Alibaba

mardi 16 avril 2013

Best Kurio


mwizi

Siku moja ivi
vibaka wawili wali iba mahembe pembezuni na Hospital
wakaingia nayo mpaka sehemu ya kulazia maiti (Morgue) bila kujijuwa !
wakaanza kuyagawa :
iyi yako, iyi yangu
iyi yako, iyi yangu....
Mlinzi (zamu) kuskia ivo akatimuwa na kwenda kumwita Doctor,
nakusema: kule kwenye Maiti Malaika na Shetani wako wanagombania maiti zenu njo uone !
Doctor na Mlinzi wakaelekea ili kupata ushahidi kamili
kufika mbele ya Mlango
wakaskia :
iyi yako, iyi yangu
iyi yako, iyi yangu ...
Kulikuwa na hembe mbili ziliangukia mbele ya mlango
wakasema:
na zile mbili mbele ya mlango twende tuzigawane !
Doctor na Mlinzi wakajuwa na wao ni maiti mbili walio simama mbele ya mlango
basi wakaanza mbio nakubiga kelele !!!