Alibaba

mercredi 30 mars 2022

Chama cha Soccer Misri cha laani vikali walicho fanyiwa wachezaji wake

Chama cha soka nchini Misri kitawasilisha malalamiko yake kwa FIFA kulalamikia vitendo vya mashabiki wa Senegal kuwasumbua kwa tochi zenye mwanga mkali wachezaji wake wakati wa mchezo wa marudiano kufuzu kombe la Dunia


FA ya Misri inadai vitendo hivyo vimechangia kwa kiasi kikubwa timu hiyo kupoteza kwa mikwaju ya penati katika mchezo huo


Kuna matumaini huenda Senegal ikaadhibiwa kwa kutozwa faini kwa vitendo hivyo vya mashabiki wake