Alibaba

dimanche 30 avril 2017

INTER HAVE FINANCIAL MUSCLE TO SIGN MESSI, CLAIMS MAZZOLA

Inter have financial muscle to sign Messi, claims Mazzola

Inter boast the financial power to sign Lionel Messi from Barcelona, former Nerazzurri star Sandro Mazzola has said.

There has been speculation for some months that the Serie A side, bankrolled by their Suning Holdings Group owners, could try to sign Messi with a stunning transfer bid at the end of the season.

Former Inter president Massimo Moratti said in January the club are planning to sign a global superstar before next season, although he rejected the suggestion that Messi is their top target.

But Mazzola, a double European champion as part of the famous Inter side of the 1960s, believes Suning's backing makes Messi at San Siro a very real prospect.

"Suning have the strength to get those they want, including Messi," he told Il Mattino.

To read full article - https://goo.gl/AY3ByW

Sunderland kupoteza nafasi ya kubaki Premier League

Kipindi cha miaka kumi cha klabu ya Sunderland katika ligi ya Uingereza hatimaye kimekwisha baada ya kushindwa na Bournemouth nyumbani.
Matokeo hayo pamoja na yale ya sare kati ya Hull City na Southampton yanamaanisha timu hiyo ya David Moyes ina pointi 14 ikiwa imesalia mechi nne.

Joshua King wa Bournemouth alifunga bao la pekee ikiwa imesalia dakika 2 na kuipa ushindi timu yake.
Raia huyo wa Norway pia karibu afunge katika dakika ya 20 lakini shambulio lake lilipiga mwamba wa goli na kurudi katika mikono ya kipa Pickford.

Hiyo ni mara ya 23 ya Sunderland kupoteza ,hatua inayomaanisha timu hiyo ya Black Cat imeshushwa dajara kutoka ligi ya Uingereza kwa mara ya nne.