Alibaba

mardi 29 août 2023

Arnold Schwarzenegger & Ronnie Coleman

𝙎𝙄𝙆𝙐 𝙃𝘼𝙕𝙄𝙂𝘼𝙉𝘿𝙄

muendelezo ni ule ule japo umri umekwenda
76 yrs — Arnold Schwarzenegger
59 yrs — Ronnie Coleman

 Miaka 76 lakini mwamba bado yuko fiti anapiga zoezi la kutosha 💪

Tafuta wazee wetu wa mtaani sasa hata wenye 65 yrs tu ucheke 😆

𝙉𝙤𝙩𝙚 — Hawa ndio watunisha Misuli (Body builders) bora wa muda wote (GOATS)..
Arnold alishinda MR OLIMPIA mara (8) na Ronennie Coleman alishinda mara nane (8). Japo ni katika nyakati tofauti.
🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆 — Arnold (1970+)
🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆 — Coleman (1990+)

MR OLIMPIA ni taji la juu zaidi Duniani linalotolewa kwa Bingwa mtunisha misuli kila mwaka Nchini Marekani 🇺🇲

 Ronnie Coleman kwa sasa ni mlemavu, hawezi kutembea. Amefanyiwa surgery mara (8) kwa nyakati tofauti.
Alipata ajali kwenye Gym mwaka 1996 akifanya squash huku kabeba uzito mkubwa,
DISC za uti wa mgongo zika pishana... Baadae alipona japo hakujua tatizo kumbe liliendelea. 1998 akapata injury tena.. 2000s akaanza kushindwa kutembea.

Kwa sasa ni mlemavu lakini hajaacha kupiga tizi, bado anaimani siku moja atainuka...
Gharama ya surgery alizofanya ni $ 2 million .


Ces téléphones n'auront plus accès à WhatsApp à partir du 1er septembre 2023

Après plusieurs années de service, WhatsApp cessera de fonctionner sur certaines modèles de smartphones : iPhone, Samsung, Huawei, et bien d'autres. La liste complète a été dévoilée.
WhatsApp est devenue l'une des applications de messagerie instantanée les plus populaires à travers le monde. C'est donc le moyen de communication principal pour des millions de personnes. L'annonce que l'application ne fonctionnera plus sur certains smartphones est donc un vrai souci.
Il a en effet été annoncé que, dès le vendredi 1er septembre de cette année, tous les smartphones fonctionnant sous Android 4.0.1 ou iOS 12, ou des versions antérieures, ne seront plus compatibles avec WhatsApp.

Avec le temps, le système d'exploitation ou les mises à jour de l'application ne sont plus compatibles avec certains smartphones. C'est pour cela que ces téléphones rencontrent des problèmes d'utilisation ou que l'application ne s'ouvre tout simplement plus. Ainsi, WhatsApp ne sera plus disponible sur l'ensemble des appareils ci-dessous à compter du 1er septembre 2023.

Si vous vous demandez pourquoi l'application ne fonctionnera plus sur votre smartphone, la réponse est simple. Dans de nombreux cas, le système d'exploitation devient "obsolète" face aux mises à jour. La capacité de stockage est pleine, la vitesse d'Internet n'est pas suffisante ou le matériel atteint sa limite de fonctionnement.
Cela affectera les modèles de smartphones suivants, pour lesquels WhatsApp cessera de fonctionner progressivement, bien que les problèmes commenceront dès septembre 2023 :

LG
LG Optimus F7
LG Optimus L3 II Dual
LG Optimus F5
LG Optimus L5 II
LG Optimus L5 II Dual
LG Optimus L3 II
LG Optimus L7 II Dual
LG Optimus L7 II
LG Optimus F6
LG Enact
LG Optimus L4 II Dual
LG Optimus F3
LG Optimus L4 II
LG Optimus L2 II
LG Optimus F3Q

Samsung
Samsung Galaxy Trend Lite
Samsung Galaxy S3 mini
Samsung Galaxy Trend II

Huawei
Huawei Ascend G74
Huawei Ascend Mate
Huawei Ascend Dz

iPhone
Iphone SE
Iphone 6S
Iphone 6S Plus

Autres modèles
Sony Xperia M
Lenovo A820
Archos 53 Platium
HTC Desire 500
Caterpillar Cat B15
Wiko Cink Five
Wiko Darknight
ZTE Grand S Flex
ZTE V956
ZTE Grand X Quad v987
UMi X2
Faea F1
THL W8

Sourate 29 - Ayat 57


Sourate 29 - Ayat 57

كُلُّ نَفْسٍ ذَآئِقَةُ ٱلْمَوْتِ‌ۖ ثُمَّ إِلَيْنَا تُرْجَعُونَ

Kila nafsi itaonja mauti. Kisha mtarudishwa kwetu.



Dua by Sheikh Bizimana Zubeir

lundi 28 août 2023

Ufaransa wakataza abaya shuleni

Waziri wa Elimu wa Ufaransa, Gabriel Attal amesema Serikali itapiga marufuku Wanafunzi kuvaa abaya wanapokuwa Shuleni.


Vazi la abaya ambalo hufananishwa na baibui la mtindo wa kisasa huvaliwa na baadhi ya Wanawake wa kiislamu kama stara.


Waziri huyo amesema atafanya mazungumzo mapema wiki hii na Wakuu wa Shule za umma ili kuwasaidia kutekeleza marufuku hayo ya Wanafunzi kuvaa abaya Shuleni,
Sheriya hiyo inatarajiwa kuanza pindi tu muhula mpya wa Shule utakapoanza Jumatatu ijayo.