Totthenham yakata rufaa



Kocha wa Tottenham Jose Mourinho amethibitisha ya kwamba 
klabu yake ya Totthenham imekata rufaa dhidi ya kadi nyekundu aliyoadhibiwa mshambuliaji wake Heung Min Son katika mechi ya kichapo cha 2-0 dhidi ya Chelsea siku ya Jumapili .

Hapo ni baada ya kumchzea rudiggee makosa na muamuzi kutowa kadi nyekundu baada ya kuchunguzwa kosa hilo na VAR

Post a Comment

Plus récente Plus ancienne