Alibaba

mardi 20 septembre 2016

Pep Guardiola has threatened to never play Yaya Touré again!

Kiungo wa Manchester City Yaya Toure, 33, ametangaza kustaafu kucheza soka la kimataifa. Toure aliichezea timu yake ya taifa kwa mara ya kwanza mwaka 2004, na alichukua unahodha mwaka 2014 kutoka kwa Didier Drogba. Mwaka Jana aliiongoza timu yake na kushinda Kombe la Mataifa ya Afrika kwa mara ya kwanza tangu 1992. Ameichezea Ivory Coast mara 113.

Wakati huohuo meneja wa Manchester City Pep Guardiola amesema hatomchezesha Yaya Toure mpaka kwanza aombe radhi kufuatia matamshi yaliyotolewa na wakala wake.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire