Alibaba

dimanche 27 novembre 2022

Ray c atupia neno kuhusu Wema sepetu

Msanii wa kike wa muda mrefu katika muziki wa Bongo Flava, Rehema Chalamila maarufu Ray C ameweka neno lake baada ya Wema Sepetu kuposti Video ikimuonyesha akilia.
"Natamani siku uamue utoke hiyo nchi usafiri nchi ya mbaaaaaali japo kwa muda tu...ukutane na watu tofauti kabisa na uliowazoea, upate marafiki wapya watakaompenda wema kama binadamu siyo wema kama star, sababu wewe una roho nzuri sana na unajua kuishi na watu, unastahili kuwa na watu wenye upendo wa dhati kwako pia, you deserve it ma.❤love you always" ameandika Ray C.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire