Alibaba

dimanche 27 novembre 2022

Ray c atupia neno kuhusu Wema sepetu

Msanii wa kike wa muda mrefu katika muziki wa Bongo Flava, Rehema Chalamila maarufu Ray C ameweka neno lake baada ya Wema Sepetu kuposti Video ikimuonyesha akilia.
"Natamani siku uamue utoke hiyo nchi usafiri nchi ya mbaaaaaali japo kwa muda tu...ukutane na watu tofauti kabisa na uliowazoea, upate marafiki wapya watakaompenda wema kama binadamu siyo wema kama star, sababu wewe una roho nzuri sana na unajua kuishi na watu, unastahili kuwa na watu wenye upendo wa dhati kwako pia, you deserve it ma.❤love you always" ameandika Ray C.

RUSSIE: LÉNORME BAGARRE GÉNÉRALE ENTRE LE ZÉNITH ET LE SPARTAK MOSCOU, AVEC 16 CARTONS DONT 6 ROUGES

Le match de Coupe de Russie entre le Zénith Saint-Pétersbourg et le Spartak Moscou a basculé ce dimanche dans le chaos, avec une énorme bagarre générale en toute fin de rencontre. Malcom et Quincy Promes ont notamment été impliqués.
Un monde parallèle. Alors que la planète foot a les yeux rivés sur le Qatar, la Russie, mise au ban de toutes les compétitions internationales en raison de la guerre en Ukraine, vit elle au rythme de ses chocs domestiques, qui se poursuivent dans un certain anonymat. Ce dimanche, en même temps que le Maroc signait une énorme performance contre la Belgique à Doha, le Zénith Saint-Pétersbourg et le Spartak Moscou s'affrontaient ainsi devant plus de 50.000 spectateurs en Coupe de Russie. Un match qui a donné lieu à une "remarquable" bagarre générale.

En toute fin de partie, alors que le tableau des scores affichait 0-0, la rencontre - déjà tendue si l'on en croit les 10 cartons jaunes distribués - a soudainement basculé dans le chaos. Tandis que l'arbitre tentait (physiquement) de mettre fin à une altercation entre le Néerlandais Quincy Promes (Spartak) et le Colombien Wilmar Barrios (Zénith), des premiers coups de pied et de poing ont été échangés entre le Brésilien Rodrigao (Zénith) et le Jamaïcain Shamar Nicholson (Spartak). Avant que tout le monde ou presque ne s'y mette.
Pendant plusieurs dizaines de secondes, les joueurs des deux équipes et les membres des staffs ont réglé leurs comptes avec une violence rare dans le football professionnel. Il a fallu un long moment pour que le calme revienne, et que l'arbitre sanctionne ensuite cet instant de folie, en dégainant pas moins... de six cartons rouges: trois pour Wilmar Barrios, Malcom (l'ancien Bordelais) et Rodrigao côté Zénith, et trois pour Aleksandr Selikhov, Shamar Nicholson et Aleksandr Sobolev côté Spartak. Un Sobolev qui n'a pas volé son expulsion, compte tenu du nombre de coups qu'il a distribués 

full video link





Voici 7 parties s-nsibles de la femme que vous pouvez toucher pour la mettre dans l'ambiance.



1. Passez avec attention et délicatesse vos main dans ces cheveux. Passez doucement vos mains dans les cheveux de votre femme, tout en lui parlant tendrement avec un petit sourire au lèvre et vous verrez la suite elle va certainement apprécié. 2. Touché délicatement son bassin Le bassin est très proche du lieu que vous connaissez , c'est donc généralement un excellent moyen pour la stimuler. 3. La cuisse (côté intérieur) C'est aussi très spécial car il est proche du panda . Enchantez doucement ici et elle vous aidera à aller plus loin. 4. Massage réchauffant les pieds Cela permettra d'accomplir trois choses pour votre jeune femme: Premièrement, elle se sentira plus détendue et heureuse. Deuxièmement, elle sera vraiment gâtée et gâtée, et troisièmement, elle entrera dans l'état d'esprit de la chose. 5. Placez vos doigts sur l'arrière de vos genoux. 6. Avec tendresse glisser vos main derrière le dos Je dirai ou devrais dire que cela suscitera en elle des sentiments fous. Elle n'aura pas l'occasion de résister au déluge et à la paix que sa apporte. 7. Les S--.e.ins ( Vous savez de quoi je parle)

Là pas besoin de trop parler avec des touches tendre vous verrez vous même l'effet.

mercredi 23 novembre 2022

Timu za Taifa za England na Wales zimetangaza kuwa manahodha wao hawatovaa vitambaa vilivyoandikwa "OneLove"

Timu za Taifa za England na Wales zimetangaza kuwa manahodha wao hawatovaa vitambaa vilivyoandikwa "One Love" baada ya kupewa taarifa kuwa kwa kufanya hivyo wataweza kupewa kadi ya njano mara tu watakapo ingia uwanjani.

Taarifa ya pamoja kutoka kwa Mashirikisho ya soka ya England 🇬🇧 , Wales ,Belgium 🇧🇪 ,Denmark 🇩🇰 ,Germany 🇩🇪 , Netherlands 🇳🇱 na Suisse 🇨🇭 imesema kuwa.. 






"FIFA imeweka wazi kabisa kuwa itatuwekea vikwazo vya kimichezo ikiwa manahodha wetu watavaa vitambaa hivyo uwanjani"

"Sisi kama Mashirikisho, hatuwezi kuacha wachezaji wetu wawekewe vikwazo,hivyo tumewaarifu Manahodha wasifanye hivyo katika mechi yoyote ya Kombe la Dunia"


"Tumechanganyikiwa na uamuzi huu wa FIFA ambao haujawahi kutokea, tuliwaandikia barua mwezi Septemba kuomba ruhusa ya kuvaa vitambaa hivi lakini hatukujibiwa."


dimanche 20 novembre 2022

Vivutio vikubwa Qatar kwa sasa ni Stadium 974

Moja kati ya vivutio vikubwa nchini Qatar ni uwanja wa 974 utakaotumiwa katika michezo ya Fainali za Kombe la Dunia 2022.


Upekee wa uwanja huo pamoja na mambo mengine ni kwamba baada ya Fainali za Kombe la Dunia 2022 utabomolewa na vifaa vyake kutolewa msaada kwa nchi zinazoendelea.


Uwanja huo umepewa jina la 974 kwa maana mbili kwanza ndio code ya kimataifa ya simu ya Qatar  pili umejengwa kwa idadi ya makontena 974 upo Doha Qatar na unachukua mashabiki 40,000, uwanja huu hauna AC kama vilivyo viwanja vingine.


Qatar world cup 2022



samedi 19 novembre 2022

Messi na Ronaldo kwenye picha ya pamoja

Watu wengi walihisi hii ni picha ya kutengenezwa sio uhalisia lakini sio kweli, hii ni picha ambayo imepigwa ikiwaonyesha wachezaji wakubwa kuwahi kutokea duniani Lionel Messi na Cristiano Ronaldo wakicheza mchezo wa ludo


Louis Vuitton LV ni kampuni ya kutangaza bidhaa za thamani kubwa sana ambayo imekuwa ikiwatumia mastaa mbalimbali kutangaza bidhaa zao.

Kupitia kurasa zao Messi na Ronaldo wote wamepost picha hii na kuandika caption moja wote.

La Victoria está en la Mente. Una larga tradición artesanal construyendo baúles fotografiada por @annieleibovitz para @louisvuitton.

Victory is a State of Mind. A long tradition of crafting trunks photographed by @annieleibovitz for @louisvuitton.

dimanche 13 novembre 2022

Kombe la Duniya 2022 : Nguruwe Marufuku

Wenyeji wa kombe la FIFA la Dunia mwaka huu nchi ya Qatar imeendelea na msimamo wake wa kukata kuingizwa bidhaa kama sex toys, matumizi ya pombe isipokuwa kwa mpangilio maalum.


Qatar pia wamezuia nyama ya nguruwe na endapo utabeba vyote vitabaki uwanja wa ndege na kwenye vizuizi na havitorudishwa kwa muhusika.

Licha ya kupiga marufuku mapenzi ya jinsia moja, pia wamezuia watu ambao sio wanandoa kufanya mapenzi na endapo utabainika utakumbana na kifungo cha miaka saba jela.

mwalim by Nuuru Salaam ( the light of Peace)

Raisi kwenda kuona World Cup

Rais wa Liberia George Weah amelifahamisha baraza la seneti kuwa anapanga kukaa siku tisa nchini Qatar kutazama mechi za kombe la dunia .

Bw Weah - mwanasoka wa zamani - aliondoka nchini wiki iliyopita kwa ziara kadhaa za kigeni, lakini sio mipango yake yote imefichuliwa.


Mwanawe Timothy, ambaye ni Mmarekani, atakuwa katika kikosi cha Marekani katika mashindano ya Kombe la Dunia, yatakayong'oa nanga tarehe 20 Novemba.

George Weah alichezea timu kubwa za Ulaya, zikiwemo AC Milan na Chelsea.


Rais huyo mwenye umri wa miaka 56 alibadili kazi na kuchaguliwa kuwa rais wa Liberia mwaka wa 2017.

Habari za mipango ya safari ya nje ya rais zimewakasirisha raia wengi wa Liberia, wengine wametumia vipindi vya kupiga simu kwenye redio na kwenye mitandao ya kijamii kumkosoa.


Wanasema itakuwa ni kutotilia maanani hali ya wananchi kwa rais kwenda Qatar wakati ambapo watu wengi walikuwa wakikabiliana na tatizo kubwa la chakula, pamoja na kutokuwa na uhakika kuhusu mwenendo wa sensa ya watu iliyocheleweshwa sana, ambayo Bw Weah aliiahirisha hivi majuzi kwa mara ya sita.

Wafanyakazi wa Bw Weah - ambao hawajajibu maswali kuhusu gharama ya safari hiyo - wamejibu wakosoaji wake, wakisema ziara za nje za rais "zitazaa faida kubwa" kwa nchi.

lundi 7 novembre 2022

Refa katowa kadi nyekundu 10

Refarii kutoka Nchini Argentina ameweka rekodi ya aina yake baada ya kutoa kadi nyekundu 10 katika mchezo mmoja.


Refarii Facundo Tello ameingia kwenye vichwa vya vyombo vya habari Duniani baada ya kutoa kadi nyekundu kumi (10) katika dakika za mwisho wa mchezo wa kombe la Ligi Nchini Argentina 🇦🇷. Aidha, mchezo huo ambao ulimalizika kwa sare ya (1-1) hadi dakika ya tisini (90) kisha kuongezwa dakika 30 ambapo Refarii Tello alitoa kadi hizo nyekundu kutokana na matukio yaliyotokea Uwanjani hapo baina ya klabu ya Boca Juniors ambao walipoteza mchezo huo dhidi ya Racing (1-2).

Refarii huyo ni miongoni mwa Waamuzi watakaochezesha kwenye michuano ya Kombe la Dunia huko Qatar na tayari ameshatoa kadi za njano 612 pamoja na nyekundu 45 huku akiwa amechezesha michezo 118 katika maisha yake ya Urefa.

mardi 1 novembre 2022

Davido afisha mtoto wake

Mtoto wa mwanamuziki Davido Adeleke na mpenzi wake Chioma Rowland, Ifeanyi Adeleke (3) amefariki dunia baada ya kuzama kwenye bwawa la kuogelea ‘Swimming Pool’ nyumbani kwao.


Vyombo mbalimbali vya habari nchini Nigeria vinaripoti kuwa mtoto huyo alifariki jana Jumatatu Oktoba 31, 2022.


Taarifa zinasema Ifeanyi alizama kwenye maji kwa muda mrefu kabla ya wazazi wake hawajagundua kutoweka kwa mtoto wao na baadaye walikuta akielea kwenye maji.

Davido anakuwa msanii wapili nchini humo kumpoteza mtoto kwa kuzama kwenye maji, kwani mwaka 2018 moto wa msanii D’Banj naye alipoteza maisha katika tukio kama hilo.