Alibaba

mercredi 3 juin 2015

Iyanya ni nani kwa kifupi

Iyanya Onoyom Mbuk alizaliwa tarehe 31
October 1986 . Iyanya ni mwanamuziki
kutoka Naijeria aliyetoka kwa kushinda
Project Fame West Africa mwaka 2008, na
akajulikana zaidi kutokana na wimbo wake
Kukere. Iyanya ni mmoja wa wakurugenzi wa
lebo ya Made Men Music Group, lebo
ambayoimewatoa wanamuziki kama Emma
Nyra, Tekno, Selebobo and Baci. Iyanya
huimba nyimbo zake katika lugha mbili
Kiingereza na Ki Efik.
Mama yake alikuwa Mkuu wa shule, baba
yake alikuwa Afisa Misitu, wote walifariki
2008. Huyo ndie Iyanya