Alibaba

samedi 30 mai 2015

Kundi la UHURU la Sauzi Afrika Lamuomba Diamond Platnumz Kufanya Remix ya Wimbo wa Nana Uliotoka Jana na Kuwa Gumzo Afrika.

Diamond ni Star Africa kuliko watanzania
tunavyomchukulia wakati Kundi la Uhuru
Kutoka Sauzi Afrika wakiomba kufanya
Remix ya Wimbo wake Mpya wa Nanaa,
Usiku wa kuamkia leo nchini Nigeria video ya
nana ilikuwa gumzo kwenye mitandao.
Wabongo sijui kwanin hatupendi vya kwetu
siku Diamond Platnumz mungu amemchukua
hawa wanao mbeza na kumtukana ndo
wanafiki wa kwanza kujifanya kulia hadi
kuzimia huku wakimsifia......