BAADA ya kuzodolewa kuwa alikimbia majibu ya ngoma kwa tetesi hayakuwa mazuri, staa wa sinema za Kibongo, Rose Ndauka ameamua kuanika majibu ya vipimo vya Ukimwi.
Baada ya kutundika picha ya cheti hicho, staa huyo alisindikiza na ujumbe wa maneno kuonesha shukrani zake kwa Mungu.
“Namshukuru Mungu kwa kuwa nimepima na nipo fiti, hope waliokuwa wakinisema watabaki na vijiba vyao vya roho, watasonyaje?” aliandika.
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire