Alibaba

samedi 5 mars 2022

Vladmir Putin asema Hakuna World Cup mwaka huu

"HAKUTAKUWA NA KOMBE LA DUNIA MWAKA HUU"...Putin Aionya FIFA kuingilia Mambo ya Kijeshi..


"Msithubutu kuingilia Mambo ya Kijeshi, Bakini kwenye Mpira wa Miguu",...Mkijaribu mjue hakutakuwa na Kombe la Dunia Qatar 🇶🇦. Putin amesema hayo jana akijibu swali la Mwandishi wa habari juu ya Adhabu kutoka FIFA..

"Huyo Mjinga Nani anayesema Russia haitashiriki Kombe la Dunia Qatar 2022?, nasema Russia Lazima Itacheza Kombe la Dunia mwaka huu, Aidha wapende ama wasipende..Sahau kuhusu Mzaha huo..


"Lazima nawaambia Lazima, Wakijaribu kutuzuia Basi wajue Mwaka huu hakutakuwa na Michezo hiyo".

"Sipendi Double Standards za kipuuzi, hayajaanza Leo Mambo haya ya kivita, tumeshuhudia mara nyingi Mataifa ya Magharibi yakivamia na kupigana vita, Vietnam, Korea, Libya, Iraq, Syria, Amerika kusini, kati....na hata sisi akiwemo Ukraine tulipigana vita ndefu Afghanistan 🇦🇫, Sijawahi kuwaona Wala Kusikia FIFA akitenda haya...

Mwamba Anakwambia wachague, Urusi irudishwe, ama Awafanyie Mbaya na Kombe la Dunia lisiwepo...😄😄😄

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire