Alibaba

jeudi 17 novembre 2016

Fc Barcelona kupata wazamini wapya

Klabu ya Barcelona imeingia mkataba mpya na kampuni ya Rakuten ya Kijapan kwa ajili ya kudhamini timu hiyo kwa miaka minne.

Rakuten ni kampuni ya kuuza bidhaa kupitia mtandaoni wameingia mkataba na Barcelona wenye thamani ya pound milioni 200 ambazo ni zaidi ya bilioni 540 za kitanzania ni kampuni ya uuzaji wa vitu online kupitia tovuti yao na websites yao ni ya 11 kwa uingizaji mapato duniani, kwa jina jingine wanajiita kama “Japan’s Largest Internert Shopping Mall”.

Kuanzia msimu ujao, jezi za Barcelona zitakuwa na nembo ya Rakuten kifuani badala ya Qatar Airways ambalo ni shirika kubwa zaidi.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire