Alibaba

samedi 11 juin 2016

UTAFITI KWA WANAUME WA AFRIKA

UTAFITI KWA WANAUME WA AFRIKA!

1. Wanaume wakatili zaidi Afrika - Waangola, Warundi na Wanubi (Sudan). Ukiwakosea ni kipigo au kifo. Kwao hakuna msamiati uitwao "MSAMAHA".

2. Wanaume wanaojali zaidi familia zao Afrika - WASENEGAL.

3. Wanaume wanaopigwa zaidi na wake zao - WAKENYA.
(Kati ya wanaume 10 nchini Kenya 7 wanapokea kipigo kutoka kwa wake zao. Chama cha kutetea haki za wanaume hadi sasa kina wanachama laki 8).

4. Wanaume wanaosali zaidi Afrika - WASOMALI.
(kati ya wanaume 10 wa kisomali, 8 huswali swala 5 kila siku. Hata katikati ya vita huwaachi kuswali).

5. Wanaume matapeli zaidi Afrika - WANIGERIA (kati ya wanaume 10 wa Nigeria, 6 ni matapeli wa kutupwa. Hata kama ni Askofu ukijilengesha anakutapeli tu).

6. Wanaume wanaopenda dezo na kulelewa zaidi Afrika - WAKONGO (hawa wakioa mwanamke mwenye pesa huhamia kwa mke. Wanaitwa "MARIO").

7. Wanaume wasomi zaidi Afrika -WASHELISHELI (SYCHELLES). (Kila wanaume 100, 40 wana degree. Tanzania kila wanaume 100 ni watatu wana degree).

8. Wanaume washamba zaidi Afrika - WAERITREA.
(Ukienda kanisani/msikitini na gari jipya wanaahirisha kusali washangae gari kwanza).

9. Wanaume wachawi na Washirikina zaidi Afrika - WAGAMBIA.
(Rais wao YAHYA JAMMEH hutumia waganga na wapiga ramli kama sehemu ya walinzi wake).

10. Wanaume wenye mikwara mingi mdomoni lakini waoga kutake "action" - WATANZANIA.