Alibaba

mardi 26 septembre 2023

World's unhappiest countries

Jarida kubwa duniani linalotoa takwimu za Vitu mbalimbali duniani linalojulikana kwa jina la World of Statistics limetoa orodha ya mataifa 10 duniani yasio kuwa na furaha (watu/raia wake hawana furaha)

Jarida hilo limeandika kuwa "World's unhappiest countries" Kulingana na viashiria vya ripoti hiyo, Afghanistan na Lebanon zilizokumbwa na vita zimesalia kuwa mataifa mawili yenye hayana furaha duniani na wastani wa tathmini ya maisha ya raia mmoja mmoja.


Mbali na mataifa mawili kuwekwa kwenye orodha hiyo yakichangiwa na vita, mataifa mengine yametajwa kama ugumu wa maisha kwa raia mmoja mmoja na baadhi ya sababu ambazo zinawafaya watu wasiwe na furaha ikiwa pamoja na uhuru wa kujieleza kwa kila raia.

LIST.

World's unhappiest countries

 1. Afghanistan 🇦🇫 
2. Lebanon 🇱🇧 
3. Sierra Leone 🇸🇱 
 4. Zimbabwe 🇿🇼 
5. DR Congo 🇨🇩 
 6. Botswana 🇧🇼 
 7. Malawi 🇲🇼 
 8. Comoros 🇰🇲 
 9. Tanzania 🇹🇿 
 10. Zambia 🇿🇲
12. India 🇮🇳 
 17. Egypt 🇪🇬 
 20. Bangladesh 🇧🇩 
 30. Pakistan 🇵🇰 
 32. Turkey 🇹🇷 
 37. Iran 🇮🇷 
43. Nigeria 🇳🇬 
 46. Ukraine 🇺🇦 
 53. South Africa 🇿🇦 
 54. Indonesia 🇮🇩 
 68. Russia 🇷🇺 
 74. China 🇨🇳 
 81. South Korea 🇰🇷 
 86. Argentina 🇦🇷 
 89. Brazil 🇧🇷 
 91. Japan 🇯🇵 
 99. Poland 🇵🇱 
102. Mexico 🇲🇽 
 105. Italy 🇮🇹 
 106. Spain 🇪🇸 
 108. Saudi Arabia 🇸🇦 
 112. UAE 🇦🇪 
 117. France 🇫🇷 
 119. UK 🇬🇧 
 122. Germany 🇩🇪 
 123. USA 🇺🇸 
 125. Australia 🇦🇺 
 128. New Zealand 🇳🇿 
 129. Luxembourg 🇱🇺 
 130. Switzerland 🇨🇭 
 131. Norway 🇳🇴 
 132. Sweden 🇸🇪 
 133. Netherlands 🇳🇱 
 134. Israel 🇮🇱 
 135. Iceland 🇮🇸 
 136. Denmark 🇩🇰 
 137. Finland 🇫🇮

Huku mataifa 10 yenye furaha zaidi duniani yakitajwa ni :

Finland 🇫🇮
Denmark 🇩🇰
Iceland 🇮🇸
Israel 🇮🇱
Netherlands 🇳🇱
Sweden 🇸🇪
Norway 🇳🇴
Switzerland 🇨🇭
Luxembourg 🇱🇺
New Zealand 🇳🇿.


jeudi 14 septembre 2023

Majengo Makubwa Duniani


Hili ni jengo la tatu kwa urefu Duniani, linaitwa SHANGHAI TOWER 🇨🇳

Urefu wake ni meters — 632 !!


Yaani, chukua uwanja wa soka wa meters (100) kisha usimamishe kwenda juu mara (6+) ndio urefu wa jengo hili 🙌

Jengo hili lina ghorofa kadhaa kwenda chini ya ardhi, lina decks | Ghorofa — 562

Haya ndiyo majengo marefu zaidi Duniani | Tallest Skyscrapers in the world ;

Burj Khalifa — 01
◉ 828 meters
◉ Dubai 🇦🇪


Malaysia-Merdeka — 02
◉ 676 meters
◉ Malaysia 🇲🇾


Shanghai Tower — 03
◉ 632 meters
◉ Shanghai China 🇨🇳


Makkah Clock Royal Tower — 4
◉ 601 meters
◉ Saudi Arabia 🇸🇦



𝙉𝙤𝙩𝙚 — Shanghai Tower ni jengo lenye ghorofa (Decks) nyingi zaidi Duniani, katika structure yake halina mnara juu kama Burj khalifa na Malaysia-Merdeka.

📌 Majengo yote manne yako Asia 🙌