Alibaba

samedi 24 septembre 2016

Wenger: Sitasoma kitabu cha Mourinho

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger anasema kuwa ''hatosoma'' kitabu ambacho mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho amesema atauvunja uso wa kocha huyo wa Arsenal.

Mourinho amekuwa akizozana na Wenger alipokuwa akiifunza Chelsea na alimuita mkufunzi huyo ''maalum kwa kushindwa''.

''Mimi huzungumza kuhusu soka-hicho ndio ninachofanya'',alisema Wenger mwenye umri wa miaka 66.

''Siko katika hali ya kutaka kuharibu,mimi hupenda kujenga.Ninaangazia mechi ya Jumamosi dhidi ya Chelsea''.

Mourinho mwenye umri wa miaka 53 alimuita Wenger ''mpiga chabo'' mwaka 2005 baada ya kutaka kujua kuhusu sera za uhamisho za Chelsea.

Raia huyo wa Ureno alimuita Arsene Wenger ''mtu maalum kwa kushindwa'',mnamo mwezi Februari 2014 baada ya raia huyo wa Ufaransa kusema kuwa baadhi ya wakufunzi wa ligi kuu ya Uingereza wameanza kulalamika kwa sababu ''wanahofia kufeli''.

Maumivu ya hedhi yawaathiri wanawake wengi kazini

Wanawake wengi wamekabiliwa na maumivu wakati wa hedhi, hali inayoathiri uwezo wao kufanya kazi , utafiti unasema.

Utafiti huo wa YouGov uliohusisha wanawake 1,000 katika kipindi cha BBC, umegundua kuwa 52% waliuguwa, lakini 27% waliwaarifu waajiri wao kwamba ni mamumivu yanayotoka na hedhi.

52% pekee, karibu thuluthi yao waliomba kwenda nyumbani japo kwa siku kutokana na maumivu ya hedhi.
Na daktari mmoja amependekeza waajiri sasa waanze kutoa

''siku ya mapumziko ya hedhi'' kwa wanawake.
Wanawake 9 kati ya 10 wameeleza kuwahi kuugua maumivu ya hedhi kwa wakati mmoja.

Daktari wa magonjwa ya wanawake kutoka London Gedis Grudzinskas, anasema wanawake wanapaswa kuwa na uwazi zaidi kuhusu tatizo hili na waajiri wawe ni wenye kuwaelewa.

Ameongeza: "kupata hedhi ni jambo la kawaida, lakini baadhi ya wanawake huteseka sana kimya.

"sidhani wanawake wanapswa kuona haya kuhusu tatizo hili na kampuni zinapaswa kuwaelewa kwa naman wanavyotaabika kwa uchungu wanao uhisi."

Dr Grudzinskas anasema njia moja ni kutoa likizo au amapumziko ya hedhi kwa wafanyakazi wote wanawake kama ilivyo sasa kwa nchi kama Japan.

"Mapumziko hayo yatafanya kila mtu afanye kazi vizuri ambalo ni jambo lenye manufaa,"
amesema.
"Hakuna uelewa wa kutosha kuhusu maumivu au uchungu huo na kuwa huenda maumivu hayo wakatimwingine yanadhihirisha ugonjwa mkubwa zaidi ''.

"Watu husahau kuwa wanawake ni nusu ya nguvu kazi, iwapo watahisi wanaungwa mkono , itakuwa ni furaha na ufanisi wa kila mtu."

MOURINHO : "JE SUIS LE PIRE ENTRAÎNEUR DE L'HISTOIRE DU FOOTBALL"

José Mourinho a ouvertement critiqué les journalistes en conférence de presse en les qualifiants "d'Einsteins du football" avant la rencontre face à Leicester.

Après une série de trois défaites consécutives, Manchester United a retrouvé le chemin de la victoire en League Cup contre Northampton. Avant le choc face à Leicester en Premier League, José Mourinho s'en est ouvertement pris aux journalistes qui l'ont critiqué lors de la mauvaise passe de son équipe ces dernières semaines en les nommant

"les Einsteins du football".

" Je suis le pire entraîneur de l'histoire du football, a lâché José Mourinho avec humour. Je suis un gars chanceux. Je ne peux pas être en colère contre quoi que ce soit. La seule chose qui me dérange un peu le genre de critique qu'il y a sur mes joueurs. Je voudrais bien protéger mes joueurs, mais de vous (ndlr les médias), je ne peux pas. C'est complètement hors de mon contrôle, ça me donne un sentiment que c'est difficile, c'est frustrant" .
L'entraîneur de Manchester United a critiqué la connaissance des journalistes : "Les Einsteins (ndlr les journalistes) ont besoin d'argent pour vivre. Ils ne peuvent pas entraîner, ils ne peuvent pas être sur le banc, ils ne peuvent pas gagner des matches. Ils peuvent parler, ils peuvent écrire. Ils peuvent critiquer le travail des autres. Mais je suis un homme bon. Je suis un homme de bonne volonté. Je fais beaucoup de travail de charité. J'aide tant de gens. Pourquoi ne pas aider aussi à nourrir les Einsteins" .

Enfin, le Portugais a évoqué son adversaire, Leicester, en avouant qu'il est compliqué de conserver le titre de champion d'Angleterre : "Je pense qu'il est évidemment très difficile de conserver le titre. Pas uniquement pour Leicester, pour tout le monde. Peu d'équipes au cours de la Premier League ont réussi à le faire. L'une des équipes était bien sûr Man United. Un autre était une équipe dirigée par le pire entraîneur de l'histoire du football. C'est vraiment difficile. La réalité est que je les regarde et ils sont très bons. Ils ont gagné la Premier League parce que certaines des grandes équipes n'étaient pas assez bonnes la saison dernière" .

jeudi 22 septembre 2016

Tiwa Savage akava jarida la Vibe

Diva wa muziki wa Nigeria, Tiwa Savage amekava jarida la Vibe la Marekani kwenye toleo litakalotoka mwisho wa mwezi huu.

Muimbaji huyo amefunguka mambo mengi kwenye jarida hilo ikiwemo mwanzo alipoanzia mpaka kuingia kwenye muziki, maisha yake na mambo mengine mengi.

“I played trombone. Don’t ask me if I still play [laughs], but I literally picked it up because I had a crush on a boy in high school. He used to hang around with the cool kids, the musicians and dancers. Here I was: this kid fresh from Nigeria, strong accent, my mom shaved my hair off,”

amesema Tiwa kwenye jarida hilo.

“I tried to get his attention. I went to this music teacher and said that I really wanted to do music. He looked to the corner of the room and said the trombone was the only instrument left. I picked it up, but eventually got bullied for it because it was always getting in the way on the bus.”

“That was having the opposite effect of what I wanted because this guy’s now laughing at me instead of falling in love with me. So, I gave up and joined the choir.”

Hii ni mara ya pili kwa msanii huyo kutokea kwenye majarida tofauti ndani ya mwezi mmoja, alitokea kwenye jarida la Elle la Afrika Kusini mwezi uliopita.

Tuzo za MTV MAMA 2016 wasani watajwa, nao ni…

Orodha ya wasanii watakaowania tuzo za MTV MAMA 2016, Jumamosi ya Oktoba 22 kwenye ukumbi wa Ticketpro Dome, Afrika Kusini imetoka – kuna vipengele tisa. Tanzania inawakilishwa na Alikiba, Diamond na Navy Kenzo.

Hii ni orodha kamili ya wasanii waliochaguliwa kuwania tuzo hizo

Best Live Act
Stonebwoy (Ghana)
Cassper Nyovest (South Africa)
Mafikizolo (South Africa)
Mr Flavour (Nigeria)
Eddy Kenzo (Uganda)

Best POP/ ALtenative
Tresor – Never let Me Go
Shekinah & Kyle Deutsch – Back to the Beach
Timo ODV – Find My Way
LCVL ft Sketchy Bongo – Cold Shoulder
Desmond & The Tutus – Pretoria Girls

Personality of the Year
Caster Semenya
Linda Ikeji
Pearl Thus
Wizkid
Pierre Emerick

Best Group
Toofan (Togo)
Micasa (South Africa)
Navy Kenzo (Tanzania)
R2Bees (Ghana)
Sauti Sol (Kenya)

Best Male
Black Coffee (South Africa)
Diamond Platnumz (Tanzania)
AKA (South Africa)
Patoranking (Nigeria)
Wizkid (Nigeria)

Best Lusophone
NGA
Nelson Freitas
C4 Pedro
Lizha James
Preto Show

Best International Act
Beyonce
Drake
Adele
Future
Rihanna

Best Collaboration
AKA ft Yanga, Burna Boy, Khuli Chana – Baddest
Dj Maphorisa, ft Wizkid, Dj Buckz – Soweto Baby
Nasty C ft Davido, Cassper Nyovest – Juice Back (Remix)
Sauti Sol ft Alikiba – Unconditionally Bae
Patoranking ft Sarkodie – No Kissing

Best Hip Hop
Emtee (South Africa)
Ricky Rick (South Africa)
YCEE (Nigeria)
Olamide (Nigeria)
Kiff No Beat (Ivory Coast)

Wakala wa Yaya Toure akataa masharti ya Guardiola

Meneja wa Manchester City Pep Guardiola amejipata katika vita vya maneno na wakala wa kiungo wa kati Yaya Toure baada ya kukosa kumteua kiungo huyo katika kikosi cha wachezaji 25 watakaoshiriki katika mechi za klabu bigwa barani Ulaya katika hatua ya makundi.

Guardiola amesema hatamteua mchezaji huyo hadi pale wakala wake Dimitry Seluk, atakapoomba msamaha kwa matamshi aliyotamka kwa vyombo vya habari.

Lakini ajenti huyo amesema katu hatafanya hivyo na badala yake akasisitiza kwamba meneja huyo ndiye afaaye kuomba radhi.

''Kwa nini ni muombe msamaha Guardiola? Sijui maneno ninayostahili kutamka kuomba radhi, kwa sababu sijafanya kitu chochote. Iwapo nitajihisi kuomba radhi, basi nitaomba radhi hiyo, lakini sihisi kufanya hivyo. Kile Guardiola anachokitaka hakitawezekana,'' alisema Seluk kwenye runinga ya Sky Sport News.

Amesema meneja huyo amewakosea watu wengi akigusia mtangulizi wake Manuel Pellegrini na kisha kipa nambari moja wa Manchester City Joe Hart ambaye alilazimika kuondoka klabu hiyo majira ya joto baada ya kuachwa nje ya mipango ya Guardiola.

"Ni lazima awaombe radhi Yaya na Hart na Pellegrini. Guardiola anashinda mechi kadha na kuanza kufikiria kwamba yeye ni mfalme."

Seluk amesema mteja wake, Toure ,33, ameshiriki katika mechi moja kati ya mechi nane walizozicheza Manchester City msimu huu.

Guardiola amesema iwapo Seluk atamuomba msamaha yeye, klabu hiyo na wachezaji wa timu hiyo hapo ndio Yaya atakuwa na nafasi sawa ya kushiriki katika michezo yote.

''Sitakubali kama kocha kila ajenti, kwenda kwa vyombo vya habari kuwasilisha malalamiko yao iwapo mchezaji wake hajashirikishwa kweye kikosi," Guardiola ameongezea.
Guardiol alikuwa kocha wmkuu Barcelona Toure alipouzwa kwa Manchester City mwaka 2010.

mardi 20 septembre 2016

Manchester United wiki hii

MARCUS Rashford amefunga mabao mengi kuliko mchezaji yeyote wa Man United tangu alipoanza kuichezea timu hiyo Februari 2016. Mabao 10.

Man United imeshinda mabao mengi ugenini kuliko timu yoyote kwenye Ligi Kuu England.
Imefunga idadi ya Mabao 800.

Arsene Wenger amtolea mbov Pep

ARSENAL oya oya. Baada ya kuigonga nne Hull City huko kwenye vyumba vyao vya kubadilishia ni mwendo wa kupiga selfie tu, kisha Kocha wa Arsene Wenger akachimba mkwara labda Manchester City watibue mipango.

Arsenal imeshinda mechi tatu mfululizo za ligi kwa mara ya kwanza tangu mwaka huu uanze na tamu zaidi wamefunga mabao saba katika mechi zao mbili za karibuni walizocheza ugenini.

Hata hivyo, Wenger amewaambia mashabiki wa timu hiyo kwamba wasifurahie sana kupita kiasi kwa sababu kuna timu moja inawapa homa, Manchester City ya Mhispaniola Pep Guardiola.

Man City wameiacha Arsenal kwa pointi tano kileleni kwenye msimamo na Wenger anasema: “Kwa sasa wamekuwa na timu nzuri sana na wamekuwa wakishinda mfululizo.
“Lazima tucheze kiakili sana, lakini naamini tutawakamata hata mwaka jana, Man City ilishinda mechi zao tano za mwanzo.”

Arsenal waliutawala mchezo wao dhidi ya Hull City na hakukuwa na shaka kabisa kuhusu kushinda mchezo huo hasa baada ya Jake Livermore kutolewa kwa kadi nyekundu kabla ya mapumziko. Lakini, Wenger anawaambia wachezaji wake kukaza buti ili kufanya vizuri kwa mechi zao za nyumbani pia.

“Tunapocheza ugenini, tunakuwa kwenye kiwango kizuri sana,” alisema Wenger.
Wenger alimsifu pia kiungo wake Alex Iwobi na kumwambia anapaswa kucheza kwa kiwango kikubwa kama ilivyokuwa kwa mjomba wake Jay Jay Okocha alivyokuwa akitesa kwenye kikosi cha Bolton. Iwobi alikuwa staa wa mchezo huku mabao ya Arsenal yakifungwa na Alexis Sanchez (mawili), Theo Walcott na kiungo wa shoka, Granit Xhaka. Wakati mambo yakiwa matamu kwa Wenger na Arsenal yake ambayo kwa sasa inashika nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi, mpinzani wake Jose Mourinho na Manchester United yake ni majanga, wakiporomoka hadi kwenye nafasi ya saba baada ya vipigo viwili mfululizo kwenye ligi hiyo. Man United imeruhusu mabao matano kwenye mechi mbili za ligi za karibuni, huku yenyewe ikiwa imefunga mawili tu na kuonyesha hali ya hatari kwa miamba hiyo ya Old Trafford.

PEP GUARDIOLA : "SI YAYA TOURÉ VEUT REJOUER, SON AGENT DEVRA S’EXCUSER"

Visiblement très en colère après les propos de l’agent de Yaya Touré, le coach de Manchester City compte bien se passer de l’Ivoirien s’il ne s’excuse pas.

Décidément, les choses ne s’arrangent pas entre Yaya Touré et Pep Guardiola. Depuis l’arrivée du Catalan, l’international ivoirien vit un véritable cauchemar.

"Yaya est déçu, mais il restera professionnel et continuera à donner le meilleur de lui-même pour City. Plusieurs offres ont été formulées et nous sommes en train de les évaluer",

confiait en mai dernier l’agent du joueur, Dimitri Seluk, prévenant que son protégé ne comptait pas faire de vieux os à Manchester City avec l’arrivée de Guardiola, son ancien coach au FC Barcelone.
Et la réponse ne s’est pas faite attendre puisque Touré a très vite été évincé du groupe pour la Ligue des champions. Ce à quoi l’agent avait de nouveau répondu par voie de presse, au début du mois de septembre :

" Si Pep Guardiola gagne la Ligue des champions, alors j’irai jusqu’en Angleterre et je dirai à la télévision que Pep Guardiola est le meilleur entraîneur du monde. Mais si City ne gagne pas la C1, alors j’espère que Pep aura les c******* de dire qu’il avait eu tort d’humilier un aussi grand joueur que Yaya."

Et visiblement, ces propos ont été la goutte qui a fait déborder le vase du côté de l’Etihad Stadium. Fatigué d’être attaqué par l’agent de son joueur, Pep Guardiola a pris ce mardi la parole en conférence de presse, ne se cachant pas sur ses intentions futures.
"C'était difficile de le laisser à l'écart de la liste, mais le jour suivant, son agent a parlé dans les médias. Touré n'a pas eu le courage de m'appeler. À partir de ce moment-là, il était sorti de l'équipe. Son agent doit s'excuser. S'il ne le fait pas, il ne jouera pas" , a prévenu Guardiola.

"Pour le moment, Yaya est à l’écart. Et il le sera jusqu’à ce que son agent ait le courage de me téléphoner ou d’aller devant les médias pour s’excuser. Quand ce sera fait, alors Yaya fera partie du groupe et il aura la même chance de jouer tous les matches que les autres. Parce que je ne peux pas accepter, en tant que coach, que tous les agents, lorsque leur joueur ne joue pas, aillent dans les médias pour parler et parler et parler",
a finalement conclu Guardiola, très remonté.

Pep Guardiola has threatened to never play Yaya Touré again!

Kiungo wa Manchester City Yaya Toure, 33, ametangaza kustaafu kucheza soka la kimataifa. Toure aliichezea timu yake ya taifa kwa mara ya kwanza mwaka 2004, na alichukua unahodha mwaka 2014 kutoka kwa Didier Drogba. Mwaka Jana aliiongoza timu yake na kushinda Kombe la Mataifa ya Afrika kwa mara ya kwanza tangu 1992. Ameichezea Ivory Coast mara 113.

Wakati huohuo meneja wa Manchester City Pep Guardiola amesema hatomchezesha Yaya Toure mpaka kwanza aombe radhi kufuatia matamshi yaliyotolewa na wakala wake.

Waathiriwa wa Samsung Galaxy Note 7 wabadilishiwa simu

Simu ya Samsung Galaxy Note 7 iliodaiwa kuwa na betri zinazolipuka imeanza kubadilishwa Uingereza.
Kampuni ya Samsung inataka wamiliki wa simu hizo walioathirika kuwajulisha waliowauzia,lakini wengi wa wafanyibiashara wa simu hizo wanasema tayari wanawasialiana na wateja wao moja kwa moja.

Simu hizo zilitakikana kurudishwa kufuatia ripoti duniani kwamba betri zake hulipuka zinapopata chaji .
Samsung inatoa simu za bure kwa wale walioathirika huku wafanyibiashara wa simu hizo wakipata mali mpya huku simu zaidi zikiendelea kufikishwa sokoni katika kipindi cha wiki mbili zijazo.

''Tumetoa wito kwa waathiriwa wa simu hizo kuzibadilisha haraka iwezekanavyo.Simu ya galaxy Note 7 zenye betri ishara ya betri ya kijani zilikuwa salama kutumia'',Samsung imesema.

Watu 50 wauawa' maandamano ya upinzani DR Congo

Muungano mkuu wa upinzani nchini Jamhuri ya Demokrasia ya Congo unasema kuwa zaidi ya watu 50 waliuawa wakati wa mandamano ya kumpinga rais Joseph Kabila siku ya Jumatatu mjini Kinshasa.

Mmoja wa walioshuhudia anasema polisi waliwafyatulia risasi waandamanaji.

Upinzani umevilaumu vikosi vya usalama kwa kutumia risasi dhidi ya maandamano yanayotaka kutangwazwe tarehe ya uchaguzi wa urais.

Upinzani umeitisha maandamano zaidi leo Jumanne.

Serikali ya DRC iliwalaumu waandamanaji waliokuwa wamejihami na kusema waliouawa ni watu 17 wakiwemo polisi watatu.

Waziri wa mambo ya ndani Evariste Boshab amesema mmoja wa maafisa hao wa polisi aliuawa kwa kuchomwa moto akiwa bado yu hai.
Kuna wasiwasi kuwa rais Joseph Kabila ana njama ya kutaka kusalia madarakani baada ya kumalizika kwa muhula wake mwishoni mwa mwaka huu.

Mwandishi wa BBC aliyeko Kinshasa Poly Muzalia anasema polisi waliwakamata zaidi ya waandamanaji 10

Shule nyingi na biashara katika mji huo mkuu zilifungwa.

Kwa mujibu wa katiba, muhula wa pili wa Rais Kabila, aliyeingia madarakani baada ya kuuawa kwa babake Laurent Kabila mwaka 2001, unafaa kumalizika tarehe 20 Desemba.

Mwaka uliopita, watu 12 waliuawa katika maandamao sawa na hayo.
Tangu kujinyakulia uhuru zaidi ya miaka 55, hakuna kiongozi aliyewahi kumkabidhi mrithi wake madaraka kwa njia ya amani.

Faili za mwanariadha wa Burundi zadukuliwa

          Mwanariadha wa Burundi ambaye alishinda medali ya fedha katika mbio za mita 800 upande wa wanawake katika michezo ya Olimpiki mjini Rio

ni Mwafrika wa kwanza ambaye faili zake za kimatibabu zilidukuliwa na wadukuzi wa mtandao wa Fancy Bears.

Fancy Bear ni jina la wahalifu wa mtandaoni ambao waliiba habari za kibinafsi za wanariadha ambazo zinamilikiwa na shirika la kukabiliana na dawa za kusisimua misuli WADA na wanaangazia utumizi wa dawa za kusisimua misuli zilizopigwa marufuku.

Dawa ambayo Francine Nyonsaba aliruhusiwa kutumia na shirikisho la riadha duniani IAAF ni Tibolone.

Dawa hiyo hutumika kuongeza homoni za kike katika wanawake ambao wana homoni za kike chache.

lundi 19 septembre 2016

LES NOUVELLES RÈGLES POUR LE BALLON D'OR CONNUES

L'hebdomadaire France Football vient de divulguer une partie des nouvelles règles qui vont être appliquées pour l'élection du Ballon d'Or.

Le divorce entre France Football et la FIFA est consommé. Après cinq ans de collaboration pour l'élection du Ballon d'Or , les deux entités se sont séparées. La plus prestigieuse des récompenses individuelles redevient la propriété exclusive du célèbre hebdomadaire français. Un retour aux sources qui s'étend jusqu'aux règles qui sont adoptées dans les votes et l'annonce des nominés et du lauréat.

Il n'y aura pas de trio final de nominés

Comme c'était le cas avant 2010, FF vient d'annoncer que c'est uniquement le collège des journalistes, choisis un peu partout dans le monde, qui va procéder au vote. Les capitaines et sélectionneurs des différents pays affilés à la FIFA ne seront plus sollicités. Les journalistes retenus auront à établir un classement en choisissant entre non pas parmi 23 nominés, mais 30.

Par ailleurs, pour ce 61e Ballon d'Or, le choix a été fait de supprimer l'étape intermédiaire qui consiste à dévoiler les trois derniers nominés à quelques semaines du verdict. Enfin, l'heureux élu sera connu non pas au début de la prochaine année civile, mais dès le mois de décembre.

En revanche, une cérémonie sera toujours organisée pour couronner et dévoiler le lauréat au public. Des changements qui ont de quoi ravir les nostalgiques de la vieille formule.

PASTA Ajitia Kitanzi Baada ya Kutumia Waumini Picha zake Akiwa Uchi

Pasta mmoja Afrika Kusini alijitia kitanzi baada ya kutumia waumini picha yake akiwa uchi kwenye mtandao wa WhatsApp

– Pasta huyo ambaye ameoa alitaka kumjulisha mpenzi wake wa pembeni kwamba mkewe hakuwa nyumbani, lakini akaishia kuwatumia waumini wake ujumbe huo

Pasta Letsego aliye na kanisa lake Afrika Kusini alijitoa uhai baada ya kusemekana kuwa aliwatumia waumini picha ya uume wake kwenye mtandao wa Whatsapp wa kanisa hilo.

Ripoti zasema pasta Letsego ambaye ameoa alituma picha hiyo kimakosa kwa kikundi cha kanisa hilo kwenye Whatsapp, na kwamba alinuia kumtumia mpenzi wake wa pembeni.

“Mke hayupo, hii ni yako yote usiku wa leo,”pasta huyo akasema katika maelezo yaliyoandamana na picha hiyo.

Dakika chache baada ya kutuma picha hizo, waumini walianza kumshambulia vikali na akalazimika kujiondoa katika kikundi hicho cha Whatsapp.

Siku iliyofuata pasta huyo alipatikana amefariki, akining’inia kwa kamba shingoni katika nyumba yake aliyokodishiwa na kanisa.
Pasta Letsego ni mmoja wa wachungaji wa kanisa la Christ Embassy Church. Waumini wake walisema kuwa wamekuwa wakishuku kuwepo kwa uhusiano wa kimapenzi baina yake na mwanadada aliyenuiwa kupokea picha hizo.

“Vitendo vya pasta kwa muda mrefu vilikuwa vya kutiliwa shaka,” alisema mmoja wa waumini wa kanisa hilo.
“Mara kwa mara alionekana na mmoja wa mashemasi kwa jina Miriam na tulishuku kuwa walikuwa na uhusiano zaidi ya urafiki. Mkewe na waumini walipomwuliza alipuuza madai yoyote na kusema kuwa, kama pasta yeye ni baba kwa kila mtu na kwamba Miriam alikuwa binti yake mpendwa.”

MOURINHO Awajia Juu Wachezaji Walioiponza Man United, Awataja, Atoa Sababu 3 Za Kufungwa

Baada ya kipigo cha tatu mfululizo, Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho ameonyesha kuwa na hasira na kutofurahishwa na aina ya ukabaji wa beki wake wa kushoto, Luke Shaw katika mchezo wa jana Jumapili dhidi ya Watford.

Man United ilifungwa mabao 3-1 na wapinzani wao hao katika Premier League.

Mourinho amenukuliwa akisema: "Bao la kwanza tulilofungwa na Man City na lile la pili la Watford linaweza kuwa na uhusiano,
bao la Man City (Aleksandar) Kolarov alikuwa na mpira na mchezaji wangu badala ya kwenda kumkata alimpa nafasi ya kufanya maamuzi.”
Katika kosa hilo, Mourinho alikuwa akimzungumzia kiungo wake, Henrikh Mkhitaryan.

Mourinho akaendelea kusema: "Hili la pili nalo, (Nordin) Amrabat alikuwa na mpira kisha beki wetu wa kushoto alikuwa umbali wa mita 25 kutoka alipo mpinzani badala ya kuw amita tano. Lakini hata unapokuwa katika kita 25 unatakiwa kumfuata na kumdhibiti, lakini yeye alisimama akimsubiri.
"Hili ni kosa la kiufundi lakini linahitajia uelewe wa kisaikolojia.

"Naweza kugawa vipigo hivyo katika sehemu tatu, kwanza ni makosa ya waamuzi, ambayo yapo nje ya uwezo wangu.
"Lakini katika mechi ya Man City unajua kilichotokea katika dakika ya 55 (kipa wa City Claudio Bravo alipomkwatua Wayne Rooney). Kilichotokea pia katika mechi ya Feyenoord walipofunga bao wakati kuna mtu alikuwa ameotea.

"Pili, kumekuwa na kukosa bahati na hiyo ni sehemu ya mchezo.

"Tatu ni suala lililopo mkononi mwangu, kuboresha kikosi.”

Premier League 5th day

Michael Schumacher hatoweza kutembea tena – mwanasheria wake

Mwanasheria wa bingwa wa zamani wa mbio za magari, Michael Schumacher, amedai kuwa hatoweza kutembea tena.

Felix Damm alikuwa akiongea kwenye mahakama ya huko Ujerumani kwa niaba ya familia Schumacher, wanaolishtaki jarida moja ambalo liliandika habari kuwa dereva huyo mwenye maika 47 ataweza kutembea tena.

Schumacher, aliyewahi kuwa bingwa wa mashindano ya Formula 1 mara saba, aliumia vibaya wakati akicheza michezo ya kwenye barafu huko Ufaransa mwaka 2013.

Jarida la Bunte la Ujerumani lilidai kuwa Schumacher anaweza kutembea tena, lakini Damm alikanusha vikali kuwa nyota huyo hajapona kiasi hicho. Kwa mujibu wa Mirror, Damm alisema Schumacher hawezi kutembea wala kusimama.

Pogba awapa moyo mashabiki wake wa Manchester United

Mchezaji ghali zaidi duniani kwa sasa Paul Pogba wa Manchester United amelazimika kuwapa moyo mashabiki wake baada ya timu yake kupoteza mechi mbili mfululizo.

Jumapili, Septemba 18 ilishuka dimbani kucheza mchezo wake wa tano wa ligi kuu ya England dhidi ya Watford na kufungwa magoli 3-1. Kiungo huyo wa Ufaransa ambaye hadi kwa sasa hajafanya vizuri kama wengi walivyokuwa wana matarajio akiwa na Man United toka avunje rekodi ya usajili.
Kupitia Instagram, Pogba ameandika: Asante kwa mashabiki wote kuwa pamoja na sisi matokeo bado sio mazuri kwa upande wetu, lakini tunaendelea kupambana, Man United tunaweza.”

Guardiola: ''Ni Messi pekee anayemshinda Kevin de Bryne''

Mkufunzi wa Klabu ya Manchester City Pep Guardiola anasema kuwa anamthamini mchezaji wake Kevin de Bryne kuwa katika kiwango cha juu kama mchezaji mwengine yeyote yule isopokuwa Lionel Messi wa Barcelona.
Raia huyo wa Ubelgiji aliifungia City bao la Kwanza katika ushindi wa bao 4-0 dhidi ya Bournemouth siku ya Jumamosi.

Kwa sasa mchezaji huyo ana magoli 18 na usaidi wa pasi 16 katika mechi 48 alizochezea The Blues ambao wameanza msimu huu kuweka rekodi ya mechi nane bila kushindwa katika michuano yote.

Guardiola: Messi ni mchezaji wa kiwango cha kivyake.Hakuna anayemfika baada yake Kevin anamfuata.

Katika kipindi cha kazi yake Guardiola amefanikiwa kuwafunza wachezaji bora dunia akiowemo,Xavi na Andres Iniesta akiwa Barcelona na Arjen Robben na Thomas Muller akiwa Bayern Munich.

Real Madrid wafikia rekodi ya Barca La Liga

Real Madrid wamecharaza Espanyol 2-0 na kufikia rekodi ya Barcelona ya kushinda mechi 16 mfululizo katika ligi kuu ya Uhispania, La Liga.
Ushindi wao mechi hiyo ya Jumapili umewaweka alama tatu mbele kileleni mwa ligi hiyo.
Mabao kutoka kwa James Rodriguez na Karim Benzema yaliwawezesha kufikia rekodi hiyo iliyowekwa na Barcelona walipokuwa chini ya Pep Guardiola msimu wa 2010-11.
Real, walicheza bila nyota wao Gareth Bale na Cristiano Ronaldo ugenini uwanja wa Cornella-El Prat lakini hilo halikuwazuia kuandikisha ushindi wao wa nne kutoka kwa mechi nne walizocheza msimu huu.
Barcelona wanashikilia nafasi ya pili ligini kwa sasa wakiwa na alama tisa, sawa na Las Palmas. Madrid wana alama 12.

dimanche 18 septembre 2016

Jose Mourinho amtetea Pogba kwa kiwango chake

Jose Mourinho amemkingia kifua kwa watu wanaombeza Paul Pogba ambaye ndiye mchezaji ghali duniani kwa sasa kutokana na dau alilonunuliwa kwenye dirisha la usajili la paundi milioni 89.

Mchezaji huyo amekuwa akitupiwa lawama kwenye mechi za hivi karibuni baada ya timu yake ya Manchester United kupoteza mechi mbili mfululizo ikiwemo moja ya ligi waliyofungwa Na Manchester City na nyingine ya Europa waliyofungwa katikati ya wiki hii na Feyenoord.
Mourinho amesema kuwa anajua kuwa Pogba ni mchezaji mzuri na atakuwa kwenye kiwango kizuri muda siyo mrefu.

“I just want Paul to forget that and to play his football He had Euros, no pre-season then holidays and then came back He had a very good impact in the first game but it’s normal after the first game.,”
amesema Mourinho.

“He has a little decrease But I am full of trust with him because I know the player he is I know he is a very good guy with a lot of ambition so the form will come naturally with the team improving. The team improves, he will improve. No problem.”

Aidha kocha huyo ameongeza kuwa watu wasijadili kuhusu fedha aliyonunuliwa mchezaji huyo kwa kuwa ni fedha ya kawaida sana.

vendredi 16 septembre 2016

Live Kaswida Harusi by the light of peace ( Nuuru Salaam )



Abuchief.Com

LE TRISTE RECORD DE MANCHESTER UNITED

Manchester United a perdu jeudi soir sur le terrain de Feyenoord. Et ce revers est lourd de signification.
Dans son histoire européenne, Manchester United n'a jamais concédé avant ce jeudi quatre défaites de suite en déplacement. A présent, c'est chose faite. Les Red Devils ont "accompli" ce triste record en perdant sur le terrain de Feyenoord (0-1).

Le faux-pas en terre néerlandaise fait suite à ceux enregistrés contre Wolfsburg, Midtjylland et Liverpool lors de la précédente campagne de Ligue Europa. Sur ses sept derniers déplacements continentaux, MU reste sur 7 défaites en 8 matches.

Enfin, pour couronner le tout, les Red Devils ont loupé leurs débuts européens pour la deuxième année de suite. Ça ne leur était jamais arrivé non plus. Des statistiques qui ont de quoi embarrasser encore un peu plus José Mourinho et ses hommes.

No miracle for Man Utd players´ souls - Mourinho

Jose Mourinho accepts there are "no miracles with the players' souls" when it comes to rebuilding confidence at Manchester United.

The former Chelsea boss made a fine start as manager at Old Trafford, winning the Community Shield against Leicester City and the opening three Premier League matches of the season.

However, United lost the derby 2-1 to Manchester City on Sunday and were lacklustre in Thursday's 1-0 Europa League defeat at Feyenoord, albeit Mourinho made eight changes to the starting line-up in Rotterdam.

United largely underachieved in Louis van Gaal's two campaigns at the helm and Mourinho was asked about the difficulty he has in restoring confidence at Old Trafford given their difficulties in recent seasons at a post-match news conference.

But the Portuguese gave a bullish answer, saying: "When you lose matches there are no miracles in terms of the players' souls.
"If you win matches, people are happy, you lose matches and people are sad and feel it. That's the normal nature of football players.

"But of course I'm here not to let them be in a negative mood, or a negative period because we lost two matches.

"I think we had two matches where we didn’t play well for 90 minutes, but two matches where we deserved a better result than what we did."

Mourinho is also refusing to pay too much credence to the back-to-back defeats and insists he was not "on the moon" after United's positive start.
"When we won the Community Shield and three Premier League matches I was not on the moon saying we are a phenomenal team that will destroy every opponent," he added.

"I said, 'Yes good start, very good start' but I never was on the moon. I know the situation is not click your fingers and everybody is perfect.
"To be honest we didn't play phenomenal matches in two defeats but I think losing both is a punishment for the team because we deserved more."

jeudi 15 septembre 2016

Live Concert The Light of Peace ( Nuuru Salaam )

"Live Concert The Light of Peace ( Nuuru Salaam )" : https://t.co/bMZqSGTEH2 via @YouTube

Kocha Claude LeRoy wa Togo anusurika kwenda jela

Kocha wa timu ya Taifa ya Togo, Claude LeRoy chupu chupu kuingia jela badala yake amepigwa faini, kwa kuhusika katika uhamisho wa uongo wakati alipokuwa kocha wa Racing Club de Strasbourg, ya Ufaransa.

LeRoy, alikuwa akiifundisha klabu hiyo, kati ya 1998 hadi 2003, aliagizwa na mahakama kuu ya Strasbourg kulipa pauni 12,790 (Takribani shilingi milioni 36.8).
Kocha huyo anadaiwa kujihusisha katika kughushi sahihi na majina ya uwongo katika uhamisho wa wachezaji wanne.

Hizi ni faida 4 kubwa za kulala bila nguo

Wataalam wanasema kulala bila nguo kuna faida nyingi, tena nyingi za kukupa utajiri. Sio utani eti! Lakini wanaolala kwa mtindo huu ni asilimia 8 tu.
 screen-shot-2014-06-25-at-9-15-27-pm

Kwa mujibu wa Forbes, hizi ni faida 4 utakazozipata ukiwa na desturi za
1. Unapata usingizi mtamu ukilala bila nguo
Kwa mujibu wa utafiti wa chuo kikuu cha Rochester, unapolala, ubongo wako hutoa protini zenye madhara kutoka kwenye mishipa yake ambazo huzaliwa kwa shughuli za kawaida unapokuwa umeamka.
Mchongo hapa ni kwamba, ubongo wako utaweza kutoa protini hizi vyema unapopata usingizi wa kutosha. Unapokosa usingizi mzuri, protini hizi hubaki kwenye seli za ubongo wako na kukupotezea uwezo wako wa kufikiri.
Utafiti mwingine wa chuo kikuu cha Amsterdam unadai kuwa kupunguza joto la ngozi yako huongeza ubora wa usingizi na kupunguza idadi ya kuamka usiku. Kuvua nguo, ni njia nzuri ya kupunguza joto la kwenye ngozi bila kubadilisha joto la chumba chako.
2. Kulala bila nguo kunapunguza stress
Inajulikana kuwa stress za muda mrefu si nzuri. Huathiri kinga zako mwilini na kuongeza hatari za kupata ugonjwa wa moyo, depression, na kunenepa. Kupumzika ipasavyo husaidia kiwango chako cha stress bila kuzingatia kinachotokea kukuzunguka. Kama ilivyoeleza hapo juu, kulala bila nguo kunakupa njozi tamu usiku.
3. Kulala bila nguo ni afya
Kulala bila nguo kuna orodha ndefu ya faida ikiwemo kupunguza uzito. Kulala bila nguo kunaongeza mzunguko wa damu mwilini kitu ambacho ni kizuri kwa moyo na misuli yako.
4. Kulala bila nguo kunakuongezea hali ya kujiamini
Kujiamini si tu kujisikia vizuri, ni nguzo ya mafanikio. Hukusukuma kujaribu mambo mapya na ustahimilivu kwenye changamoto. Utafiti kwenye chuo kikuu cha Melbourne, ulibaini kuwa watu wanaojiamini hulipwa ujira mkubwa zaidi na hupewa promotion zaidi kuliko wenzao wasiojiamini.
Kulala bila nguo kunaipa ngozi yako utulivu. Pale utulivu unapoongezeka kwenye mwili wako, vivyo hivyo hali ya kujiamini inaongezeka.

mercredi 14 septembre 2016

Messi destroyed Barcelona team-mates at 16 - Giuly

Ludovic Giuly has recalled how the Barcelona team was "destroyed" by a 16-year-old Lionel Messi in training.

Then Barcelona coach Frank Rijkaard promoted Messi to the first team to make up the numbers on the training pitch during an international break.
And Giuly - who won two La Liga titles and the Champions League with Barca - was thoroughly impressed by what he saw at the time.

"Messi was only 16, but he destroyed us all in a training session," Giuly was quoted as saying by Sport.
"They were kicking him all over the place to avoid being ridiculed by this kid, but he didn't say anything. He just got up and kept on playing.

"Every play he made was dangerous. It was incredible. He would dribble past four players and score a goal.
"Even the team's starting centre-backs were nervous. They would go in hard on him, but he took it in. He was an alien. He killed us all."

Since that training session and his making Barca debut in 2005, Messi has scored over 450 goals for the club and has established himself as one of the best players in world football.
The 29-year-old has netted six times in as many outings this campaign, scoring a hat-trick in the 7-0 demolition of Celtic on Tuesday, with his treble a record sixth in the Champions League.

Van Bronckhorst: Manchester United still one of world´s biggest clubs

Feyenoord boss Giovanni van Bronckhorst believes Manchester United remain one of the biggest clubs in the world as they prepare for Thursday's Europa League encounter in De Kuip.

United boss Jose Mourinho has left players such as Wayne Rooney and Henrikh Mkhitaryan out of his squad for the trip to Rotterdam, but Van Bronckhorst feels they still have plenty of high-profile names left and are still a huge force despite their absence from the Champions League.

"It's a very big game for us against one of the biggest teams in the world. It's a big challenge," Van Bronckhorst stated at a news conference.

"We are playing against a top team and will have to be patient. You will be punished if you make mistakes at this level. We have to take our chances.

"The squad United are taking to Rotterdam has a lot of individual quality and experience. United have a number of players who can make the difference. No matter what their team looks like on Thursday, we will be prepared.

"This is a difficult group with some strong opponents, but our goal is to survive the group stages. We want to play as many big games as possible. It would be a big bonus for us if we still play in Europe after the winter break."

Dirk Kuyt, meanwhile, is full of respect for opponents United, but is hopeful of getting a good result.
"I think United are under enormous pressure because everyone wants them to win the Premier League. They are a contender for the league," Kuyt added.

"PSV beat United last year and that was a fantastic result, but this is a different United. Mourinho will win trophies with United if he gets time. He is a very successful coach.
"I want to be successful against United. I have good memories of games against them from my time at Liverpool They are still a bit of a rival to me."

Rais akaribia kupatikana Uchaguzi wa UEFA

Mkuu wa chama cha soka cha Slovenia, Aleksander Ceferin yuko mbioni kushinda uchaguzi wa Urais wa chama cha soka barani Ulaya UEFA katika uchaguzi utakao fanyika Athens nchini Ugiriki.

Kwa mujibu wa vyanzo vya karibu vya Ceferin vimeiambia BBC kuwa ana karibu waungaji mkono 40 wa awali kutoka nchi 55 wanachama wa UEFA.

Mpinzani wake mkuu ni Mdachi Michael van Praag ambaye ni mwanachama wa kamati ya utendaji na aliyekuwa mwenyekiti wa klabu ya Ajax ya nchini Uholanzi.

Aliyekuwa Rais wa shirikisho hilo ambaye yupo kizuizini kwa sasa kwa madai ya kukiuka sheria za maadili Michel Platini anajiandaa kuhutubia kabla ya uchaguzi baada ya kupata ruhusa maalum ya kutoa hutuba fupi kutoka bara za la maadili la UEFA.

Mfaransa huyo alizuiliwa kujihusisha na soka kwa muda wa miaka minne baada ya kugundulika kuwa amepokea karibu Euro milioni 1.6 malipo yaliyoidhinishwa na aliyekuwa Rais wa uefa Sepp Blatter mwaka 2011.

BARAKAH DA PRINCE Ft. ALI KIBA - NISAMEHE

Picha za Marehemu Tupac na siku yake


 

Leo tunaungana na mashabiki wa Hiphop duniani kote kumkumbuka rapper, Tupac Amaru Shakur ‘2PAC’ kifo chake ambacho kilitokea tarehe na mwezi kama wa leo September 13 1996, kuna baadhi ya picha ambazo hujawahi kuziona za msanii huyo.

Mwaka 1995 mwezi Marchi kulikuwa nampiga picha mmoja aliyekuwa akijulikana kwa jina la Gobi. M. Rahimi, alikuwa ndiye mpiga picha aliye mpiga 2pac mpaka siku ya kifo chake kinatokea, Mpiga picha huyo ameamua kutumia fursa hiyo ya kumkumbuka msanii huyo ikiwa ni miaka 20 tangu kifo chake kitokee.
 screen-shot-2016-07-14-at-1-46-35-pm
 tupac-with-his-harley









pac
shakur
shakur-smokes
thug-life
tupac-backstage
tupac-rapping
tupac-smiles-to-fans
tupac-takes-a-break

Rahimi ni moja ya wapiga picha ambao wanafanya kazi ya kutengeneza frame za picha katika mtandao wa Sonic Editions Website na hii inaweza kuwa opportunity ya kuingiza mkwanja kupitia picha hizo.
Picha hizo zilizopigwa na Gobi, ni picha ambazo zimepigwa kwenye miaka ya 1994 wakati 2Pac anaperforme Chikago na zingine ilikuwa ni mwaka 1995.