Kifaransa

Siku moja kulikuwa na shule ya kifaransa nchini Tanzania jamaa umoja alisomea eko kisha akaja matembezini nchini Burundi aka enda kwenye kampun yake iliyoko Burundi akaona kazi haziendi sawa akataka awambie mkifaransa sababu warundi wanajua kifaransa Boss akawaza : fil mana yake ni uzi akisha marteau ni hummer oooh Boss: si vous me fil fil, je veux vous marteauner d'ici !

Post a Comment

Plus récente Plus ancienne