Alibaba

jeudi 8 septembre 2022

Malkia Elizabeth II ameaga dunia, Buckingham Palace imetangaza

Malkia Elizabeth II, malkia aliyehudumu muda mrefu zaidi nchini Uingereza, amefariki akiwa Balmoral akiwa na umri wa miaka 96, baada ya kutawala kwa miaka 70.


Familia yake ilikusanyika katika kasri yake ya Uskoti baada ya wasiwasi kuongezeka juu ya afya yake mapema Alhamisi.