Alibaba

lundi 23 septembre 2013

Al shabaab ni nani hasa ?

23 Septemba, 2013 - Saa 07:25 GMT
Wapiganaji wa Al Shabaab
Kundi la wapiganaji wa kisomali la al-Shabaab,limevamia jumba la kifahari lenye maduka na mikahawa nchini Kenya. Al Shabaab lenya mizizi yake nchini Somalia, limeweza kuondolewa kutoka miji mikubwa ya Somalia ikiwemo Mogadishu na sehemu zengine za Somalia , ingawa bado linasalia kuwa tisho kubwa kwa kanda nzima.

Al Shabaab ni nani?

Jina Al-Shabab linamaanisha Kijana kwa lugha ya kiarabu. Kundi hilo liliibuka kama tawi la vijana la muungano wa mahakama za kiislmau ambao baadaye ulivunjika mwaka 2006, wakati ilipopigana na wanajeshi wa Ethiopia waliokuwa wameingia nchini Somalia kuunga mkono serikali iliyokuwa dhaifu.
Kuna taarifa chungu nzima kuhusu wapiganaji wa kiisilamu wanaokwenda Somalia kupigania Al Shabaab.
Kundi hilo limeweka sheria kali za kiisilamu katika maeneo ambayo linadhibiti ikiwemo kupigwa kwa mawe hadi kufa wanawake wanaodaiwa kufanya uasherati pamoja na kuwakata wezi mikono.

Je Al Shabaab linadhibiti sehemu gani ya Somalia?

Ingawa kundi hilo limepoteza udhibiti, wa miji mikubwa, bado linakita mizizi katika maeneo ya mashinani.
Lililazimika kuondoka katika mji mkuu Mogadishu, mwezi Agosti mwaka 2011 na pia kuondoka katika mji wa bandarini wa Kismayo mwezi Septemba mwaka 2012.
Kismayo ulikuwa mji muhimu kwa kundi hilo, ambao ulikuwa unawezesha bidhaa kuwafikia wapiganaji wa kundi hilo pamoja na kuwatoza watu ushuru kwa shughuli zao.
Hizi ni silaha za Al Shabaab walizonasa wanajeshi wa AU
Muungano wa Afrika, ambao unaunga mkono juhudi za majeshi ya serikali, ulisherehekea ushindi huo ingawa al-Shabab hunfanya mashambulizi ya mara kwa mara ya kujitoa mhanga mjini Mogadishu na kwingineko.
Wadadisi wanaamini kuwa al-Shabab limeanza kufanya mashambulizi ya kuvizia baada ya kushindwa na majeshi ya Muungano wa Afrika wanaotumia nguvu dhidi yao.
Lakini linakabiliwa na tisho kubwa kutoka kwa wanajeshi wa Kenya walianza hatarakti zao dhidi ya kundi hilo kuanzia mwaka 2011.
Kenya ilituhumu wapiganaji wa al-Shabab kwa kuwateka nyara wanajeshi wake pamoja na watalii na sasa wamekuwa katika msitari wa mbele kupambana na kundi hilo la kigaidi.
Wakati huo, wanajeshi wa Ethiopia waliweza kukabiliana na wapiganaji hao na kudhibiti miji ya Beledweyne na Baidoa.

Nani kiongozi wa al-Shabab?

Ahmed Abdi Godane ndiye kiongozi wa kundi hilo. Anajulikana kama Mukhtar Abu Zubair, na anatoka katika jimbo la Somaliland.
Kumekuwa na taarifa za mgawanyiko katika kundi hilo, ambazo hata hivyo zinapingwa vikali na kundi lenyewe. Inaarifiwa kuwa uongozi wake unapingwa, na wanachama wanaotoka maeneo ya Kusini na ambao ni wengi katika kundi hilo. Inakisiwa idadi yao ni kati ya wanajeshi 7,000 na 9,000.
Bwana Godane huwa haonekani hadharani . Mtangulizi wake Moalim Aden Hashi Ayro, aliuawa katika shambulizi lililofanywa na Marekani mwaka 2008.

Nini uhusiano wa kimataifa wa kundi hilo?

Al Shabaab wakifanya mashambulizi mjini Mogadishu
Al-Shabab lilijiunga na al-Qaeda mwezi Februari mwaka 2012. Katika ujumbe wa Video, kiongozi wa al-Shabab Ahmed Abdi Godane alisema anaahidi kuunga mkono kingozi wa al-Qaeda Ayman al-Zawahiri.
Makundi hayo mawili yamekuwa yakifanya kazi kwa pamoja, na raia wa kigeni wamekuwa wakiunga mkono kundi hilo, na hata kuwasaidia katika harakati zao za mapigano.
Mwaka jana maafisa wa al-Shabab waliambatana na mtu aliyesema ni mwanachama wa al-Qaeda na kumtambua kuwa raia wa Marekani Abu Abdulla Almuhajir alipokuwa anatoa msaada wa chakula kwa waathiriwa wa njaa.
Maafisa nchini Marekani wanaamini kuwa wapiganaji wa Al Qaeeda ambao hawajahusina sana na mashambulizi nchini Afghanistan na Pakistan kufuatia mauaji ya kiongozi wao,Osama bin Laden, wapiganaji wake wengi wanakwenda kutafuta hifadhi nchini Somalia.

TAFSIRI YA KISWAILI YA MAHOJIANO YA MSEMAJI WA AL-SHABAAB JUU YA UVAMIZI NA MAUAJI YA WATU KENYA

Jamal Osman: Kwanini mmefanya shambulio?

Msemaji wa Al-Shabaab: Sababu ya kufanya shambulio ni kuwalinda watu wetu na nchi yetu sababu Kenya ilitushambulia, bado wanaendelea kushikilia sehemu ya ardhi yetu. Tumekuwa majirani wenye amani, lakini wao ndio walitushambulia na tunajilinda. Haijalishi kama wewe ni Muislamu ama Mkristo, sheria inasema unatakiwa kujilinda mwenyewe dhidi ya yule aliyekushambulia.

JO: Mmeua watu wa mataifa mengi wakiwemo Waingereza, hamuogopi mataifa makubwa yatawatafuta?

Msemaji wa Al-Shabaab: Tumewaambia Wakenya na wale wanaoenda Kenya kwamba hatuwezi kuvumilia kile Kenya inatufanyia. Tuliwaambia tutajilinda wenyewe na tuliwaonya kuhusu kwenda Kenya. Wakenya wana damu yetu mikononi mwao. Mtu yeyote aliyejiandaa kwenda Kenya lazima ajiandae na kukabiliana na ukweli huo, na hatuwaogopi watu wa Ulaya ama Wamarekani sababu sisi si wadhaifu. Na tunasema hili kwa watu wa Ulaya na Wamarekani ambao wamekuwa wakiwasaidia wale wanaotushambulia, muwaambie Wakenya waache uonevu wao kama mnataka kuwa salama.

JO: Kwanini mliilenga mall ya Westgate?

Msemaji wa Al-Shabaab: Sababu ya kwanini tuliilenga mall ya Westgate, ni kwakuwa Wakenya na serikali yao wametumia majeshi dhidi yetu, ni maadui wetu. Wamewatuma watu wao Somalia, wameiunga mkono serikali yao kuishambulia nchi yetu. Kwetu, popote pale Kenya ni sawa, tutawapiga popote tuwezapo. Sababu tulilenga Westgate ni kwamba tunajua ni sehemu ambayo wanajisikia maumivu zaidi. Ni kwasababu inaingiza hela nyingi na ipo katikati ya jiji. Ni sehemu wanasikia maumivu na kwasababu tulitaka kutuma ujumbe na hatukutaka kuupoteza ujumbe wetu. Tulitaka ujumbe wetu umfikia kile Mkenya.

JO: Wapiganaji wenu ndani ya mall bado wanapigana?

Msemaji:
 Ni zaidi ya saa 27 sasa, wapo ndani na bado wameshika hatamu.

JO: Nasikia kuna mpiganaji mwanamke ndani pia?

Msemaji: Hatupeleki wanawake wetu kwenye uwanja wa vita.

JO: Kitu gani mnategemea kitatokea sasa? Nini litakuwa tokeo la hili?

Msemaji: Kama Mungu akipenda, tunategemea Wakenya watapata ujumbe kwamba kama ukimwaga damu, damu yako itamwagika pia. Kwao kujua kuwa hawawezi kushikilia Kismayu, Dhobley na Afmadow na wategemee waishi kwa amani Nairobi. Huo ni ujumbe tunataka kuutuma kwao.

JO. Kwenye jumbe zenu kupitia Twitter mnasema huu ni mwanzo tu na mtaendelea, ama mmeshafikia malengo yenu?

Msemaji: Tunasema kwa Kenya, iacheni nchi yetu. Huo ni ujumbe wa kwanza. Na kama wakikataa kuiacha nchi yetu basi tutaanzisha vita yenyewe.

JO: Hivyo matakwa yenu kwa Wakenya, ni kuiacha nchi yenu kama wanataka amani?

Msemaji:
 Kama Wakenya wanataka amani, wanatakiwa kuiacha nchi yetu.

JO: Kwanini mnawalenga watu wasio na hatia?

Msemaji: Raia wa kigeni, wanatakiwa kuondoka kwenye nchi hiyo (Kenya) kwasababu Wakenya na Al-Shabaab wapo kwenye mgogoro na tunamwambia kila mtu – Kenya ni eneo la vita.

JO: Kwakuwa unasema raia wa kigeni na Waingereza wana maslahi makubwa nchini Kenya, mna ujumbe gani kwao?

Msemaji: Tunasema kwa Waingereza, kwakuwa tunaamini wanawasaidia Wakenyan na Wakenya ni watumwa wao, wao (Waingereza) wanatakiwa kuwaambia Wakenya, walitoe jeshi lao Somalia. Na Waingereza wanajua Wasomali hawataka tamaa. Tuliwakatalia Waingereza mwanzoni, ambao wana nguvu kuliko Wakenya.

dimanche 22 septembre 2013

UPDATES SHAMBULIO LA KIGAIDI NCHINI KENYA: 59 WAMEUAWA, 175 WAKIJERUHIWA

Baadhi ya majeruhi wakitolewa eneo la shambulio na wengine kupatiwa huduma ya kwanza.
Taarifa kutoka serikali ya Kenya ni kwamba mpaka sasa watu 59 wameripotiwa kuuawa na 175 wakijeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililotokea jana kwenye jengo la ghorofa nne lenye maduka la Westgate lililopo jijini Nairobi, nchini Kenya.
Taarifa hiyo imetolewa kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku.
Ole Lenku amesema kuwa idadi ya magaidi walio ndani ya jengo lililovamiwa ni kati ya 10 na 15.
Shirika la Msalaba Mwekundu awali katika taarifa yake lilisema kuwa watu 43 ndio waliofariki na zaidi ya 50 kujeruhiwa huku wengine wakitekwa nyara katika shambulio hilo.
Mpaka sasa jeshi limeweza kudhibiti hali nje na ndani ya jengo hilo, magari ya kijeshi pamoja na vifaru vikiwa katika eneo hilo huku polisi na wanajeshi wakijaraibu kuwanusuru baadhi ya mateka.
Rais Uhuru Kenyatta katika taarifa yake amesema kuwa baadhi ya waliofariki ni jamaa zake na miongoni mwa waliofariki ni mwanadiplomasia wa Canada na raia wawili wa Ufaransa.
(PICHA ZOTE KWA HISANI YA AP/GETTY IMAGES NA REUTERS)

Kenya Terrorist Attack : 59 Killed in Nairobi Mall Shooting No...

vendredi 6 septembre 2013

NEW MUSIC | Makomando ft Linah,Recho - Chapi Chapi...

NEW MUSIC | Makomando ft Linah,Recho - Chapi Chapi...

HABARI ZA DIAMOND KUIBA WIMBO ZAFIKA HADI KENYA, HIKI NDO WALICHOKIANDIKA WEBSITE YA GHAFLA KENYA

Tanzania's superstar Diamond Platnumz is arguably one of the most popular East African Artiste.
His Ogopa-produced video Number One which cost him approximately 2.5 Million Kenya shillings is already topping the charts.But as we all know, more often than not success is accompanied by controversy.Two Tanzanian artistes have come out to claim rights to this new release asserting that Diamond pulled a fast one on them
According to Bongo 5 the two artistes Dyna Nyange and Baba Levo had been promised a collabo but Diamond made away with Dyana's beat and Levo's chorus


Dyna and Levo
Levo posted this on his Facebook page
"ZAMANI nilikuwa nikiskia mtu analalamika kaibiwa wimbo au kaibiwa njia. Nilikuwa naona ni kama maigizo na mtu kutafuta kick ya kupandia .ila leo nasema wazi DAIMOND PLATNUM amechukua korasi ya wimbo wangu niliopanga kufanyanae unaitwa SWEATY SWEATY na kuiimba kwenye wimbo wake mpya NO 1 .. kanizungusha sana kumbe alikuwa na lengo lake...ila baridaa maisha yanasonga...(I used to hear people complain of their songs being embezzled but I thought they were just stirring up controversy in order to climb the social-ladder. But today i will state openly that Diamond Platnumz stole the chorus to the song I wanted to do with him called ‘sweaty sweaty’ and used it in his new song Number 1.I have come to learn that this were his intentions from the very beginning but life must go on.

AUDIO | Dayna - Naumia[Unaosemekana uliibwa na Diamond na kuuita "Number one"]

Huu ndio wimbo wa  Dayna ambao Diamond ameiba bit na melody na kuuita namba one.
Inasemekana awali Dayna alimtaka Diamond wakafanye wimbo kwa Shedy, Diamond akakubali, akaskiliza mdundo na kumuahidi Dayna kwamba wangefanya wote. Lakini baadae Diamond akamrubuni Shedy na kumwambia ile bit ampe na aachane na kazi ya Dayna.

mardi 3 septembre 2013

DALILI ZA MWANAMKE ANAYEKUPENDA





1. Atakutega kupata attention yako. Hufanya mambo ambayo yatamfanya kuona kama unampenda au lah! Mf wa mambo hayo ni kujifanya anaumwa na kuangalia respond yako kwake ni kiasi gani unamjali na kiasi gani utahangaika kwa ajili yake au


2. Haoni aibu kugusa sehemu yako ya mwili. Msichana anayependa haoni aibu kukushika mkono ama kukutomosa au hata kukumbatia. Kwa kufanya hivyo hujua kuwa kwa asilimia kubwa hisia za kushikana kwenu kutamrahisishia kazi ya kuwa na wewe

3. Kucheka kwa nguvu hata kwa kitu kisicho chekesha endapo wewe umezungumza. Mara nyingi ataonesha uso wa furaha hata kama si furaha ya kweli

4. Wivu.
Hujisikia wivu anapokuona na wasichana wengine. Ukiwa unachart nao na ukiwaita majina ya kimahaba. Hapendi.

5 anakumbuka siku zako muhimu. Hukumbuka kama vile siku yako ya kuzaliwa hatowez kuisahau kufanya ipite bila kukutakia heri ya siku ya kuzaliwa kama sivyo ukifaulu mtihani au chochote katika maisha yako atakuwa mbele kukupongeza

6. Eye contact anapenda kukuangalia machoni muda wote ambao mtakuwa mkizungumza pamoja akidhani kuwa utaelewa ni kiais gani anakupenda kupitia vile ambavyo anakuangalia.
Ila wengine huona aibu kuwatazama wavulana wanaowapenda si wote wana ujasiri wa kuwatazama wapenzi wao.

7. Hupenda kukaa mmuda mwingi na wewe. Hawezi kupoteza hata sekunde ukimuhitaji kwa mazungumzo. Anajisikia furaha kukaa na wewe muda mrefu bila kuchoka. Anaweza akaacha kila kitu anachokifanya ili ajumuike na wewe.

8. Yupo tayari kuangamiza. Kama msichana anakupenda yupo tayari kusacrifice. Ni kitu ambacho hakuna mtu ambaye anaweza akafanya kwa mtu mwingine. Utaona vipi huyo msichana alivyo kwako na wa wengine. Yaani yupo tayari yeye akose lakini wewe upate na kwa mwingine anaweza akamwamba hana alichoombwa lakini akakupa wewe kama pesa na vitu vingine.

9. Anachukulia matatizo yako kama ni yake. Unapomueleza kuwa ana tatizo anajali tatizo lako kama vile ni lake na hujisikia vibaya sana na kuhuzunika na atafanya lolote ili aweze kukusaidia utoke katika hilo tatizo.

10. Mikwaruzano ikitokea katika urafiki wenu hayupo tayari kukupoteza kabla hajakuambia anakupenda. Kwa kuwa anakupenda endapo ikatokea mikwaruzano basi atafanya juu chini kuyaweka mambo sawa

MBEGU ZA KIUME

Ukweli ni kwamba kiwango cha manii kinachotoka uumeni kwa kawaida huwa ni kiasi cha kijiko kimoja kidogo cha chai. Manii hayo huwa na mamilioni ya mbegu za kiume, hivyo hata kama yatatoka kwa kumiminika, kutiririka au kwa matone, na kwa upole gani hakutaathiri uwezo wako wa kutunga mimba mwanamke mradi tu mbegu hiyo imekutana na yai la mwanamke
Shahawa sio uchafu
 
Ktk swala zima la kufanya mapenzi/ngono na mpenzi huwa tunajikuta tunafanya vijimambo vya ajabu sana ambayo ukimuelezea mtu anaweza akakuona "wewe namna gani?" lakini ktk hali halisi tunayafanya hayo mambo kwa mapenzi yetu yote na pengine tunapata raha fulani ktk kufanya hivyo vijimambo.

Sasa kwenye hivyo vijimambo vingi tuvifanyavyo kuna hiki kimoja nimekichagua ambacho ni kitamu sana (sio kama pipi au asali bali utamu ule wa kimapenzi) na kitakachokusogeza karibu zaidi na mpenzi wako nacho ni kuthamini Shahawa za mpenzi a.k.a cum a.k.a manii a.k.a maziwa a.k.a krimu (as cream) kwa kuzichezea, kuziramba, kuzipaka mwilini n.k.


Natambua kuwa wengi hushindwa kuwa huru kucheza na "kimiminika" hicho kutokana na harufu yake kali au kwa vile wanaume wenyewe wanaziona/chukulia Shahawa zao kama uchafu. Sikia, chochote kinachotoka mwilini mwa mpenzi wako unaempenda kwa dhati kama matokeo ya kufanya mapenzi (jasho, "cum", mate n.k.) sio uchafu.


Nitakupa maelezo mafupi ya nini chakufanya ili Shahawa zako zisiwe na shombo kali wewe mwanaume na kwa mwanamke nitakuambia namna ya kujifunza kucheza, kulamba na hatimae kujaribu kumeza shahawa bila kusahau faida ya Shahawa.


Mwanaume-Unapaswa kuangalia lishe yako na nini unakunywa(kama utaweza achana na bia na badala yake kunywa maji mengi zaidi) ili kuondoa shombo ya Shahawa na hivyo iwe rahisi kwa mpenzi wako kucheza nazo, onyesha unazijali nakuzipenda ili mpenzi wako azipende pia (ukidhani ni uchafu na zinatoka kwako...mtu mwingine atafanya nini?).


Acha kabisa tabia ya kukimbilia bafuni kuoga au kusafisha "kiungo" au kukimbilia kitambaa/tissue kila baada ya mzunguuko na badala yake baki hapo na onyesha unazithamini kwa kuzishika na kuzipaka juu ya ngozi yake (pale ulipomalizia).


Mtakapo maliza mizunguuko yenu na mmetosheka ndio mnakwenda kuoga/safisha wote......mpango wa kuoga kila baada ya kumwaga sio tu unamkosha mwanamke haki yake kitandani bali pia kunamjengea dhana potofu kuwa Shahawa ni uchafu.


Mwanamke-Unatakiwa kujifunza taratibu na jinsi siku zinavyoenda ndivyo ambavyo utakuwa ukizoea, kitu cha kwanza unacho paswa kufanya ni kuziona zinavyotoka hivyo hakikisha unaangalia uume pale ambapo mwanaume anamwaga mahali popote kitandani au hewani.


1.Mruhusu au ruhusu amwage mwilini mwako, iwe ni kwenye matiti, kwenye makalio, tumboni, kifuani, usoni au juu ya uke wako (akikisha haziteremki ukeni ikiwa huna mpango wa “kumimbwa”) na zikiwa mahali hapo jaribu kuzishika/chezea kwa mikono yako kwa kuzipaka-paka au kuzisambaza sehemu nyingine ya mwili wako.


2.Utakuwa umeshazizoea kuziona, kuzishika na kuzinusa na hivyo itakuwa rahisi kwako wewe kujua una “deal” na “kimiminika” kizuri kitokako kwa mpenzi wako mara baada yakufanya tendo “takatifu”.

Tumia kidole/vidole vyako kuchovya Shahawa na kisha zilambe (hakikisha una kinywaji chenye uchachu au tunda lenye uchachu kama vile embe, chungwa, nanasi n.k.) na mara baada ya kulamba kula tunda lako (najua bado ile kasumba kuwa ni uchafu itakuwa inakumbua hivyo kula kipande cha tunda itakusaidia kuondoa utelezi mdomoni mwako).

3.Andaa vipande vya matunda matamu lakini yenye asili ya uchachu kama embe, nanasi au strawberries na kisha mpe mkono (mchue) au mdomo (BJ) mpenzi wako na muombe amwagie Shahawa juu ya vipande vya matunda yako na kisha kula matunda hayo yakiwa na “cream” na ninakuhakikishia utakuwa umemfurahisha mpenzi wako na atahisi kuthaminiwa sana na wewe bila kusahau hisia nyingine za kimapenzi juu yako zitaongezeka.


4.weka uume mdomoni wakati mpenzi anamwaga Shahawa.

Kama nilivyosema awali hakikisha kuwa pembeni mwa kitanda au mahali mnapofanyia mapenzi kuna matunda yenye asili ya uchachu au kinywaji chochote chenye asili hiyo na kula au kunywa mara tu baada ya kumeza shahawa kwani huwa zina ukakasi Fulani kooni na kwa kula tunda au kunywa kijwaji kitamu na chenye uchachu kitasaidia kuondoa ukakazi huo.

Faida ya Shahawa-Hufanya ngozi yako kunawili na kuwa laini na mororo/nyororo ikiwa utakuwa na tabia ya kuzipaka juu ya ngozi yako kama “cream au Lotion”.


Hasara-Kuwa hatarini au kuambukizwa Magonjwa ya ngono ikiwa ni pamoja na UKIMWI.


Utata-Shahawa haziondoi chunusi usono au mahali pengine popote kwa vile ni protini sio asidi lakini inaondoa vipele au ukavu wa ngozi nakuifanya iwe laini, hivyo kama unachunusi ni wazi kuwa ngozi yako mahali hapo ni ya mafuta kw hivyo hutakiwiwi kuongeza kitu chenye mafuta au protini.

Stamina ft Darasa & Warda - Mwambie Mwenzio.(Official Video)

lundi 2 septembre 2013

DADA AKUMBANA NA OPERATION YA KUWAVUA WAVAA VICHUPI MTAANI-AOKOLEWA NA TRAFIC nchini TZ

Khatimu Naheka aliyekuwa Arusha
VIJANA wamechoka kuwaona wanawake wanaovaa kihasarahasara ‘vichupi’ mitaani ambapo wameanzisha oparesheni maalum ya kuwavua kabisa ili watembee utupu ijulikane moja.
Habari hii inathibitishwa na tukio la mrembo ‘miss’ (jina lake halikupatikana) ambaye amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukumbana na kasheshe zito kutoka kwa wanaume kufuatia kinguo kifupi alichokuwa amevaa, kilichoacha nje sehemu kubwa ya mapaja.
Vijana wa mjini wakimvua kitenge alichojistiria mrembo huyo.
JIJINI ARUSHA
Tukio hilo lililovuta umati mkubwa ambalo lilishuhudiwa na shushushu wetu, lilijiri maeneo ya stendi ya mabasi madogo jijini Arusha, wiki iliyopita wakati mrembo huyo akiwa na marafiki zake watatu wakirandaranda kufanya ‘window shopping’.
Mara baada ya kufika eneo hilo, miss huyo alijikuta akizungukwa na wapiga debe wa daladala na kuanza kumshushia maneno makali wakimwambia kuwa wamechoshwa kuona nyeti zao.
Trafiki wakiwa na mrembo huyo baada ya kumwokoa kutoka mikononi mwa vijana.
AVULIWA
Huku sistaduu huyo akidhani ni kelele za kawaida, wapiga debe hao walimzingira na kuanza kumvua kigauni hicho cheusi.

APEWA KITENGE
Mrembo huyo alipoona mambo yameharibika huku wenzake wakitoka nduki, alilazimika kukimbilia katika duka moja la nguo maeneo hayo na kuomba msaada ambapo alisitiriwa kwa kupewa upande wa kitenge kwa msaada wa trafiki wa kike aliyemuokoa.
Kabla ya kusaidiwa na trafiki mwingine wa kiume, yule wa kike alimshauri kuvaa kitenge hicho na kuondoka eneo hilo.
...Trafiki akimhoji.
AKIMBIZWA
Cha kushangaza, wakati anatoka katika duka hilo hali ilizidi kuwa tete baada ya midume walioonekana kuchoshwa na uvaaji wa nguo fupi kumkimbiza na kuanza kumvua kitenge hicho hivyo kusababisha vurugu kubwa kiasi cha matrafiki kadhaa kuingilia kati na kuwatawanya vijana hao.
Trafiki akimpeleka mrembo huyo kwenye gari.
AJITETEA
Wakati dada huyo akihojiwa na matrafiki hao, alijitetea kuwa anawashangaa vijana hao kwa kumfanyia vurugu wakati nguo hiyo siyo fupi na mara nyingi amekuwa akiivaa na kutembea nayo maeneo kama hayo bila kupata tatizo lolote.
“Afande hii nguo huwa naivaa sana na sijawahi kupata matatizo yoyote, sijui leo imekuwaje lakini siyo fupi kama wanavyodai, nimevaa na kitenge lakini bado wananifanyia vurugu,” alilalamika dada huyo kwa uchungu.
Licha ya dada huyo kuwa katika mikono ya mmoja wa matrafiki wa kiume, jamaa hao walizidi kumfuatilia huku wakimrushia maneno makali ya matusi na wakati mwingine kumsukuma.
Baada ya trafiki huyo kuona hali inazidi kuwa mbaya, alisimamisha gari moja la serikali na kumuombea lifti kwa lengo la kumnusuru kufanyiwa kitu mbaya.
..Mrembo akipanda kwenye gari.
TUMEWACHOKA
Wakizungumza na gazeti hili juu ya tukio hilo, ‘machalii’ hao walisema kuwa wamechoshwa na uvaaji mbovu wa baadhi ya akina dada ambapo sasa wameamua kuwafanyia vurugu hizo mpaka hapo watakapoacha kuvaa hovyo.
“Tunakushukuru kwa kupiga picha, wanatuchosha hawa dada zetu, nguo wanazotuvalia barabarani ni za kuvaa nyumbani tena chumbani lakini wao wanavaa sehemu kama hizi, kuanzia sasa kazi itakuwa kama hii hadi watakapoacha, dawa yao ni kuwawashia moto,” alisema mmoja wa wapiga debe hao huku akisapotiwa na wenzake.
Siku za nyuma mchezo wa kuwavua nguo fupi wanawake ulisaidia kupunguza tabia ambapo kwa sasa imerejea kwa kasi hivyo ili wanusurike na adha hiyo ya kuvuliwa hadharani inayoshika kasi, inabidi kuvaa kiheshima.

Diamond Platnumz My Number One