Alibaba

mercredi 5 février 2020

Utafiti umefanyika kuhusu VAR

 

Asilimia 67 ya mashabiki wanaamini kwamba VAR imefanya mchezo wa soka upoteze ladha kwa kiasi kikubwa kwa mujibu wa YouGov poll.

Utafiti umefanyika umeonesha kwamba 2/3 ya mashabiki wametoa maoni yao kuhusu Tekinolojia hiyo ambayo imeanzishwa mwanzo wa msimu huu mashabiki hawajaikubali na wameipa alama ya 4/10 



Kura zilivyo:- 

✍🏼 67% wanasema VAR imefanya soka kupoteza ladha yake 
✍🏼60% wanasema VAR ufanisi wake umekuwa mbovu 
✍🏼8% wanasema VAR iendelee kutumika hivyo hivyo 
✍🏼74% wanasema VAR iendelee kutumika lakini ibadilike inavyotumika 
✍🏼15% wanataka VAR itolewa kabisa

NB : Hizo % ni kwa kila sehemu yake sio kiujumla wa kula, yani kila pendekezo moja lina asilimia zake : kwa mfano hao 15% wanaotaka iendelee ni wangapi wanaotaka iendelee : kwahiyo kama tupo 6 kati ya 6 wangapi wanataka iendelee lakini usiijumuishe na wale 67% wanaosema haina ladha zote zinanitegemea