Bondia maarufu nchini, Thomas Mashali afariki

#TANZIA Bondia maarufu nchini, Thomas Mashali, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kupigwa vibaya na watu wasiojulikana maeneo ya Kimara jijini Dar es salaam.


Rais wa Shirikisho la Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBO), Yassin Abdallah athibitisha.

Post a Comment

Plus récente Plus ancienne