MAENEO FLANI ya KISHUA"


-Mshikaji alimuona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaamua amfuate amtemee cheche
MSHIKAJI- mambo dada?
DEMU- powa
MSHIKAJI-
umependezaa!!!
DEMU- asante.
MSHIKAJI- unaweza ukanisaidia namba yako ya simu.......
maana duh nmekukubali kinyama.
Demu baada ya kuambiwa vile akazama kwenye pochi lake akatoa noti ya 10000 akaandika namba yake kwenye noti akampa mshikaji.

Mshikaji kapokea ile noti akachana sehem iliyoandikwa namba halafu kamrudishia Demu noti yake..!!!

JE NANI ANA DHARAU

NA NANI JEURI..

DEMU AU MSHIKAJI??
🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒

Post a Comment

Plus récente Plus ancienne