Alibaba

jeudi 10 novembre 2016

Picha: Tattoo mpya ya Lionel Messi

Mchezaji wa klabu ya Barcelona na Argentina Lionel Messi, ameonyesha tattoo yake mpya mguuni wakati akiwa anafanya mazoezi na timu yake ya taifa.

Messi ambaye ni mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or mara tano ameamua kuonyesha mguu wake wa kushoto ulivyokuwa umefunikwa na rangi nyeusi ya tattoo ambayo ina namba ya jezi yake namba 10.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire