Alibaba

dimanche 11 novembre 2018

AY: Nilimshauri Mavoko kwenda WCB / Mtoto amenibadilisha (Exclusive)

Msanii mkongwe wa muziki wa hip Hop, AY amefunguka mambo mengi exclusive
ndani ya Bongo5 na kuzungumzia maisha yake ya ndoa, muziki pamoja na
mengine mengi kuhusu tasnia ya muziki wa BongoFleva.





Watayarishaji wa kipindi cha Sabrina washtakiwa na hekalu la shetani

Kundi la wanaharakati wa hekalu la shetani linawashtaki watengenezaji wa kipindi cha msururu cha runinga -The Chilling Adventures of Sabrina kwa gharama ya $50 million (£38m) kutokana na sanamu.
Netflix na Warner Bros wanadaiwa kunakili sanamu ya kundi hilo Baphomet katika kipindi hicho.
Kampuni zote mbili zimekataa kuzungumzia swala hilo.


Hekalu la shetani haliamini nguvu zisizo za kawaida za shetani , lakini linataka kuendelea kuwashawishi wafuasi zaidi kujiunga nalo.
Kesi hiyo iliowasilishwa mjini New York inadai kwamba sanamu inayofanana inaonekana katika vipindi vinne vya kipindi hicho.
Lucien Greaves , mwanzilishi wa hekalu la shetani, alichapisha ujumbe wa twitter akifananisha sanamu yao na ile inayoonyeshwa katika kipindi hicho.

Harusi ya kheri by Nuuru Salaam ft Hawa Lamar



Abuchief.Com