Alibaba

samedi 5 mars 2022

Patrick Mboma secoue la toile en postant une photo de lui et ses filles

L’ancien footballeur Cameroun, consultant chez Canal Plus Afrique, a fait grand bruit en postant une photo de lui à la plage, accompagné de ses jeunes filles.


Cette simple photo du père et ses filles en bikini a suscité plusieurs commentaires sur les réseaux sociaux camerounais et d’autres pages facebook africaines.

Plusieurs internautes trouvent encore tabou qu’un père prenne bain, même à la plage, avec ses filles habillées en petite tenue.


Pour rappelle, le pasteur Moise Mbiye avait aussi fait les frais des critiques après avoir posté une vidéo de lui et sa petite nièce.

Vladmir Putin asema Hakuna World Cup mwaka huu

"HAKUTAKUWA NA KOMBE LA DUNIA MWAKA HUU"...Putin Aionya FIFA kuingilia Mambo ya Kijeshi..


"Msithubutu kuingilia Mambo ya Kijeshi, Bakini kwenye Mpira wa Miguu",...Mkijaribu mjue hakutakuwa na Kombe la Dunia Qatar 🇶🇦. Putin amesema hayo jana akijibu swali la Mwandishi wa habari juu ya Adhabu kutoka FIFA..

"Huyo Mjinga Nani anayesema Russia haitashiriki Kombe la Dunia Qatar 2022?, nasema Russia Lazima Itacheza Kombe la Dunia mwaka huu, Aidha wapende ama wasipende..Sahau kuhusu Mzaha huo..


"Lazima nawaambia Lazima, Wakijaribu kutuzuia Basi wajue Mwaka huu hakutakuwa na Michezo hiyo".

"Sipendi Double Standards za kipuuzi, hayajaanza Leo Mambo haya ya kivita, tumeshuhudia mara nyingi Mataifa ya Magharibi yakivamia na kupigana vita, Vietnam, Korea, Libya, Iraq, Syria, Amerika kusini, kati....na hata sisi akiwemo Ukraine tulipigana vita ndefu Afghanistan 🇦🇫, Sijawahi kuwaona Wala Kusikia FIFA akitenda haya...

Mwamba Anakwambia wachague, Urusi irudishwe, ama Awafanyie Mbaya na Kombe la Dunia lisiwepo...😄😄😄

FOA YA DIAMOND YAZUWA GUMZO

Msanii wa muziki Diamond platnumz ambaye ni Rais wa WCB wiki hii alianza ku-teaser ujio wake mpya wa EP ambayo imepachikwa jina #FOA. Katika ujio huo tumeona branding ya project hiyo kupitia nguo #FOA za rangi ya njano ambazo zimeonekana tayari kuwa gumzo mtandaoni.


Kama utakuwa na kumbukumbu miaka ya nyuma msanii alikuwa akitaka kuachia project ya wimbo au albamu basi ataandaa T-shirt pamoja na kofia kwaajili ya promotion ingawa trend hiyo ilipotea.


Njia hiyo iliwasaidia sana wasanii wengi kwenye promotion ya kazi zao, ambapo mpaka zikazaliwa brand kama African Boy ya Jux, PKP ya Ommy Dimpoz ambazo kwa sasa ni brand chache sana ambazo bado zinaendelea kufanya vizuri.


Diamond kupitia #FOA tayari amekuwa gumzo mtandaoni na huwenda hii ni ishara kwamba amefanikiwa kutengeneza shauku kwa mashabiki wake pamoja na mashabiki wa muziki.


Mashabiki wengi wa muziki tayari wamekaa mkao wa kula kwaajili ya ujio wa project hiyo ambayo bila shaka itakwenda kukata kiu yao.