Alibaba

lundi 11 mai 2015

Picha za Shilole Zazua Gumza Mtandaoni, Mchumba Wake Nuhu Mziwanda Asema Haya Kumtetea

I love you is My Country aka Shilole Kiuno
Amejikuta tena leo akiwa Gumzo la watu
mitandaoni baada ya picha zenye utata
akiwa jukwaaa kuzagaa kwenye mitandao
mbali mbali na kujadiliwa hasa Instagram.....
Baada ya Picha hizo Kusambaa Mpenzi
wake aliingia mtandaoni na kuposti haya
maneno kumtetea:
" Show ni movement na uwezi mkataza mtu
kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo
za show na nguo za kutoka out
kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi
kuchomoka akina dada mnafaham na mtu
yupo stejini anakua hajitambui kama nini
kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya
kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana
wengine wanateleza kwa stage'huyo paparazi
aliopiga picha alifanikiwa kuzoom na kipata
picha mbaya lakin katika hali ya kawaida na
watu waliokua wakicheza nae hawakuweza
kugundua lolote'na kiubinaadamu kama
muhandishi wa habari hakupaswa kuchagua
picha ambayo kaonekana vibaya mana naamini
alipata picha nyingi nzuri tu za kupost ila
aliamua tu kumchafua'So Mashabiki
kumbukeni alikua yupo kazini hakupanga
itokee ivyo na yote mradi atoe burudani nzuri
kama mlivyomzoea''ambae hana upeo mdogo
wa kufikiria ataongea shit ila kaa jiulize
ingekutokea wewe ungesemaje?naomba
mtusaidie kurepost hii habari'tunawapenda
sana"
Haya ni Baadhi ya Maoni ya watu mbali
mbali waliokasirishwa na Picha hizo:
MrekebishaTabia
Sitaman hata kuibandika hii picha
hapa...kichefuchefu!! hii tabia chafu
iliyopitiliza...na si mara yako ya kwanza
@shilolekiuno unafanya vituko tadhan mtoto
mdogo wkt mtu mzima na watoto wakubwa. Si
bahati mbaya amefanya kusudi... mtu
mwenyewe kuimba hujui na hata kujiheshimu
unashindwa? Kale kaheshima kadogo
ulikonako kwa shabiki zako utakapoteza, soon
tutasikia umerudi kucheza tamthilia. ....Sijui
umekunywa pombe za wapi wewe...!!!
ambassador_angelo
Pole mdada hahaha kazi ndo zilivyobwe kioo
cha jamii siku nyingine vaa vizuri sawa mdada
mzuri eeeee
mimas_wa_pwiiii
sasa@shiloleliuno kwani hakunaga nguo zenye
heshma Dada yangu mbona hiyo nguo IPO
wazi kupitiliza ivi mbona wanaume wanavaa
vizuri tu kwenye shoo zao why nyie madada
hamujiheshimu asee hii sibahti mbaya
imekusudiwa nguo yenyewe ni uchi tosha na
iyo sidiria ulitegemea Haiti vukaa ebu
jiheshimuni bwana munaboaa tuachieni ujinga
wenu stejin kwani mukivaa nguo zinazo still
hapo kidogo mnakuwa hamujui kuchezaa
sheeenzeee zenu wakaa uchi wotee
nyota_ya_warembo
Anamaudhi sana havumiliki kabisa, utavumilia
hili baadae anaibuka najingine aisee
tutamvumilia mpaka lini!!!!!! Nampenda sana
lakini anakero sana, niaibu kusema mbele za
watu shilole 'nampenda' watakushangaa
johar_seleman
Afu hapo mbona km kabambiwa ivi mcheki uyo
mshua anavomtolea minjicho hahaaaaa ni
shigidiiii shidaaa