Alibaba

mardi 8 novembre 2016

Ronaldo: Bado nina miaka kumi ya kucheza soka

Nyota wa Real Madrid Cristiano Ronaldo amesema anaweza kuendelea kucheza soka kwa miaka kumi zaidi baada ya kusaini mkataba mpya na klabu yake.

Ronaldo Mwenye umri wa miaka 31 mkabata wake ulikua unamalizika mwezi Juni 2018, lakini mkataba mpya aliosaini utamuweka kwa miamba hao wa soka wa Hispania mpaka Juni 2021.

Mchezaji huyu amesema "Nilichokua nakitaka ni kuendelea kufurahia kucheza kwa miaka iliyobaki. na bado nina miaka kumi,"

Nyota huyu amefunga mabao 371, toka alipojiunga na Real Madrid akitokea Manchester United, mwaka 2009.

Ronaldo ameisaidia Real Madrid, kutwaa ubingwa wa ulaya mara mbili, ubingwa wa la Liga na mataji mengine.

Ronaldo na Messi waongoza kwa kulipwa pesa nyingi

Wachezaji Cristiano Ronaldo na Lionel Messi ndio wachezaji wa mchezo wa soka wanaongoza kwa kulipwa pesa nyingi zaidi duniani kwa sasa.
Ronaldo analipwa kiasi cha Pauni 365,000 kwa wiki huku akijikusanyia kiasi cha pauni milioni 19,kwa mwaka Nae Lionel Messi analipwa kiasi cha Pauni 365,000 kwa wiki huku nae akipata pauni million 19 kama Ronaldo kwa mwaka.

*Wachezaji wengine wanaolipwa pesa nyingi duniani*

Gareth Bale (Real Madrid) Pauni 346,000 kwa wiki, Pauni Milioni 18 kwa mwaka

Givanildo Vieira de Sousa maarufu kama Hulk (Shanghai SIPG) Pauni 317,000 kwa wiki Pauni Milioni 16.5 kwa mwaka

Paul Pogba (Manchester United) Pauni 290,000 kwa wiki Pauni Milioni 15 kwa mwaka

Neymar (Barcelona) Pauni 289,000 kwa wiki Pauni Milioni 15 kwa mwaka

Graziano Pelle (Shandong Luneng) Pauni 260,000 kwa wiki Pauni Milioni 13.5 kwa mwaka

Wayne Rooney (Manchester United) Pauni 260,000 kwa wiki, Pauni Milioni 13.5 kwa mwaka

Zlatan Ibrahimovic (Manchester United) Pauni 250,000 kwa wiki, Pauni Milioni 13 kwa mwaka

Sergio Aguero (Manchester City) Pauni 240,000 kwa wiki, Pauni Milioni 12.5 kwa mwaka

Yaya Toure (Manchester City) Pauni 240,000 kwa wiki, Pauni Milioni 12.5 kwa mwaka

Les gagnants du trophée Marca sont…

Chaque année, le quotidien madrilène Marca récompense les meilleurs joueurs, coachs et plusieurs autres catégories tel que le meilleur joueur de la sélection espagnole.

1) Trophée Pichichi (Meilleur buteur) : LUIS SUÁREZ (FC Barcelone) : L’attaquant uruguayen a inscrit 40 buts en 35 matchs lors de la saison 2015/16.

2) Trophée Zamora (Meilleur gardien) :
JAN OBLAK (Atlético Madrid): Le gardien slovène n’a encaissé que 18 buts en 38 matchs avec un ratio de 0,47.

3) Trophée Rofeo Miguel Muñoz (Meilleur entraîneur): DIEGO SIMEONE (Atlético Madrid): Le technicien colchonero ne cesse de pousser sa formation au plus haut chaque année.

4) Trophée Di Stefano (Meilleur joueur) : CRISTIANO RONALDO (Real Madrid): Grâce à ses excellentes performances, l’international portugais s’est vu nommé meilleur joueur du championnat.

5) Trophée Zarra (Meilleur buteur espagnol)- ARITZ ADURIZ (Athletic Bilbao): L’attaquant de la formation basque a inscrit 20 buts en 34 matchs.

6) Trophée Luis Aragones (Meilleur joueur de la sélection) – ALVARO MORATA (Real Madrid) : L’attaquant madrilène a été élu comme meilleur joueur de la sélection suite à ses excellentes performances au poste de neuf la saison passée.