Ayra Starr na mkataba wenye utata

Msanii nyota wa Afrobeats Ayra Starr sasa ni rasmi yuko chini ya usimamizi wa Roc Nation, kampuni inayo milikiwa na  Jay Z. 

Amesaini Mkataba na kampuni hiyo
 Mkataba wa miaka 5 ambao unakuja na masharti mazito
Ayra haruhusiwi kupata ujauzito wala kutangaza mchumba wake hadi mkataba utapo malizika!
Jay Z anataka Ayra ajikite kwenye muziki na brand yake kimataifa bila vikwazo vya mahusiano. 
Ni fursa kubwa, lakini pia ni sadaka kubwa kwa ndoto ya kuwa global icon.

Post a Comment

Plus récente Plus ancienne