi ni juu yako. Usinisahau kamwe, unaweza kuisahau meseji hii, lakini si mtumaji.
         *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire