Alibaba

samedi 3 décembre 2022

Brazil vs Cameroun Qatar 2022

.... Cameroon 🇨🇲 imekuwa timu ya kwanza kutoka Africa kuifunga Brazil kwenye tournament kubwa 🔥

Full 🕡 Cameroon 🇨🇲 1 - 0 🇧🇷 Brazil
90' + 2 🕡 Vicent Aboubakar ⚽
90' + 3 🕡 Vicent Aboubakar red card ♦️


😆 Aboubakar alipofunga goli akajisahau kama tayari ana kadi ya njano, akavua jezi, mwamuzi akampa kadi ya pili ya njano, akala umeme ♦️... Kisha  Mwamuzi na Aboubakar wakapeana mikono 🤝  Fair play  ♥️



⭕ Vicent Aboubakar ndiye mchezaji pekee mpaka sasa aliyeifunga Brazil kwenye michuano hii ya World cup 2022 🔥


⭕ Katika hatua ya makundi kwenye world cup 2022 🇶🇦 hakuna timu iliyoshinda mechi zote tatu. Hakuna timu yenye points (9) ! 😮

⭕ Aboubakar amekuwa mchezaji wa pili kufunga goli na kuoneshwa kadi nyekundu kwenye mchezo mmoja wa kombe la Dunia tangu 2006 alipofanya hivyo Zinedine Zidane.

Timu zilizofuzu kutoka mabara tofauti.

08 - Europe
02 - South America
02 - Africa
02 - Asia
01 - North America
01 - Australia
00 - Antarctica

NB : Mabara yote (6) ambayo wanaishi binadamu yameingiza timu kwenye 16 bora World cup 2022 Qatar 🇶🇦 🙌