Alibaba

lundi 18 novembre 2013

TASWIRA ZA HARUSI YA PETER OKOYE NA LOLA OMOTAYO NCHINI NIGERIA JANA

Diamond Platnumz akifanya makamuzi katika harusi ya kimila ya Peter Okoye. Kushoto ni Emmanuel Adebayor akimpigia makofi.
Mwanamuziki kutoka P-Square, Peter Okoye (kushoto) akipozi na mwanasoka wa Tottenham na timu ya Taifa ya Togo, Emmanuel Adebayor wakati wa harusi ya kimila ya mwanamuziki huyo jana Nigeria.
Bwana harusi Peter Okoye akimvisha pete mkewe Lola Omotayo.
Harusi ya kimila ikiendelea.
Bibi harusi Lola Omotayo.
Peter katika pozi na wapambe wake.

PHOTOS:DIAMOND NDIO MTANZANIA PEKEE ALIYE ALIKWA NA P-SQUARE KUSHUHUDIA ARUSI YA PETER OKEYO

  Pichani ni Diamond Platnumz msanii kutoka bongo akiwa na bwana harusi Peter wa Psquare pale walipokutana huko Lagos Nigeria kwenye harusi ya Peter. Diamond yupo nchini Naija kwaajili ya utengenezaji wa video yake mpya ya wimbo Number One remix aliyomshirikisha msanii kutoka huko huko Naija anaitwa Davido. Nadhani tutegemee mambo mazuri sana kutoka kwa Diamond
Akiwa na Mwanamuzi Iyana


DIAMOND PLATNUMZ AKUTANA NA EMMANUEL ADEBAYOR NIGERIA

Emmanuel Adebayor (kushoto) na Diamond Platnumz wakiwa Four Point Hotel, ijini Lagos nchini Nigeria.