Alibaba

mardi 11 août 2020

Manchester United na penalti

Mashetani wekundu, klabu ya Manchester United msimu huu wamepewa jumla ya penati  21 katika mashindano yote. 

Imekuwa ni klabu ya Kwanza katika ligi tano bora  barani ulaya kupewa penati nyingi zaidi katika msimu mmoja.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire