Alibaba

mercredi 14 septembre 2016

Messi destroyed Barcelona team-mates at 16 - Giuly

Ludovic Giuly has recalled how the Barcelona team was "destroyed" by a 16-year-old Lionel Messi in training.

Then Barcelona coach Frank Rijkaard promoted Messi to the first team to make up the numbers on the training pitch during an international break.
And Giuly - who won two La Liga titles and the Champions League with Barca - was thoroughly impressed by what he saw at the time.

"Messi was only 16, but he destroyed us all in a training session," Giuly was quoted as saying by Sport.
"They were kicking him all over the place to avoid being ridiculed by this kid, but he didn't say anything. He just got up and kept on playing.

"Every play he made was dangerous. It was incredible. He would dribble past four players and score a goal.
"Even the team's starting centre-backs were nervous. They would go in hard on him, but he took it in. He was an alien. He killed us all."

Since that training session and his making Barca debut in 2005, Messi has scored over 450 goals for the club and has established himself as one of the best players in world football.
The 29-year-old has netted six times in as many outings this campaign, scoring a hat-trick in the 7-0 demolition of Celtic on Tuesday, with his treble a record sixth in the Champions League.

Van Bronckhorst: Manchester United still one of world´s biggest clubs

Feyenoord boss Giovanni van Bronckhorst believes Manchester United remain one of the biggest clubs in the world as they prepare for Thursday's Europa League encounter in De Kuip.

United boss Jose Mourinho has left players such as Wayne Rooney and Henrikh Mkhitaryan out of his squad for the trip to Rotterdam, but Van Bronckhorst feels they still have plenty of high-profile names left and are still a huge force despite their absence from the Champions League.

"It's a very big game for us against one of the biggest teams in the world. It's a big challenge," Van Bronckhorst stated at a news conference.

"We are playing against a top team and will have to be patient. You will be punished if you make mistakes at this level. We have to take our chances.

"The squad United are taking to Rotterdam has a lot of individual quality and experience. United have a number of players who can make the difference. No matter what their team looks like on Thursday, we will be prepared.

"This is a difficult group with some strong opponents, but our goal is to survive the group stages. We want to play as many big games as possible. It would be a big bonus for us if we still play in Europe after the winter break."

Dirk Kuyt, meanwhile, is full of respect for opponents United, but is hopeful of getting a good result.
"I think United are under enormous pressure because everyone wants them to win the Premier League. They are a contender for the league," Kuyt added.

"PSV beat United last year and that was a fantastic result, but this is a different United. Mourinho will win trophies with United if he gets time. He is a very successful coach.
"I want to be successful against United. I have good memories of games against them from my time at Liverpool They are still a bit of a rival to me."

Rais akaribia kupatikana Uchaguzi wa UEFA

Mkuu wa chama cha soka cha Slovenia, Aleksander Ceferin yuko mbioni kushinda uchaguzi wa Urais wa chama cha soka barani Ulaya UEFA katika uchaguzi utakao fanyika Athens nchini Ugiriki.

Kwa mujibu wa vyanzo vya karibu vya Ceferin vimeiambia BBC kuwa ana karibu waungaji mkono 40 wa awali kutoka nchi 55 wanachama wa UEFA.

Mpinzani wake mkuu ni Mdachi Michael van Praag ambaye ni mwanachama wa kamati ya utendaji na aliyekuwa mwenyekiti wa klabu ya Ajax ya nchini Uholanzi.

Aliyekuwa Rais wa shirikisho hilo ambaye yupo kizuizini kwa sasa kwa madai ya kukiuka sheria za maadili Michel Platini anajiandaa kuhutubia kabla ya uchaguzi baada ya kupata ruhusa maalum ya kutoa hutuba fupi kutoka bara za la maadili la UEFA.

