Alibaba

vendredi 14 juin 2013

Tacle assassin

JE BINTI WA KIRUNDI ANAWEZA VAA NA KUTEMBEA MTAANI KAMA HUYU?


Hii inatokea huko kwa Mswati Je Msichana wa Kirundi Unaweza Vaa na Kutembea Mtaani Kama huyu?
TOA MAONI YAKO HAPA

Stamina Aandaa WAZO LA LEO [REMIX]... Je MwanaFA Atakuwemo??



Rapper kutoka MORO TOWN, Stamina Kabwela seem to be busy now kutengeneza remix ya ngoma kali inayojulikana kama WAZO LA LEO...
Stamina ameonekana kufanya hivyo hasa baada ya original version ya ngoma hiyo kufanya vizuri sana akiwa ameshirikisha rapper kutoka Rock City [MWANZA] Fid Q...
Stamina ameshawishika kufanya hivi as in fans pia kutaka kuona wakali wengine wa hip-hop ambao wanafanya kama yeye wanawezaje kuonesha umahiri kwenye mdundo mkali huo wa Producer P-Funk Majani [BONGO RECORDS].
Earlier today, rapper Stamina alionekana kumu-approach rapper mwingine mkali kutoka TANGA, Hamis Mwinjuma famously known as MwanaFA na kumuhitaji kushiriki katika remix hiyo...
This is how it went down... Stamina (@StaminaKabwela on twitter) alianza,"FA fresh bro nafanya rmx ya wazo la leo nakuhitaji braza kwa uwepo wako wa mistari 8 tu kama inawezekena"... Stamina wouldnt ask for more kutoka kwa braza MwanaFA but mistari 8... #HipHop
MwanaFA (@MwanaFA on twitter) replied, "Tuongee kwenye simu bro..."
Stamina amekuwa ni msanii mpya kwenye game la hip-hop hapa Bongo akifanya vizuri kwa takribani tracks 4 au 5 sasa... He's making WAZO LA LEO remix... And MwanaFA can surely fit on this one...

Swali : Je MwanaFA atakuwemo kwenye remix hiyo??
Naamini mimi na wewe tunaruhusiwa kusubiria hii... Stay Tuned !!
Source: GongaMx

TOA MAONI YAKO HAPA

Langa kuzikwa Jumatatu kwenye makaburi ya Kinondoni

Langa kuzikwa Jumatatu kwenye makaburi ya Kinondoni
33c2e-wak

AIBU:WANAFUNZI WA CHUO MTWARA WAFANYA PARTY YA KIF...

AIBU:WANAFUNZI WA CHUO MTWARA WAFANYA PARTY YA KIF...:   Ndani ya pub hiyo, madenti hao  walianza  kwa  staili  ya  kupiga  pombe  kabla  ya  michezo ya  kifusika  kuanza... Pombe  ...





 Ndani ya pub hiyo, madenti hao  walianza  kwa  staili  ya  kupiga  pombe  kabla  ya  michezo ya  kifusika  kuanza...

Pombe  ilipowakolea, madenti  hao  waligawana, kila  mtu  mtu  na  wake  na  kuanza  kubadilishana  mate  na  michezo  mingine  ya  michafu...
Hali  hiyo  ilizua taflani  kubwa  kwa  wananchi waliokuwa  eneo  hilo huku  wengine  wakionekana  kutoamini  macho  yao  kwa  vitendo  vilivyokuwa  vikitendwa  na  madenti  hao..