Alibaba

vendredi 9 décembre 2016

Barcelona invite Chapecoense to play in pre-season friendly in bid to aid the 'reconstruction of the club'

Barcelona have invited tragedy-struck Chapecoense to play in a pre-season friendly next summer.
The Spanish champions have formally asked the Brazilian club if they wish to take part in the Joan Gamper Trophy, an annual match between Barcelona and an invited opponent at the Nou Camp.

Barcelona say they want to pay tribute and help with the "institutional and sporting reconstruction" of Chapecoense following last month's plane crash which killed 71 people, including 19 players.

"Barcelona has agreed to invite to the next edition of the Joan Gamper Trophy the Brazilian team Chapecoense, who were the victims of the tragic plane crash when on the way to play the final of the Copa Sudamericana in Colombia on 28 November," a statement read.

"Barcelona wants to pay tribute to the 71 people who died in the accident and their families, and will therefore make the 2017 Joan Gamper Trophy a great tribute to the world of football through various activities around this match which will become known as the date of this celebration approaches.

"Along with the invitation to Chapecoense to the 2017 Joan Gamper Trophy, Barcelona would like to collaborate on the institutional and sporting reconstruction of the club, and help to recover the competitive level that it had.

"Barcelona has today sent a formal letter of invitation to the current board of directors of Chapecoense."

The plane carrying the Chapecoense team, along with club officials and journalists, to Medellin for the Copa Sudamericana final against Colombian side Atletico Nacional came down late on Monday, November 28.

Just three of the team - defender Alan Luciano Ruschel, reserve goalkeeper Jackson Ragnar Follmann and centre-back Helio Hermito Zampier Neto - were named among only six survivors of the crash.

The South American Football Confederation (CONMEBOL) this week declared Chapecoense Copa Sudamericana champions 2016.

Barcelona kushiriki mechi ya kirafiki na Chapecoense mwaka 2017

Barcelona wameikarabisha klabu ya Brazil ya Chapecoense kwa mechi ya kirafiki kabla msimu wa kiangazi ujao.

Wachezaji 19 wa Chapecoense na wahudumu wa klabu hiyo walikuwa miongoni mwa watu 71 waliuawa katika ajali ya ndege iliyokuwa ikiwasafirisha kutoka Colombia kwa michuano ya fainali ya mkondo wa kwanza wa Sudamericana.
Mechi hiyo ya kirafiki itakuwa ya kuwania kombe la Joan Gamper, ambayo huandaliwa kila mwaka kati ya klabu ya Barcelona na timu alikwa.

Katika taarifa, Barcelona imesema walitaka ''kutoa heshima zao za mwisho'' kwa waathiriwa na kuisaidia timu ya Chapecoense kustawi tena.

Wachezaji watatu wa Chapecoense walikuwa miongoni mwa watu sita walinusurika katika mkasa huo.
Barcelona wamesema walitaka kulifanya kombe hilo la Joan Gamper kama 'heshima yao kubwa kwa ulimwengu wa soka kupitia shughuli mbalimbali zitakazo andaliwa kwenye mchuano huo.

''Licha ya kuialika timu hiyo ya Chapecoense kwa kombe la Joan Gamper mwaka 2017, Barcelona pia wamesema wangependa kushirikiana na klabu hiyo kwa ujenzi wa uwanja ili kuisaidia timu hiyo kujiendeleza katika kiwango cha ushindani waliokuwa nao hapo awali,''waliongezea Barcelona.
Barcelona leo hii imetuma barua rasmi ya mualiko kwa bodi ya wakurungezi wa klabu ya Chapecoense.

JINSI YA KUMPATA MSICHANA ANAEONEKANA MGUMU KUPATIKANA

MWANAMUME yeyote anapotaka kumtongoza mwanamke hulazimika kwanza kumwonesha – japo kwa matendo – kuwa anampenda, au kwamba amevutiwa naye, hata kama ni kimwili tu. Hatua hii ndiyo yenye changamoto kubwa zaidi kwa mwanamume, maana ndipo wakati anapokuwa anajaribu kufikisha ujumbe kwa mlengwa huku yeye mwenyewe akijihakikishia kuwa haharibu mambo.
Mwanamume anapokuwa anajaribu kufikisha ujumbe wa “nakupenda” kwa mwanamke, mapigo ya moyo yanaweza kumwenda mbio, hususan kama mwanamke mwenyewe anaonekana kuwa “maji marefu”. Hata hivyo, ni kazi ambayo kila mwanamume hulazimika kuifanya.
Kazi hii ya kufikisha ujumbe kwa mara ya kwanza huhitaji umakini. Bahati njema, shughuli yenyewe ina sayansi yake, ambayo ina misingi katika mahusiano ya kijamii. Ukifahamu sayansi hii inaweza kuwa rahisi zaidi kwako kufikisha ujumbe kwa mtarajiwa wako – na kufanikiwa.

