FIFA Arab Cup

Mashindano ya FIFA ARAB CUP  yanayohusisha nchi zenye asili ya kiarabu tu yanaendelea kutimua vumbi nchini Qatar hadi December 18 2012 nchini.


Bingwa wa michuano hiyo atapata zawadi ya USD milioni 5 (Tsh Bilioni 11.5) wa pili USD milioni 3 (Tsh Bilioni 6.9), wa tatu USD milioni 2 (Tsh Bilioni 4.6).

Post a Comment

Plus récente Plus ancienne