Alibaba

mercredi 9 mars 2022

Vita ya Urusi na FIFA huko CAS

Wakati vita vya Kisiasa vikiendelea kati ya Urusi na Ukraine, Urusi imeibua vita vingine vya kisheria dhidi ya FIFA na UEFA.


Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imepokea rufaa ya Urusi kuhusu FIFA na UEFA kuzifungia vilabu vyake na timu zake za taifa kucheza.


Rufaa hiyo pia inaomba timu za Urusi zirejeshwe kwenye mashindano husika.


(Source : Sky Sports)