1. KUKUTANISHA MACHO NI MUHIMU

Kawaida, mambo yote huanzia – na pengine kuishia – katika kukutanisha macho. Mwanamke atakapobaini kuwa hujajaribu kumwangalia japo kwa sekunde mbili mfululizo, ataondoa mawazo na hisia zake kwako hata kabla hujasema neno lolote.
Macho ndizo zana muhimu zaidi mtu anapokuwa anataka kufikisha ujumbe kwa mwenzake kuwa anampenda, au amevutiwa naye. Hii ni kwa sababu macho ndiyo vipitisho na visambazaji muhimu vya ishara baina ya mtu na mtu, hata kama si katika masuala yanayohusiana na mapenzi.
Kukutanisha macho na mtu wa jinsia nyingine unayevutiwa naye au anayevutiwa nawe ni jambo lenye nguvu za ajabu katika kuanzisha uhusiano. Kwa sababu hiyo, hata unapofanikiwa kumtazama moja kwa moja machoni mwenzako hutarajiwi kutumia zaidi ya sekunde mbili, kutokana na nguvu iliyomo katika mawasiliano haya.
Katika hili, wanaume mahiri hufahamu ni wakati gani wa kumwangalia mwanamke na ni wakati gani wa kutomwangalia. Mara nyingi, ni vizuri zaidi kumwangalia zaidi mwanamke wakati anapozungumza, huku ukikwepesha macho kidogo pale unapozungumza wewe.

2. UNATAKIWA UWIANO, UKWELI KATIKA MAZUNGUMZO

Ni jambo lisilopingika kwamba wanaume na wanawake wanatofautiana katika maana ya dhana ya mawasiliano. Hata hivyo, bado inawezekana kuendesha mazungumzo shirikishi na yenye kuburudisha ukiwa na mwanamke, bila kuonekana wa bandia.
Watu wa jinsia zote mbili wanaweza kutuhumiwa kwa kupindisha ukweli na kujaribu kuficha tabia na mienendo yao wanapozungumza na wapenzi watarajiwa. Naam, katika mazungumzo ya kwanza baina ya wapenzi au wachumba watarajiwa uwongo – ukiwemo ule usiotarajiwa – huwa mwingi.
Katika mazungumzo ya kwanza ni kawaida kwa mwanamume kubadilisha matendo yake na mtindo wake wa kuzungumza kwa maslahi ya kumpata mwanamke, jambo ambalo huifanya hulka yake ya wakati huo kuwa ya bandia. Lakini pia wasichana/wanawake husema “Nakupenda” bila kumaanisha, pengine kwa ajili ya kumfurahisha mwanamume, au kusikia mwanamume atasemaje.
Jambo la muhimu katika mazungumzo ya awali baina ya mwanamume na mwanamke ni kuepuka michezo ya kudanganyana na kukwepana, badala yake, yafanye mazungumzo kuwa rahisi na halisi. Hapo ndipo mwanamume hujitofautisha na wanaume wengine na kupendwa kwa sababu hiyo.

3. USIPUUZE NGUVU YA LUGHA YA MATENDO

Wakati mtu anapokuwa akijaribu kuwasilisha ujumbe wa “Nakupenda” kwa mwenzake, lugha ya matendo yake huzungumza kwa sauti kubwa zaidi kuliko maneno yake. Hili limeweza kuthibitishwa kwa nyakati mbalimbali kutokana na tafiti mbalimbali.
Katika muktadha wa kujaribu kufikisha ujumbe wa “Nakupenda” kwa mlengwa, lugha ya matendo ndiyo yenye nafasi kubwa zaidi. Kwa hakika, asilimia kubwa ya ujumbe unaowasilishwa kwa mlengwa huwasilishwa kwa njia ya matendo ya mwili na si maneno. Ni asilimia ndogo tu ya ujumbe inayowasilishwa kwa maneno – na wakati mwingine maneno huweza kuleta matatizo maana katika kuzungumza kuna kujikwaa kwingi, kwani ulimi hauna mfupa.
Ili uweze kufanikiwa katika kueleza nia yako kwa mwanamke, lazima ujue jinsi ya kutumia lugha ya matendo yako. Na pengine hutatumia nguvu, maana watu husema penzi kikohozi – kama unalo litaonekana tu machoni pa mlengwa.
Ukitafakari kwa makini utabaini kuwa huhitaji kusema sana ndipo uweze kupendwa, kwani maneno huchangia asilimia kidogo tu. La muhimu ni kuhakikisha kuwa mlengwa wako anakusoma na kukuelewa vizuri kwa kuangalia matendo ya mwili wako.