Mfaransa huyo alizuiliwa kujihusisha na soka kwa muda wa miaka minne baada ya kugundulika kuwa amepokea karibu Euro milioni 1.6 malipo yaliyoidhinishwa na aliyekuwa Rais wa uefa Sepp Blatter mwaka 2011.

BARAKAH DA PRINCE Ft. ALI KIBA - NISAMEHE

Picha za Marehemu Tupac na siku yake


 

Leo tunaungana na mashabiki wa Hiphop duniani kote kumkumbuka rapper, Tupac Amaru Shakur ‘2PAC’ kifo chake ambacho kilitokea tarehe na mwezi kama wa leo September 13 1996, kuna baadhi ya picha ambazo hujawahi kuziona za msanii huyo.

Mwaka 1995 mwezi Marchi kulikuwa nampiga picha mmoja aliyekuwa akijulikana kwa jina la Gobi. M. Rahimi, alikuwa ndiye mpiga picha aliye mpiga 2pac mpaka siku ya kifo chake kinatokea, Mpiga picha huyo ameamua kutumia fursa hiyo ya kumkumbuka msanii huyo ikiwa ni miaka 20 tangu kifo chake kitokee.
 screen-shot-2016-07-14-at-1-46-35-pm
 tupac-with-his-harley









pac
shakur
shakur-smokes
thug-life
tupac-backstage
tupac-rapping
tupac-smiles-to-fans
tupac-takes-a-break

Rahimi ni moja ya wapiga picha ambao wanafanya kazi ya kutengeneza frame za picha katika mtandao wa Sonic Editions Website na hii inaweza kuwa opportunity ya kuingiza mkwanja kupitia picha hizo.
Picha hizo zilizopigwa na Gobi, ni picha ambazo zimepigwa kwenye miaka ya 1994 wakati 2Pac anaperforme Chikago na zingine ilikuwa ni mwaka 1995.
 

Ufaransa na Uingereza lawamani kwa kuangusha utawala wa Gaddafi Libya

Ripoti ya kamati ya bunge nchini Uingereza imekosoa hatua ya Uingereza na Ufaransa kuingilia kati na kusaidia kuondolewa mamlakani kwa Kanali Muammar Gaddafi nchini Libya mwaka 2011.

Kamati hiyo ya Mambo ya Nje imesema Uingereza iliongeza chumvi ilipokuwa inaeleza hatari ambazo zingewakumba raia baada ya serikali ya Gaddafi kuanza kukabiliana na maasi.

Mpango wa kuingia kati kusaidia mwishowe ulitumiwa kama fursa ya kubadilisha utawala, ripoti hiyo inasema.

Inamtuhumu aliyekuwa waziri mkuu David Cameron kwa kukosa kuandaa mkakati mahsusi kuhusu Libya.
Wabunge hao wanasema hilo lilisababisha kutokea kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe, mzozo wa wahamiaji, ukiukwaji wa haki za kibinadamu na kukua kwa kundi la wapiganaji wa Kiislamu wanaojiita Islamic State Afrika kaskazini.
Msemaji wa serikali ya Uingereza ametetea serikali na kusema muungano wa mataifa ya Kiarabu, Arab League, pamoja na Umoja wa Mataifa, wote waliunga mkono hatua hiyo ya kijeshi.

Gaddafi aliuawa na waasi 20 Oktoba, 2011.

INAWEZEKANA: Leicester City walihitaji kusajili mastaa wapya!

NDUGU msomaji, dirisha kubwa la uhamisho lilifungwa wiki iliyopita. Dirisha hilo lilikuwa nafasi kubwa kwa klabu kubwa England kujipanga upya na kuboresha vikosi vyao.
Lakini, wakati klabu kama Manchester City na Manchester United vimekuwa na lengo hilo, la kusajili wachezaji wenye uwezo wa kuboresha vikosi vyao, mabingwa wa England, Liecester wamekuwa na lengo tofauti.
Lengo kuu la timu hiyo katika dirisha kubwa la usajili lilikuwa kuhakikisha kwamba, nyota wa timu hiyo hawauzwi kwenda klabu kubwa zaidi, ambazo zilikuwa zikiwasaka usiku na mchana.
Bila shaka wachezaji kama Riyad Mahrez, N’Golo Kante na Jamie Vardy walikuwa na mchango mkubwa kuhakikisha Leicester wanakuwa mabingwa wa England.
Lakini, bahati nzuri kwa Leicester City ni kwamba kati ya wachezaji hawa watatu, ni Kante tu ambaye alisajiliwa na Chelsea baada ya kupigwa dau la uhakika na kuamua kung’oka klabuni hapo.
Hakika Kante ameacha pengo kubwa katika kikosi cha Leicester kutokana na uwezo wake mkubwa wa kusoma mchezo na kumudu jukumu lake. Hata hivyo, viongozi wa klabu hiyo wanaamini kwamba, walikuwa na dirisha zuri la usajili kwa kuwa walifanikiwa kumbakisha Vardy na Mahrez.
Wachezaji hawa wawili walisakwa sana na vilabu vingi tofauti katika dirisha kubwa la uhamisho wakiwemo Arsenal. Na bado waliamua kubaki Leicester.
Hivyo, katika karatasi ukimtoa tu Kante, Leicester bado wana kikosi kile kile ambacho kilishinda Ligi Kuu ya England.
Na pia wana kikosi kipana zaidi kutokana na kumsajili Ahmed Mussa kutoka CSKA Moscow.
Lakini, timu hiyo imeanza msimu huu vibaya sana. Wikiendi hii, Leicester walifungwa na Liverpool mabao 4-1.
Na kwa sasa wameshika nafasi ya 15 wakiwa na pointi moja tu baada ya mizunguko mitatu.
Leicester kwa mtazamo wangu hawana kikosi kibaya, lakini tofauti na klabu zingine za England, wameshindwa kuboresha kikosi chao katika dirisha kubwa la usajili. Ndio walifanikiwa kuongeza mkataba wa wachezaji tegemeo kama Vardy na Mahrez.

Marufuku kubadilishana jezi Man United

Mastaa wakali wa timu hiyo, kuanzia kwa Zlatan Ibrahimovic, Wayne Rooney, Paul Pogba, Juan Mata na wengineo wamepigwa marufuku kubadilishana jezi na wachezaji wa timu pinzani kwa ajili ya kuokoa pesa.
Zlatan analipwa pauni 260,000 kwa wiki, akiwa daraja la juu la malipo kama ilivyo kwa akina Rooney, lakini wameambiwa wasibadilishane jezi zao ambazo kwa kawaida zinagharimu pauni 80 tu kwa kile kinachoitwa kubana matumizi.
Kila mchezaji mmoja wa United anapewa jezi nne kwa ajili ya mwanzo wa msimu ambapo, mbili zinakuwa za mikono mirefu na mbili zinakuwa za mikono mifupi huku pia akipewa bukta nne pamoja na soksi pea nne kuendana na jezi za juu.
Hata hivyo, wachezaji hao uzimaliza jezi hizo mapema kwa kubadilishana na wachezaji wa timu nyingine, lakini pia wamekuwa wakiwapa mashabiki kwa kuwakabidhi mikononi mara baada ya kumalizika kwa mechi mbalimbali.
“Wameombwa wasibadilishane jezi kwa sababu hawatapewa nyingine. Inashangaza sana ukiangalia thamani ya klabu jinsi ilivyo,” alisema mtu mmoja wa ndani wa Manchester United kufuatia agizo hilo.
Licha ya utajiri wa United, agizo hilo linaonekana kufuata nyayo za klabu ya Cambridge United ya madaraja ya chini ambayo mwaka jana katika pambano la FA dhidi ya Manchester United iliwaagiza wachezaji wake wasibadilishane jezi na wachezaji wa United kutokana na ukata uliokuwa unawakabili.
“Wamiliki wana sifa ya kuchunga sana gharama ambazo hazina umuhimu,” aliendelea kusema mtoa taarifa huyo. Hesabu zinaonyesha kuwa kila mchezaji wa United akiamua kubadilishana jezi na mchezaji wa timu pinzani, United itagharamika kiasi cha pauni 660.
Agizo hilo litapokelewa kwa mshangao mkubwa na mashabiki wengi wa soka duniani kote ukizingatia kuwa United ni moja kati ya klabu tajiri duniani ambao msimu huu ilithibitisha utajiri wake kwa kulipwa dau la pauni 89 milioni kwa kumchukua kiungo, Paul Pogba kutoka Juventus huku dau hilo likiwa rekodi ya uhamisho duniani.
Mpaka sasa United inakadiriwa kuwa na thamani ya pauni 3 bilioni ikiwa inafukuzana kwa karibu zaidi na Real Madrid katika nafasi ya juu ya kuwa klabu yenye thamani zaidi duniani na nguvu hiyo imekuwa ikiongezeka kila kukicha.
Julai 2014, ilisaini mkataba wa miaka 10 na kampuni ya vifaa vya michezo ya Adidas ambapo thamani ya mkataba huo ni pauni 750 milioni kwa miaka hiyo wakiing’oa kampuni shindani ya Nike. Dau hilo ni sawa na pauni 75 milioni kwa mwaka.
Kwa wakati huo dili hilo lilikuwa kubwa zaidi katika udhamini duniani, lakini sasa limepitwa na dili la kampuni hiyo hiyo kwa klabu pinzani tajiri ya Real Madrid ambayo imeingia mkataba wa pauni 117. 2 milioni kwa kila mwaka.

Fifa yaitibulia Man Utd kwa Griezmann

                   NADHANI umeshawahi kusikia stori za Gareth Bale na Antoine Griezmann kuhusu kutua Manchester United hapo mwakani,

lakini Fifa imetibua dili mwanangu.
Mabosi wa Manchester United ambao wao kutumia pesa si tatizo, walikuwa na mpango wa kulishika pabaya soka la Hispania kwa kuwanasa mastaa wao muhimu ikiwamo Bale na Cristiano Ronaldo kutoka Real Madrid, Griezmann kutoka Atletico Madrid na Neymar wa Barcelona.

Hata hivyo, sasa Fifa imetibua baada ya kushikilia msimamo wa kuzifungia kusajili Real Madrid na Atletico Madrid kwa madirisha mawili mfululizo ya usajili jambo ambalo litazifanya timu hiyo kusitisha mpango wowote wa kuuza mastaa wao kwa sababu hawataweza kupata wa kuziba mapengo. Atletico Madrid na Real Madrid sasa zitaruhusiwa kusajili kwenye dirisha la Januari 2017.
Kutokana na hilo, staa pekee wa Hispania ambaye Man United wanaweza kulazimisha na kuipata saini yake ni Neymar, ambaye huenda akashawishika kuondoka kwenye timu hiyo kwenda kuanza maisha kwenye timu ambayo atahesabika kama staa mkubwa wa timu tofauti na ilivyo Barcelona ambapo amemezwa na Lionel Messi.
Real Madrid sasa inataka kuwafunga vitanzi mastaa wake kwa kuwapa usajili wa muda mrefu ili kujiondoa kwenye hatari ya kunaswa na timu nyingine wakati ikiwa bado inawahitaji waendelee kubaki Santiago Bernabeu. Kutokana na hilo Man United sasa imeamua kusitisha mpango wa kuwasajili nyota hao pamoja na Neymar wa Barca.
Ripoti kutoka ndani ya klabu ya Man United zimeelezwa kushangazwa pia na taarifa zilizozagaa huko Hispania kwamba, walipanga kumpa Neymar mshahara wa Pauni 650,000 kwa wiki ili aachane na Barcelona.