Alibaba

mardi 1 mars 2022

Franck Ribéry afanya ajali

Mchezaji wa zamani wa klabu Bayern Munich, Frank Ribery amepata ajali baada ya gari alilokuwa akisafiria kugonga taa za barabarani.


Ribery (38) aliyekuwa miongoni mwa abiria katika gari hilo ameumia vibaya kichwani na kuwahishwa hospitali.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire