Alibaba

samedi 24 septembre 2016

Wenger: Sitasoma kitabu cha Mourinho

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger anasema kuwa ''hatosoma'' kitabu ambacho mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho amesema atauvunja uso wa kocha huyo wa Arsenal.

Mourinho amekuwa akizozana na Wenger alipokuwa akiifunza Chelsea na alimuita mkufunzi huyo ''maalum kwa kushindwa''.

''Mimi huzungumza kuhusu soka-hicho ndio ninachofanya'',alisema Wenger mwenye umri wa miaka 66.

''Siko katika hali ya kutaka kuharibu,mimi hupenda kujenga.Ninaangazia mechi ya Jumamosi dhidi ya Chelsea''.

Mourinho mwenye umri wa miaka 53 alimuita Wenger ''mpiga chabo'' mwaka 2005 baada ya kutaka kujua kuhusu sera za uhamisho za Chelsea.

Raia huyo wa Ureno alimuita Arsene Wenger ''mtu maalum kwa kushindwa'',mnamo mwezi Februari 2014 baada ya raia huyo wa Ufaransa kusema kuwa baadhi ya wakufunzi wa ligi kuu ya Uingereza wameanza kulalamika kwa sababu ''wanahofia kufeli''.

Maumivu ya hedhi yawaathiri wanawake wengi kazini

Wanawake wengi wamekabiliwa na maumivu wakati wa hedhi, hali inayoathiri uwezo wao kufanya kazi , utafiti unasema.

Utafiti huo wa YouGov uliohusisha wanawake 1,000 katika kipindi cha BBC, umegundua kuwa 52% waliuguwa, lakini 27% waliwaarifu waajiri wao kwamba ni mamumivu yanayotoka na hedhi.

52% pekee, karibu thuluthi yao waliomba kwenda nyumbani japo kwa siku kutokana na maumivu ya hedhi.
Na daktari mmoja amependekeza waajiri sasa waanze kutoa

''siku ya mapumziko ya hedhi'' kwa wanawake.
Wanawake 9 kati ya 10 wameeleza kuwahi kuugua maumivu ya hedhi kwa wakati mmoja.

Daktari wa magonjwa ya wanawake kutoka London Gedis Grudzinskas, anasema wanawake wanapaswa kuwa na uwazi zaidi kuhusu tatizo hili na waajiri wawe ni wenye kuwaelewa.

Ameongeza: "kupata hedhi ni jambo la kawaida, lakini baadhi ya wanawake huteseka sana kimya.

"sidhani wanawake wanapswa kuona haya kuhusu tatizo hili na kampuni zinapaswa kuwaelewa kwa naman wanavyotaabika kwa uchungu wanao uhisi."

Dr Grudzinskas anasema njia moja ni kutoa likizo au amapumziko ya hedhi kwa wafanyakazi wote wanawake kama ilivyo sasa kwa nchi kama Japan.

"Mapumziko hayo yatafanya kila mtu afanye kazi vizuri ambalo ni jambo lenye manufaa,"
amesema.
"Hakuna uelewa wa kutosha kuhusu maumivu au uchungu huo na kuwa huenda maumivu hayo wakatimwingine yanadhihirisha ugonjwa mkubwa zaidi ''.

"Watu husahau kuwa wanawake ni nusu ya nguvu kazi, iwapo watahisi wanaungwa mkono , itakuwa ni furaha na ufanisi wa kila mtu."

MOURINHO : "JE SUIS LE PIRE ENTRAÎNEUR DE L'HISTOIRE DU FOOTBALL"

José Mourinho a ouvertement critiqué les journalistes en conférence de presse en les qualifiants "d'Einsteins du football" avant la rencontre face à Leicester.

Après une série de trois défaites consécutives, Manchester United a retrouvé le chemin de la victoire en League Cup contre Northampton. Avant le choc face à Leicester en Premier League, José Mourinho s'en est ouvertement pris aux journalistes qui l'ont critiqué lors de la mauvaise passe de son équipe ces dernières semaines en les nommant

"les Einsteins du football".

" Je suis le pire entraîneur de l'histoire du football, a lâché José Mourinho avec humour. Je suis un gars chanceux. Je ne peux pas être en colère contre quoi que ce soit. La seule chose qui me dérange un peu le genre de critique qu'il y a sur mes joueurs. Je voudrais bien protéger mes joueurs, mais de vous (ndlr les médias), je ne peux pas. C'est complètement hors de mon contrôle, ça me donne un sentiment que c'est difficile, c'est frustrant" .
L'entraîneur de Manchester United a critiqué la connaissance des journalistes : "Les Einsteins (ndlr les journalistes) ont besoin d'argent pour vivre. Ils ne peuvent pas entraîner, ils ne peuvent pas être sur le banc, ils ne peuvent pas gagner des matches. Ils peuvent parler, ils peuvent écrire. Ils peuvent critiquer le travail des autres. Mais je suis un homme bon. Je suis un homme de bonne volonté. Je fais beaucoup de travail de charité. J'aide tant de gens. Pourquoi ne pas aider aussi à nourrir les Einsteins" .

Enfin, le Portugais a évoqué son adversaire, Leicester, en avouant qu'il est compliqué de conserver le titre de champion d'Angleterre : "Je pense qu'il est évidemment très difficile de conserver le titre. Pas uniquement pour Leicester, pour tout le monde. Peu d'équipes au cours de la Premier League ont réussi à le faire. L'une des équipes était bien sûr Man United. Un autre était une équipe dirigée par le pire entraîneur de l'histoire du football. C'est vraiment difficile. La réalité est que je les regarde et ils sont très bons. Ils ont gagné la Premier League parce que certaines des grandes équipes n'étaient pas assez bonnes la saison dernière" .