4. ACHA ASILI ICHUKUE MKONDO WAKE

Katika nadharia mbalimbali za kijamii na kidini ni jambo la kawaida kusikia kuwa binadamu wote ni sawa. Hata hivyo, katika muktadha wa kimapenzi, kila mtu mmoja mmoja anafahamu kabisa kuwa si kila mwanamume/mwanamke ni sawa na mwenzake.
Methali yenye asili ya kimagharibi husema “Uzuri wa mtu uko katika macho ya yule anayemtazama.” Hii ina maana pia kwamba, kila mtu anavyo vigezo vyake vya uzuri kwa kuzingatia maumbile yake. Pia jamii zinavyo vigezo vya uzuri, lakini hutangulia kwanza vigezo binafsi.
Unapokuwa umekaa na mwanamke ambaye anakuvutia kwa mwonekano wake, sauti yake na kadhalika, si rahisi sana kujizuia kuonesha kuwa anakuvutia. Hii ni kwa sababu si wewe, bali ni nafsi yako inayokusukuma. Na yeye mwenyewe atakusoma kwa kuangalia lugha ya matendo yako na kukwelewa, utakaobaki ni uamuzi wake tu.
Katika jamii kuna vigezo kuhusiana na kiuno, miguu, maziwa, makalio na kadhalika. Wengi wa wanajamii huvizingatia na kuongeza vyao. Huu ni ukweli wa kibiolojia ambao hauwezi kupingika. Mwanamke mwenye vigezo vinavyokubalika zaidi katika jamii yake atawavutia wanaume wengi zaidi. Hapa mwanamume hahitaji kutumia nguvu nyingi – asili ya maumbile itamsaidia humtambulisha mwanamke kuwa amempenda.

5. TUMIA CHANGAMOTO YA WALAKINI

Mara nyingi changamoto kubwa katika suala zima la mtu kubainisha nia yake kwa mwanamke hutokana na ukweli kwamba katika mchakato mzima huwa kuna wasiwasi na walakini. Kwa hakika, jambo hili ni la “pengine” au “labda” kutokana na kutoweza kufahamu kirahisi mwenzako anawaza nini.
Unapoonesha nia yako ya kumpenda mwanamke, ni kama unaamsha hisia zake kwako na ni kama vile unamuuliza: “Ungependa kuwa nami?” Kwa njia hii ni kama utakuwa unafungua mlango wa kupata jibu la “ndiyo” au “hapana” kwani huyo unayemwonesha kuwa unampenda na yeye ana matakwa yake na mapendeleo yake.
Kimsingi hakuna kanuni wala sheria rasmi unazopaswa kuzingatia wakati wote. La muhimu ni wewe mwenyewe kujiachia na kuingia katika maji usiyofahamu kina wala mwisho wake, bali wewe nenda na mkondo wake huku ukitarajia kuwa lolote linaweza kutokea. Hiyo ndiyo sehemu ya raha yake.

6. DHIBITI HISIA, MIHEMKO

Tofauti na mwanamke, mwanamume anayejaribu kuonesha nia yake hatakiwi kujiweka katika mkao wa mwanamitindo. Wanawake ndio hufahamika zaidi kwa mikao yao “ya kula” wanapokuwa katika mawindo (japo wengi hubisha), lakini si mwanamume. Wanawake ndio hutarajiwa kujieleza zaidi kwa njia ya matendo na mikao, lakini wanaume hutarajiwa kudhibiti hisia na mihemko yao .
Tofauti katika lugha ya matendo baina ya watu wa jinsia mbili hutokana na maumbile ya kujenetiki pamoja na utamaduni wa jamii husika. Yote yakizingatiwa, matakwa ya mwanamke ndiyo hupewa kipaumbele zaidi. Kwa ufupi, matendo ya kutongoza ya mwanamke huwa wazi zaidi, lakini mwanamume hulazimika kuficha hisia na mihemko yake.

IFAHAMU SAYANSI HII

Wajibu wa kufikisha ujumbe kwa mtu wa jinsia tofauti ni wa kila mmoja – mwanamume na mwanamke. Hata hivyo, wanaume ndio wenye jukumu kubwa zaidi la kuanzisha, kwa kuzingatia utamaduni wa jamii nyingi. Unaweza ukaona ugumu, lakini ipo sayansi itakayokusaidia. Kama una wasiwasi na uwezo wako, ni vizuri kuyazingatia yote yaliyobainishwa hapa.

FURIOUS 8: PAUL WALKER'S BROTHERS SUGGEST BRIAN O'CONNER MAY CAMEO

The Fast and the Furious 8 may feature an appearance by Paul Walker's character, Brian O'Conner, if recent comments by the late actor's brothers, Cody and Caleb, are any indication.

In an interview with ET , Caleb said he spoke with Vin Diesel about bringing O'Conner back for a future film. "I had a phone call with Vin for about an hour and we really discussed this a while back," he said.

"He wanted [our] blessing," Caleb continued, noting that Diesel wanted to check with them to see if it "would be acceptable to maybe bring Paul's character back… to really kind of let his fans know he's still out there."

Cody chimed in, adding, "Universal wants to make sure to be respectful of Paul and his image too, and his family."

The Fast and the Furious 8 is being directed by Straight Outta Compton's F. Gary Gray
and will open in theaters April 2017.

LE CHAPECOENSE CHANGE DE LOGO

Touché de plein fouet par un crash aérien qui a coûté la vie à 19 de ses 22 joueurs, le club de Chapecoense a décidé de changer son logo.
Après le terrible accident d'avion intervenu en Colombie le 28 novembre dernier qui a décimé l'équipe brésilienne de Chapecoense, le club a décidé de changer son logo.
Qualifiée pour la finale de la Copa Sudamericana, l'équipe devait affronter l'Atletico Nacional. La CONMEBOL a décidé d'attribuer le trophée aux Brésiliens. Les trois étoiles jaunes au-dessus de l’emblème ont laissé place à une étoile argentée représentant ce titre posthume.
"Symbole de la paix, pour nos éternels champions et la lumière qui nous guidera à partir de maintenant" , a confié le Chapecoense sur son twitter.

Nosso escudo ganhou novas estrelas. #VamosChape
19:00 - 8 Déc 2016
-------------------------------

 

LUKAKU : "JE N'AVAIS JAMAIS VU POGBA AUSSI HEUREUX QUE QUAND IL A SIGNÉ À MANCHESTER UNITED"

Romelu Lukaku, ami de Paul Pogba, a confié qu'il n'avait jamais vu le Français aussi heureux que lors de sa signature pour Manchester United.
Cet été, Paul Pogba a fait un choix crucial pour sa carrière. Après quatre saisons pleines et réussites à la Juventus, l'international français est revenu au bercail du côté de Manchester United. Le milieu de terrain a signé chez les Red Devils seulement quelques semaines après la défaite de la France en finale de l'Euro 2016. Dans la presse belge, Romelu Lukaku, ami de Paul Pogba, a affirmé ne jamais avoir vu le Français aussi heureux qu'au moment de son retour en Angleterre.

"J’étais là, à l’hôtel, quand Paul Pogba a signé pour Manchester United. Il y avait peut-être dix personnes autour de lui avec des serviettes et des contrats à l’intérieur. Je connais Paul depuis de nombreuses années mais je ne l’avais jamais vu afficher un tel visage, je ne l’avais jamais vu si heureux, une fois que tout a été signé, assure Lukaku. C’était un soulagement, un vrai bonheur pour lui" , a reconnu Romelu Lukaku .

"Durant les vacances, nous avons parlé une seule fois de foot. Autour de la piscine à Los Angeles, il me parlait de son rêve de revenir à Manchester United, poursuit l’international belge. J’ai compris ce que ça signifiait pour lui. Ce retour à Manchester United, ça n’a rien à voir avec l’argent" , a conclu l'attaquant d'Everton.

Nay wa Mitego: Biashara ya mimi na Mr T Touch ilishaisha

Nay wa Mitego anaweza akawa anamiss midundo ya producer wake wa zamani, Mr T Touch lakini hana mpango wa kufanya naye tena kazi.

Tangu waache kufanya kazi pamoja, rapper huyo amekuwa kimya kiasi na huenda akawa bado hajapata producer mwingine wa kuziba pengo lake. Akizungumza na mtangazaji wa Jembe FM, JJ, Nay amesema kuwa biashara yake na T Touch ilishakwisha.

“Katika suala ambazo huwa sipendi kuzungumzia ni suala la mimi na Mr T, tulishamalizina kama itakuja kutokea basi itakuja kutokea na kila kitu mtu ataona, nadhani hii biashara ya mimi na T ilishaisha,” alisema rapper huyo.

Kuhusu ukimya wake, Nay amesema ameamua kufanya hivyo makusudi ili kuwapa nafasi watu wengine. Amesema muda si mrefu atarejea tena akiwa na nguvu mpya baada ya kubaini kipi kinamiss kwenye muziki.

Vanessa Mdee adai wazo la wimbo ‘Cash Madame’ amelipata baada ya kuzinguliwa na promota

Msanii wa kike wa muziki, Vanessa Mdee amedai wazo la kuandika wimbo ‘Cash Madame’ alilipata baada ya kuzinguliwa malipo yake ya show ya promota.

Akiongea katika kipindi cha Mji Wa Burudani cha Choice FM wiki hii, Vanessa alisema “Promota alinizingua kwenye malipo hapo ndipo nilipopata wazo la kuandika wimbo wangu wa Cash Madame,”.

Pia muimbaji huyo amesema kwasasa ajipanga kufanya muziki mzuri zaidi huku akidai wakati wake wa kuwa na familia bado.

Katika hatua nyingine alisema ingawa amesomea sheria lakini kitu ambacho ameamua kukifanya katika maisha yake ni muziki.

“Ni kweli nimesomea sheria ila sijawahi kufanya kazi ya sheria na sio kwamba nilikuwa napenda sheria napenda muziki,” alisema Vanessa Mdee.

Cassper Nyovest apata shavu kutokea kwenye cover la Forbes Africa Life

Rapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest amefanikiwa kutokea kwenye jarida la Forbes Africa Life.

Kupitia mtandao wa Twitter wa jarida hilo, wameandika, “@CassperNyovest started performing in front of a few people at school, 20 years later he’s filling up stadiums – @forbesafrica out NOW!.”

Naye Cassper ameonyesha furaha yake kwa kuandika kwenye mtandao wa Instagram, “Mama I made it!!! I made it on the Forbes Africa Life Cover!!!! All the glory to God!!! Black child , it’s possible!!! Go out there and do it for yourself!!! @forbesafrica out now!!!.”

Oktoba ya mwaka huu rapper huyo aliweka rekodi nyingine ya kuwa msanii wa kwanza wa Afrika kusini kuujaza mwenyewe uwanja wa mpira wa Orlando jijini Johannesburg kwenye show yake aliyoipa jina Fill Up Orlando Stadium.

Fifa kuanza kutumia Video michezoni

Mashindano ya FIFA ya Kombe la Dunia kwa Klabu yalianza hapo jana huko Japan na waamuzi wa Mechi hizo watapata msaada wa maamuzi yao kwa kutumia Video kutoka kwenye Mfumo wa Majaribio uitwao VARs, Video Assistant Referees.

Mfumo wa Video kusaidia maamuzi ya waamuzi wawapo Uwanjani umefanyiwa Majaribio rasmi ya FIFA kwa mara ya kwanza katika Mechi ya Kimataifa mwezi Septemba wakati Italy ilipocheza na Ufaransa huko Bari.

Kwenye Mfumo huo wa Video, mwamuzi Msaidizi anakuwepo pembeni mwa Uwanja na anakuwa na Mawasiliano na Refa wa Mechi wakati wote wa Mechi hiyo akipitia Video bila kusitisha Mechi.

VARs imekuwa ikitumika kwa Majaribio huko Marekani kwenye Ligi Daraja la 3 na sasa FIFA, ikishirikiana na IFAB, ambacho ndicho chombo pekee kinachoweza kubadili Sheria za Soka, vimeafika Majaribio hayo na sasa yameingia hatua mpya .

Mashindano hayo yanaanza Leo huko Yokohama kwa Wenyeji Kashima Antlers kucheza na Auckland City ya New Zealand.