Alibaba

dimanche 29 décembre 2019

Future plan za CR7


Mreno mwenye myaka 33 na mchezaji nyota wa Juventus

Katangaza ya kwamba mchezo wa mpira wa miguu (Football) sio maisha yote
Bali kuna maisha mengine baada ya ku staff kucheza mpira wa miguu
Kasema : nataka kujiandaa kukisoma kingereza vizuri na kukielewa kiusawa, ili nikija Staff kucheza mpira niweze kuendeleya na mengine

Kasema : nataka niwe mchaza filamu

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire