Alibaba

jeudi 17 novembre 2016

The Rock atajwa kuwa mwanaume mwenye mvuto zaidi 2016

Jarida la The People limemtangaza muigizaji Dwayne ‘The Rock’ Johnson kuwa mwanaume mwenye mvuto zaidi kwa mwaka 2016 (Sexiest Man Alive).

Baada ya kutangazwa na jarida hilo, The Rock kupitia mtandao wake wa Twitter aliandika, “He’s sweet, smart—and sculpted! Dwayne @TheRock Johnson is PEOPLE’s 2016 .”

Muigizaji huyo amechukuwa nafasi hiyo baada ya mchezaji mstaafu wa timu ya taifa ya Uingereza, David Beckham kutangazwa mwaka uliopita.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire