Alibaba

lundi 28 octobre 2013

Paroles - Mountains Of Makkah by Zain Bhikha

Album: Mountains of Mecca 
Oh Mountains of Mecca, what can you say
Of the day that Ibraham passed your way

And He was instructed by God to build
A House of peace where people will pray

And they will come on every lean, camel and out of every ravine
For the purpose of praising Allah, to glorify Allah

Oh Mountains of Makkah, what can you tell
Of the day that stones from the sky fell
Destroying an army determined to break
The House of Allah that Ibraham built

Oh Mountains of Makkah, how was the dawn
On the day that my Prophet Muhammad was born
How did it feel knowing he was to be, the last and most beloved of all
Rasul of Allah, Nabi of Allah

Oh Mountains of Makkah,oh you were there
When the Prophet Muhammad climbed down in despair
Engraved in his heart were the words of his Lord
To all of mankind this was his call

La ilaha illAllah, Muhammad-u-Rasullullah
Oh people praise only Allah, Glorify Allah

Oh Mountains of Makkah, how did you mourn
On the day that the beloved returned to his Lord
And up till the last breath escaped from his lips
He prayed that his Ummah would find success

Oh Mountains of Makkah how will it feel
When the earth shall quake and tremble with fear
And we shall be gathered together to stand
In the court of Allah with our deeds at hand

Oh how we pray that on that day, we'll be with those to whom Allah will say
Peace be with you, I am pleased with you

Oh Mountains of Makkah, Bear witness that I
To the oneness of Allah do I testify
For all that He's given me, How can I deny
My purpose in life should be only to cry

La illaha illAllah, Muhammad-u-Rasullullah
There is no god but Allah, Muhammad is His Messenger
La illaha illAllah, Muhammad-u-Rasullullah
There is no god but Allah, Muhammad is His Messenger
Allahumma Salli Alla, Muhammad Rasullullah
Allahumma Salli Alla, Muhammad Nabi Allah
Allahumma Salli Alla, Muhammad Rasullullah
Allahumma Salli Alla, Muhammad Rasul of Allah

vendredi 11 octobre 2013

MSANII CHIPUKIZI WA BONGO MOVIES AFUMWA AKILA URODA NA DIRECTOR WAKE

Katika hali isiyokuwa ya kawaida vitendo vya madirectors wengi wa filamu kupenda kuwarubuni wasanii wachanga kuwa kama watatoa uroda basi watapewa nafasi ya kucheza filamu na kuwa mastaa wakubwa imemtokea puania msanii na director maarufu wa bongo movie Edward Nicas Temu maarufu kwa jina la Nicas baada ya kufumaniwa na mchumba wa mtu ambae ni msanii wa kundi lake.

Jina la Nicas ni jina maarufa sana hasa kwa wasanii kufutia huyu mshikaji kuwa kwenye sanaa kitambo akiwa kama msanii na director lakini kipindi kirefu amekuwa akifanya kazi za watu lakini siku za hivi karibuni alianzisha kundi lake huko maeneo ya Kinondoni Moscow na kukusanya makumi ya wasichana kwa ajili ya kucheza filamu zake.
 

Hata hivyo kutokana na wakidada wengi hasa Underground kupenda kuigiza lakini walikuwa wanakosa nafasi hivyo baada ya kusikia matangazo ya msanii huyo basi alijikusanyia warembo wa kila aina na alifanyiwa kuwachezesha filamu zake tatu Bad Father,The Reason,House Girl N Boss.
 

Habari zaidi zilisema kuwa baada ya kumaliza kuwachezesha filamu hizo msanii huyo alianza kumuweka karibu mmoja wa wasanii wake wake ambae ni mke wa mtu anaeishi na mumewe maeneo ya Kawe Jijini Dar.
 


 Kijana mwenye mke aliyevaa tisheti nyekundu mara baada ya kuvamia chumbani na kumkuta mkewe akiliwa uroda na muongozaji filamu,msanii maarufu wa bongo movie aliyefahamika kwa jina la NICAS.
 
 Mume akionesha chupi ya mkewe

 Msanii chipukizi wa filamu ambae ni mke wa mtu aliyefahamika kwa jina la Remina Rufyagira" Mwimbe" akificha sura yake kukwepa kamera za mapapalazi.
NAUA: Kijana mwenye mke kushoto akimkaba koo director huyo kwenye purukushani ya fumanizi hilo.


 Hapa ofisa wa polisi ambae ilidaiwa toka kitio cha polisi Hananasifu kilichopo Kinondoni akimsimamia msanii huyo kuvaa nguo safari ya kuelekea kituoni.




 Mwimbe akiwa haamini kilichotokea huku machozi yakimtoka kwa wingi na kujuta.


 Kulia kijana ambae ilidaiwa ni shemeji na Mwimbe akimuuliza maswali shemejie huyo.


 NICAS na Mke huyo wa mtu wakielekea kituno huku nyuma wananchi walioshuhudia tukio hilo.


 Mwenye mke aliyefahamika kwa jina la Abdula Sanga akiongea na simu kuwajuza familia ya mchumbaake kuhusu tukio hilo.





 Mfuko wa kondom uliokutwa umetumiak.


Akiongea na paparazi wetu mume wa mischana huyo Abdula Sanga alianza kuelezea " Nampenda sana mke wangu na ndio maana nilikuwa nimemruhusu akafanye sanaa lakini baadae niliambiwa na shoga yake kuwa kuwa bosi wake anataka kumla uroda ili amuweke kwenye kava ya cd ya filamu yake na kama hatotoa uroda basi hatomuweka" Alisema kijana huyo ambae ni mfanyabishara.

Abdula Sanga aliendelea kusema baada ya hapo alimuomba huyo rafiki na mkewe ampe ushirikiano ikiwa kumuhabarisha hatua kwa hatua ambapo hadi siku ya tukio alitaarifiwa na wapi wanapokwenda kupeana uroda"  Niliandaa askari wangu na tukaweka mtego pale Guest iitwayo Bundo iliyopo Kinondoni Moscow na hatimae mtegowangu ulinasa na kumfuania mke wangu live akiwa na huyo bosi wake wa sanaa" Alisema Sanga kwa jazba.

Aidha habari zilisema Nicas nae ni mume wa mtu, hata hivyo ndani ya chumba hicho kulikutwa na kondomu moja iliyotumika kwa maana kwamba tayari mke huyo alikuwa ameshaliwa kimoja hali iliyoamsha hasira za mume wa mke huyo na kuanza kumvurumushia makonde msanii huyo hadi polisi walipoingilia kati.

Hadi papalazi wetu anaondoka eneo la tukio aliacha wananchi kibao wakishuhudia timbwili hilo huku safari ya kuelekea polisi ikifanyika.
Akionge

dimanche 6 octobre 2013

BREAKING NEWZ AJALI MBAYA MLIMA KITONGA,KAMA UNAMOYO MWEPESI TAFADHALI USIFUNGUE PICHA HIZI



Ajali mbaya  nyingine  imetokea  usiku  huu katika mlima kwa Kitonga wilaya ya Kilolo mkoani Iringa katika barabara  kuu ya Dar es Salaam -Iringa . 
Katika  ajali  hiyo  watu  wawili wamekufa papo hapo huku wa wawili  wakijeruhiwa  vibaya baada ya malori mawili kugongana  uso kwa uso . 
Ajali  hiyo imetokea  mida ya saa 12.50 jioni ya  leo  ikiwa ni dakika takribani 30  baada ya ajali ya basi la JM kupinduka eneo  la Mazome  wilaya ya Kilolo. 
waliopoteza maisha katika ajali  hiyo ambayo chanzo ni dereva  wa lori la IT lililokuwa  likisafirishwa kwenda nchi  za  kusini mwa Tanzania aliyekuwa akitaka  kulipita gari la mbele mlimani na katika kona kali . 
Hata  hivyo  dereva  wa  lori  hilo IT aliyetambuliwa kwa jina la Gody  amevunjika mguu  wake ambao umetoka katika na  dereva  na utingo la fuso wamekupa papo hapo  huku mwanamke  aliyekuwa katika lori IT akisalimika . 
habari zaidi itakujia